maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Hahusiki kumfunga... Ameshtakiwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria. Lakini hawa matapeli huwa ni watu wa hovyo kabisaKatika hiili baba aziza angesamehe tu 4m kitu gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahusiki kumfunga... Ameshtakiwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Sheria. Lakini hawa matapeli huwa ni watu wa hovyo kabisaKatika hiili baba aziza angesamehe tu 4m kitu gani ?
Hahahahaha..alikua mnyonge au mpole ? Nakumbuka forodhani nilikua nakuja kumfuata watoto wazuri au mh ..Riz forodhan alikuw mnyonge sana,sema nashukuru watoto wa kishuwa pale nmewanyoosha sana......angalau wakikaa wanasema dah yule falaa alitutesa sana 😄
Vp ulikuwa forodhani pia
Ova
Nyie mlikuwa ndy mnatokeaga bunge nini!Hahahahaha..alikua mnyonge au mpole ? Nakumbuka forodhani nilikua nakuja kumfuata watoto wazuri au mh ..
Mlalamikaji a mshtakib alikuwa Jamuhuri na siyo Rizone.Rizone alikuwa hahidi tuMilioni 4 angesamehe tu, wanasiasa wanatuibia sana
Nasisi wananchi kiongozi akituibia tumfanyaje.Huyo tapeli anabahati sana, mimi ningemfunga miaka 30 huwezi muibia kiongozi alafu tukucheke chekee. Iwe fundisho kwa matapeli wote.
Wote hao wakina togolani zao laHahahahaha..alikua mnyonge au mpole ? Nakumbuka forodhani nilikua nakuja kumfuata watoto wazuri au mh ..
Ukimuibia tajiri mtu mwenye nguvu,asilimia kubwa lazimaNasisi wananchi kiongozi akituibia tumfanyaje.
Haujajibu swali.Ukimuibia tajiri mtu mwenye nguvu,asilimia kubwa lazima
Atakunyoosha tena vibaya mkuu
Ova
Amemtapeli Naibu Waziri msomi?Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.
Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.
Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.
Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.
Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.
Mwananchi
Hao jamaa ni balaa kweli kweliHapo kwa sababu ni rizi amepatikana ...ila ndugu zangu namtumbo wanatapeliwa kila siku na ile hela tuma huko nobody care...
Viongozi hawaibi wewe labda huko Somalia lakini si hapa. Viongozi wetu ni waadilifu.Nasisi wananchi kiongozi akituibia tumfanyaje.
Haaaaaahaaaa nimekuelewa.Viongozi hawaibi wewe labda huko Somalia lakini si hapa. Viongozi wetu ni waadilifu.
Ridhiwani kwanini usimsamehe huyo Ndugu kwakuwa hata wewe si mkamilifuMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.
Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.
Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.
Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.
Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.
Mwananchi
This is not fair at all. ☹️There is no worse crime than stealing from the rich. Steal from the poors all you want, but the second you steal from the rich everyone is after you.
Umesema ukweli kabisa!Mwizi akiibiwa anaumia sana
Huyu ni wa kupongezwa kana kwa kutumia simu tu ameweza kuvuta million 4 kutoka kwa fisadi RidhiwaniMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.
Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.
Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.
Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.
Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.
Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.
Mwananchi