Aliyemleta Fredy Michael akamatwe mara moja

Mbumbumbu sahau ubingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nyie akili mbili mlipousahau kwa miaka 4 mfululizo..kawaid sana...hakuna jipya kwa timu za kariakoo..
Msingebebwa kule kagera mngekua mnakenua mdomo? Maana mpk refa alitozwa faini au kufungiwa kwa ule uamuzi wake mpk akalazimisha droo..
 
😁🀣😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Huu ni utapeli wa wazi,wachezaji wa aina ile hata wa ndani wapo na hawezi kusajiliwa na timu zingine ndogo.

Wanaosajili Simba wanafaa wawe nyuma ya nondo sahizi kwa utapeli wa wazi.
🌝🌝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…