Huyo John Kisemo ndio Kiranga nini?Nyie mlikuwa ndy mnatokeaga bunge nini!
Yah alikuwa mpole sana,sema John kisomo...alikuwa anafatwa na gari ya foreign affairs
Asmlimia kubwa ya wanafunzi pale walikuwa wanafatwa na ndinga....wakina sisi manunda tu ndy mwendo wa UDA au lift
Sema nlikuwa sikosi lift za watoto wa kishuwa,nkipanda bus labda niamue 😄
Ova
Ritz unaambiwa kashajichukulia/ kujinyakulia na kulipa kesh unit 1000 kati ya 5000 wa mradi wa apartments NHC kawe tanganyika (pekas) hata kabla hujaanza alipokuwa naibu w/ardhi. Na nyingi alizojinyakulia ni studio apartments ambazo ni hotcake.Ridhiwani kwanini usimsamehe huyo Ndugu kwakuwa hata wewe si mkamilifu
Mh.kaonyesha ni jinsi gani alivyo mweupe kichwani.Mheshimiwa kapigwa sound mpka katoa mwenyewe 4mil duh
Wazee mnajiitaga wa zamani, watoto gani wakishua mliwanyoosha, na mliwanyooshaje tukumbushe hapa tukumbuke. Ninyi mlikua wakina nani forodhani.Riz forodhan alikuw mnyonge sana,sema nashukuru watoto wa kishuwa pale nmewanyoosha sana......angalau wakikaa wanasema dah yule falaa alitutesa sana 😄
Vipi ulikuwa forodhani pia
Ova
Wewe umejuaje? Lete hapa ushahidi siyo kuhororoja jamvin na kutiririka porojo.Huyo kishawapiga wengi mpaka akazowea.
Huwa sikisii.Wewe umejuaje? Lete hapa ushahidi siyo kuhororoja jamvin na kutiririka porojo.
SawaMlalamikaji a mshtakib alikuwa Jamuhuri na siyo Rizone.Rizone alikuwa hahidi tu
Ametapeli wangapi? Wengine inawezekana wametapeliwa walibaki kusikitika na kumuachia Mungu ogopa sana hiyoKatika hiili baba aziza angesamehe tu 4m kitu gani ?