Aliyemuelewa Kipanya atujuze

Aliyemuelewa Kipanya atujuze

ina maana 2
1.macho mlegezo ni Nyoka
meaning, hana tofauti na yule aliyepita ila watu hawajajua tu
2. macho mlegezo analala na nyoka
yani magogoni mule kuna nyoka (watu wabaya) ambao wanafanya kazi kwenye system ndio mana kikatumika kitanda kumaanisha analala nao yani wapo karibu mno
watu hao wanaweza kuwa hatari kwa macho mlegezo au wananchi
Well said. Binafsi nimejikita zaidi na 1.
 
Shuka la kijani ni Ccm ... Kujifunika maana yake ni yumo ndani ya Ccm na mkia wa nyoka [emoji216] uliochomoza maana yake ni kwamba yeye hajui kama ana maadui ndani yake lakini sisi watu wa nje tunawaona ...
Kwa lugha nyepesi kabisa ni kwamba NDANI YA CCM PANA SHIDA
Huenda mama anamlia timing nyoka....
anajifanya amelala ili amkabe shingo ammalize..
huyo nyoka ama zake
 
Nyoka kaingia ndani ya shuka mama akiwa amelala,haelewi kitu

swali : nyoka ni nani? maana alielala anajulikana...
 
Aliyeanza kuingia kitandani ni mwanamke na nyoka akafuata baadaye. Ila wamejifunika shuka moja ya CCM. ILA nyoka amejisahau akuingia mzima mzima ndani ya CCM. Huyu si mama kwani mama angevaa mtandio. Huyu ni mwanamke aliyeingia ndani ya CCM Kwa kufikiri wamelala. Sasa llnn
Mni inaonekana wa
 
Aliyeanza kuingia kitandani ni mwanamke na nyoka akafuata baadaye. Ila wamejifunika shuka moja ya CCM. ILA nyoka amejisahau akuingia mzima mzima ndani ya CCM. Huyu si mama kwani mama angevaa mtandio. Huyu ni mwanamke aliyeingia ndani ya CCM Kwa kufikiri wamelala. Sasa llnn
Mni inaonekana wa
Sasa ni mwanamke gani kama sio MAZA??
 
Maana naona mwanamke kalala na kuna mkia wa nyoka.

Anataka kutueleza nini KP?View attachment 1752383
Image inaonesha mtu kalala kitandani. Amejifunika shuka ya kijana na kinaonekana kitambaa cha njano kichwani ( rangi ya CCM?). Lakini unaonekana mkia wa joka (aina ya chatu?). Image haiweki wazi iwapo labda kiwiliwili cha aliyelala ni cha joka, au joka lilijipenyeza ndani ya shuka na kulala pamoja na mtu aliyejifunika shuka la rangi ya kijani.
Bali shaka Kipanya anapeleka ujumbe fulani kwa CCM. Tuendelee kutafakari pamoja na Kipanya.
 
Image inaonesha mtu kalala kitandani. Amejifunika shuka ya kijana na kinaonekana kitambaa cha njano kichwani ( rangi ya CCM?). Lakini unaonekana mkia wa joka (aina ya chatu?). Image haiweki wazi iwapo labda kiwiliwili cha aliyelala ni cha joka, au joka lilijipenyeza ndani ya shuka na kulala pamoja na mtu aliyejifunika shuka la rangi ya kijani.
Bali shaka Kipanya anapeleka ujumbe fulani kwa CCM. Tuendelee kutafakari pamoja na Kipanya.
Hawa jamaa ni hatari saana bi.mkubwa ajiangalie saana
 
Back
Top Bottom