To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Tunajua mkuuKwanza anyongwi ni kifungo cha maisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajua mkuuKwanza anyongwi ni kifungo cha maisha.
Through moviesAre you a killer
Kwa hiyo unayoyaona kwenye movies unahisi wewe unaweza kuyafanya kweliThrough movies
Azikwe akiwa hai na upandwe mnazi kwenye kaburi lake.Naomi hayipo nasi tena yu maavumbini. Lakini walio hai tumeona namna haki ietendendeka.
Tayari amesha-hukumiwa...........wewe unaleta habari za usihukumu.Ulisoma kinachojaadiliwa hpo kabla?
Nilisema usihukumu kwasababu tabia zza binadam zinatokana na mambo tofauti tofauti so kabla ya kuhukumu jambo alotenda bnaadamu yyte baya au zuri yapaswa ujue sababu kwanza.
Siwezi hata kuua mbu binadamu nitaweza🤔Kwa hiyo unayoyaona kwenye movies unahisi wewe unaweza kuyafanya kweli
Ila unaweza kutoa plan za mauajiSiwezi hata kuua mbu binadamu nitaweza🤔
Mambo ya action movies haya.Kama ananyongwa wanakosea....huyo wangemuua taratibu....kata vidole,kata nyayo,kata limguu...hapo siyo muda huohuo...mnampa muda wa kuugulia...kazi itaishia atakapokata roho🤒
Dah! Kuna watu makatili sanaMahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo Februari 26,2025 imeanza kusoma hukumu ya kesi ya mauaji, inayomkabili Mfanyabiashara Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa.
Katika kesi hiyo ya mauaji namba nne ya mwaka 2019, mshtakiwa Luwonga ambaye ni Mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam anadaiwa Mei 15, 2019 akiwa Gezaulole eneo la Kigamboni alimuua Naomi Marijani.
=======
Kijana Khamis Luwonga (45) maarufu Meshack aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kumuua mke wake, Naomi Marijani na kisha kuuchoma mwili wake kwa kutumia magunia mawili ya mkaa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Hukumu hiyo imetolewa leo Februari 26,2025 na Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, baada ya kuridhika na ushahidi uliotolewa na mashahidi 14 wa upande wa Jamhuri ambao wameweza kuthibitisha pasipo kuacha shaka kuwa mtuhumiwa ametenda kosa hilo.
Luwonga alimuua mkewe Naomi na kisha kuuchoma moto mwili wake kwa kutumia magunia mawili ya mkaa nyumbani kwao eneo la Gezaulole, wilayani Kigamboni, Dar es Salaam Mei 15, 2019.
Baada ya kuuchoma mwili huo ndani ya banda la kuku, alienda kuzika masalia ya mwili huo na majivu shambani kwake na kupanda migomba juu yake.
TBC
Kuna mwamba mmoja huko Urussi alikuwa anawaua wapinzani wake kwa kuwaponda au kuwabamiza kwa taratibu (Lakini kwa nguvu) viungo vya mwili wao kwa kutumia nyundo (sledge hammer )akianzia na nyayo, then miguu, then magoti, then kiuno, tumbo, mabega/kifua shingo na hatimaye kichwa. Upondaji huo ni mpaka kiungo kiwe flat kama chapati ndo kifuate kiungo kingine na zoezi litaendelea kesho yake au siku nyingine anayoona inafaa hadi mtu anakufa. Kazi hiyo iliweza kuchukua muda wa wiki moja+ hiv. Just imagine! e.g. Mwamba leo anaponda mguu wa kulia , kesho mguu wa kushoto, keshokutwa ni zamu ya kuponda magoti......Dah!Kama ananyongwa wanakosea....huyo wangemuua taratibu....kata vidole,kata nyayo,kata limguu...hapo siyo muda huohuo...mnampa muda wa kuugulia...kazi itaishia atakapokata roho🤒
🤣🤣🤣Jino kwa jino 🤒Kuna mwamba mmoja huko Urussi alikuwa anawaua wapinzani wake kwa kuwaponda au kuwabamiza kwa taratibu (Lakini kwa nguvu) viungo vya mwili wao kwa kutumia nyundo (sledge hammer )akianzia na nyayo, then miguu, then magoti, then kiuno, tumbo, mabega/kifua shingo na hatimaye kichwa. Upondaji huo ni mpaka kiungo kiwe flat kama chapati ndo kifuate kiungo kingine na zoezi litaendelea kesho yake au siku nyingine anayoona inafaa hadi mtu anakufa. Kazi hiyo iliweza kuchukua muda wa wiki moja+ hiv. Just imagine! e.g. Mwamba leo anaponda mguu wa kulia , kesho mguu wa kushoto, keshokutwa ni zamu ya kuponda magoti......Dah!
Yeah anastahiliIla unaweza kutoa plan za mauaji
Kwa nini na yeye asichomwe moto tuYeah anastahili
Atarukaruka atakimbia mkuuKwa nini na yeye asichomwe moto tu