Aliyemleta Fredy Michael akamatwe mara moja

Aliyemleta Fredy Michael akamatwe mara moja

vvvv

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
406
Reaction score
717
1709754358562.png

Huu ni utapeli wa wazi,wachezaji wa aina ile hata wa ndani wapo na hawezi kusajiliwa na timu zingine ndogo.

Wanaosajili Simba wanafaa wawe nyuma ya nondo sahizi kwa utapeli wa wazi.
 
Mbumbumbu sahau ubingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nyie akili mbili mlipousahau kwa miaka 4 mfululizo..kawaid sana...hakuna jipya kwa timu za kariakoo..
Msingebebwa kule kagera mngekua mnakenua mdomo? Maana mpk refa alitozwa faini au kufungiwa kwa ule uamuzi wake mpk akalazimisha droo..
 
Huu ni utapeli wa wazi,wachezaji wa aina ile hata wa ndani wapo na hawezi kusajiliwa na timu zingine ndogo.

Wanaosajili Simba wanafaa wawe nyuma ya nondo sahizi kwa utapeli wa wazi.
🌝🌝
 
Back
Top Bottom