Aliyemtapeli Ridhwani Kikwete milioni 4, atupwa jela miaka 7

Aliyemtapeli Ridhwani Kikwete milioni 4, atupwa jela miaka 7

Huyo tapeli anabahati sana, mimi ningemfunga miaka 30 huwezi muibia kiongozi alafu tukucheke chekee. Iwe fundisho kwa matapeli wote.
Hao viongozi wako wa ccm ndio majizi namba moja yanastahili kuwa jela.

Acha kujipendekeza kwa watesi wetu jinga wewe.
 
Kumbe Kuna wakubwa wengi tu wanapigwa lakini wanakua waungwana na kutuliza boli.
Kuna mmoja alipigwa na dada poa mji kasoro bahri lakini alitulia.
 
Nyie mlikuwa ndy mnatokeaga bunge nini!
Yah alikuwa mpole sana,sema John kisomo...alikuwa anafatwa na gari ya foreign affairs
Asmlimia kubwa ya wanafunzi pale walikuwa wanafatwa na ndinga....wakina sisi manunda tu ndy mwendo wa UDA au lift
Sema nlikuwa sikosi lift za watoto wa kishuwa,nkipanda bus labda niamue 😄

Ova
Hahahahaha....
 
Kumbe Kuna wakubwa wengi tu wanapigwa lakini wanakua waungwana na kutuliza boli.
Kuna mmoja alipigwa na dada poa mji kasoro bahri lakini alitulia.
Na kuna tapeli mwingine alimpiga aliyekua Waziri wa ulinzi kwa sasa ni Marehemu pesa ya mchango fake wa harusi, tena yeye alijifanya ni Chongolo wakati alipokua katibu CCM! Easy come,Easy go! Wwe unavutiwa waya tu unapigwa sound na pesa unatuma faster! Pesa ukiipata kwa jasho,kutoka nayo lazima itatoka kwa jasho!!
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.

Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.

Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.

Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.

Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.

Mwananchi
Vizuri pia tungejua uhalali wa pesa hizo zilivyopatikana.
 
Kigogo chengula nayemjua mimi ashawahi kuwa diwani wetu mmlik kwa maneno ya mtaani yule mliki wa tzf pale njia panda,daah ridhiwani milioni 4 sio issue kwakwo hasa kisiasa huyo jamaa ungekubali amekuzidi ujanja tena ukampa na ajira ya kudumu mueshimiwa,ebu tafuta namna ya kukubali matokeo jamaa awe huru.
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.

Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.

Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.

Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.

Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.

Mwananchi
Kwanza kwa Riziwani kutapeliwa na mtoto wa miaka 23 ni aibu kubwa; pili hivi kweli mbunge mzima na mtoto wa rais unamfunga kijana maskini kwa kukuchukulia vi-milioni vinne?!
 
Old is gold ,Forodhani ? Dah
Nyie mlikuwa ndy mnatokeaga bunge nini!
Yah alikuwa mpole sana,sema John kisomo...alikuwa anafatwa na gari ya foreign affairs
Asmlimia kubwa ya wanafunzi pale walikuwa wanafatwa na ndinga....wakina sisi manunda tu ndy mwendo wa UDA au lift
Sema nlikuwa sikosi lift za watoto wa kishuwa,nkipanda bus labda niamue 😄

Ova
 
Kumbe Kuna wakubwa wengi tu wanapigwa lakini wanakua waungwana na kutuliza boli.
Kuna mmoja alipigwa na dada poa mji kasoro bahri lakini alitulia.
Daaa, yule Naibu Waziri aliibiwa bastola, SMG na kasha la madini kizembe sana na changudoa.
Ila kiukweli polisi waliupiga mwingi, iliwachukua saa moja tu kurudisha vitu vyote.
 
Kigogo chengula nayemjua mimi ashawahi kuwa diwani wetu mmlik kwa maneno ya mtaani yule mliki wa tzf pale njia panda,daah ridhiwani milioni 4 sio issue kwakwo hasa kisiasa huyo jamaa ungekubali amekuzidi ujanja tena ukampa na ajira ya kudumu mueshimiwa,ebu tafuta namna ya kukubali matokeo jamaa awe huru.
Alafu Dogo mwenyewe ni miaka 23 tu! huyo si kama Mwanawe tu wa kumzaa!? Amkanye tu kama mwanawe
 
Kwanza kwa Riziwani kutapeliwa na mtoto wa miaka 23 ni aibu kubwa; pili hivi kweli mbunge mzima na mtoto wa rais unamfunga kijana maskini kwa kukuchukulia vi-milioni vinne?!
Wakati kina Tapeli Mmasi miaka 60 bado wako nje wanatambaa pamoja na kudhulumu nyumba ya Mjane,pamoja na kuthibitishwa kwa ushahidi wa kinyaraka,uliofanywa na Waziri wa Aridhi ndg Jerry Silaa!!
 
Dah kumbe hakuna mjanja Tz ni swala la kuwahiana tu Mheshimiwa kakunjua nafsi . Sasa aliambiwa ni za nini mpaka na yeye anatuma?
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.

Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.

Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.

Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.

Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.

Mwananchi
Hawa wakina kibatala na mawakili wengine wamsaidie dogo miaka 7 mingi sana 😢 huyo hakimu kazingua watu wanapigwa mamilioni hata wakidakwa wanaachiwa tu
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete.

Chengula alijipatia fedha hizo, baada ya kujitambulisha kwa Ridhiwani kuwa yeye Dk Hassan Abbas, ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii.

Pia, Mahakama hiyo imemuamuru Chengula kumlipa Ridhiwani kiasi cha Sh4 milioni, anachodaiwa kumtapeli.

Mbali na adhabu hiyo, Mahakama hiyo pia imetaifisha simu moja ya mkononi pamoja na laini tatu za simu alizokuwa akitumia mshtakiwa huyo na kuwa mali ya Serikali.

Uamuzi huo umetolewa leo, Juni 5, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Yusto Ruboroga wakati kesi hiyo ya jinai namba 139/2022 ilipoitwa kwa ajili ya mshtakiwa kusomewa hukumu.

Chengula ambaye ni mkazi wa Kigogo Luhanga, alikuwa anakabiliwa na mashtaka sita yakiwamo ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutuma ujumbe wa maandishi kwenda katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp akijitambulisha kwa Ridhiwani Kikwete na Wallece Karia kuwa yeye ni Dk Hassan Abbas, wakati akijua kuwa ni uongo.

Mwananchi
Ingekuwa enzi za utawala wa Magu jamaa asingefungwa.
 
Back
Top Bottom