Aliyemtapeli Ridhwani Kikwete milioni 4, atupwa jela miaka 7

Aliyemtapeli Ridhwani Kikwete milioni 4, atupwa jela miaka 7

Riz forodhan alikuw mnyonge sana,sema nashukuru watoto wa kishuwa pale nmewanyoosha sana......angalau wakikaa wanasema dah yule falaa alitutesa sana 😄
Vp ulikuwa forodhani pia

Ova
Hahahahaha..alikua mnyonge au mpole ? Nakumbuka forodhani nilikua nakuja kumfuata watoto wazuri au mh ..
 
Hahahahaha..alikua mnyonge au mpole ? Nakumbuka forodhani nilikua nakuja kumfuata watoto wazuri au mh ..
Nyie mlikuwa ndy mnatokeaga bunge nini!
Yah alikuwa mpole sana,sema John kisomo...alikuwa anafatwa na gari ya foreign affairs
Asmlimia kubwa ya wanafunzi pale walikuwa wanafatwa na ndinga....wakina sisi manunda tu ndy mwendo wa UDA au lift
Sema nlikuwa sikosi lift za watoto wa kishuwa,nkipanda bus labda niamue 😄

Ova
 
Huyo tapeli anabahati sana, mimi ningemfunga miaka 30 huwezi muibia kiongozi alafu tukucheke chekee. Iwe fundisho kwa matapeli wote.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.

Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.

Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.

Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.

Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.

Mwananchi
Amemtapeli Naibu Waziri msomi?

Huyo "dogo" ana akili sana, Ika tu hajazielekeza kwenye mambo yenye manufaa. Serikali iangalie jinsi ya kumtumia kwa mambo yenye tija. Anaweza kuwa "shishu" mzuri.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.

Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.

Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.

Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.

Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.

Mwananchi
Ridhiwani kwanini usimsamehe huyo Ndugu kwakuwa hata wewe si mkamilifu
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.

Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.

Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.

Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.

Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.

Mwananchi
Huyu ni wa kupongezwa kana kwa kutumia simu tu ameweza kuvuta million 4 kutoka kwa fisadi Ridhiwani

Huyu mtu ana kitu extra kwenye ubongo tumtafutie wakili akatiwe rufaa, unatumaje million 4 hivihivi tu kama siyo mtu wa magendo?

Sikubaliani na hiyo hukumu, mtuhumiwa hajatendewa haki.
 
Back
Top Bottom