Aliyemtapeli Ridhwani Kikwete milioni 4, atupwa jela miaka 7

Huyo John Kisemo ndio Kiranga nini?
 
Ridhiwani kwanini usimsamehe huyo Ndugu kwakuwa hata wewe si mkamilifu
Ritz unaambiwa kashajichukulia/ kujinyakulia na kulipa kesh unit 1000 kati ya 5000 wa mradi wa apartments NHC kawe tanganyika (pekas) hata kabla hujaanza alipokuwa naibu w/ardhi. Na nyingi alizojinyakulia ni studio apartments ambazo ni hotcake.

Amsamehe tu jamaa

 
Riz forodhan alikuw mnyonge sana,sema nashukuru watoto wa kishuwa pale nmewanyoosha sana......angalau wakikaa wanasema dah yule falaa alitutesa sana 😄

Vipi ulikuwa forodhani pia

Ova
Wazee mnajiitaga wa zamani, watoto gani wakishua mliwanyoosha, na mliwanyooshaje tukumbushe hapa tukumbuke. Ninyi mlikua wakina nani forodhani.
Wengine tulikuwepo mpaka kipindi cha mabomu ya machozi.
Ninyi ni kina nani?

Back to the topic, aisee miaka saba kijana mdogo kapoteza kabisa ujana. Daaah
 
Yeye kapigwa Kofi moja tu kelele mpk mtaa wa pili, je yeye aliowapiga ngumi, vichwa, mateke, mitama mbona wapo kimya tu?

Atulize mshono, aache uonevu. Kwani baada ya kupigwa Hy hela kapungukiwa nn? Zile accounts zake za nje c Bado ziko fixed?
 
Kama waziri anatapeliwa kirahisi hvy, ndio tunamtegemea aje kusign mikataba kwa ya nchi.? 🗑️
 
Dingi Lai Rizwan Kikwete mbugali kweli nae eehh million 4 kweli za kumpeleka jojo mwana miaka 7.

Yeye mwenyewe kakimbombo sana kule kaofisini kake na mali ya umma mbusali mkubwa kabisa mnyoto huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…