Aliyemteketeza mkewe kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa Kunyongwa mpaka Kufa

Ukifiuatilia makosa mengi ya mauaji katika ndoa yanatokana na usaliti. Ndugu yangu unapoamua kuingia kwenye ndoa ishi kwa kiapo chako sio watu wote wanaweza kusema namwachia Mungu. Kama umechokana na mtu achana nae usifanye usaliti ukiwa ndani ya ndoa. Kuna wengine ni vichaa wa kuzaliwa na revenge ndio hizi.

Hapo watoto wao ndio wanaopata hasara ya milele, baba jela maisha, mama marehemu
 
Kwa stori yao niliyowahi kuisoma humu ikisimuliwa na majirani zao kipindi kile mwamba kasema hajutii na yupo tayari kwa hukumu yoyote hata ya kifo (nadhani ni mwaka jana mwanzoni au mwaka juzi), kuna watu humu hasa wanaomshangaa jamaa kwenye comments zao wangekuwa wao wangetumia hata gunia kumi za mkaa.

Wajomba lazima tukubaliane kuna wanawake wanazingua sana, na si kila mmoja ana moyo mgumu wa kuvumilia na kupotezea.

KATAA NDOA.
 
Dah! Kuna watu makatili sana
 
Kama ananyongwa wanakosea....huyo wangemuua taratibu....kata vidole,kata nyayo,kata limguu...hapo siyo muda huohuo...mnampa muda wa kuugulia...kazi itaishia atakapokata roho🤒
Kuna mwamba mmoja huko Urussi alikuwa anawaua wapinzani wake kwa kuwaponda au kuwabamiza kwa taratibu (Lakini kwa nguvu) viungo vya mwili wao kwa kutumia nyundo (sledge hammer )akianzia na nyayo, then miguu, then magoti, then kiuno, tumbo, mabega/kifua shingo na hatimaye kichwa. Upondaji huo ni mpaka kiungo kiwe flat kama chapati ndo kifuate kiungo kingine na zoezi litaendelea kesho yake au siku nyingine anayoona inafaa hadi mtu anakufa. Kazi hiyo iliweza kuchukua muda wa wiki moja+ hiv. Just imagine! e.g. Mwamba leo anaponda mguu wa kulia , kesho mguu wa kushoto, keshokutwa ni zamu ya kuponda magoti......Dah!
 
🤣🤣🤣Jino kwa jino 🤒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…