Wewe unaumia nn babu kwenu hili au Simba ndio rizkMbumbumbu katika ubora wao muachwe na litimu lenu maana Mo anawapa mapenzi motomoto hamuoni wala hamtaki kusikia , kila kitakachohojiwa ni utopopolo.
Mngepewa nchi hii nyie mngeshatuuza watanzania wote kwa mabeberu maana so kwa upofu huo wa akili.
Hiyo pesa ya udhamini kupitia mo extra ni sehemu ya 24.3b? Nani alipanga kiwango cha udhamini? Je, makampuni ya Azam, Jambo drinks, sayona, Afiya, nk yalishindanishwa ili kupata hiyo 250ml?Kuhusu kampuni zinazojitangaza kupitia jezi, tazama hii...
Kila kitu kiko wazi, sema labda haufuatilii au umeamua kwa makusudi "kumsagia kunguni" bwana Mohamed.
Apo suhala la kuhoji ni ayo mapato ya timu ata mm kwa upande wang sijaelewa timu ina mikataba zaid ya minne ukijumlisha na mengne inaweza kufka ata 2bl kwa mwaka,sasa mo anasema anatoa pesa kama yeye karbu 5 bl sio kama haiwezekan ila vzur angeelezea kwamba simba pamoja na mikataba yake na mapato yake yote kwa mwaka ni kias fulan matumiz ya timu kwa ujumla ni kias fulan kwaiyo apo ingekua rahis kujua kat ya mapato ya simba mo anaongezea kias gan ukisema ww unatoa kias fulan bila kusema timu inaingiza kias gan apo kuna ukakasi,ayo mengine sio kama mo analalamika ila ni anaongea kile anachofanya mtu ambae anatoa ela au ktu ikitokea siku anaongea hadharan lazma aseme kile anachofanya maana aliaid kufanya ayo anayosema kama atakaa kimya tu nan atajua sasa ,kama unakumbuka gsm walipishana kidogo kaur na uongoz wakatishia kujitoa ktk barua yao walielezea meng kuanzia mkataba wanachotakiwa kufanya lkn wakaongeza na mengine ambayo walisema wanafanya kwa mapenz nje ya mkataba sio kama waliongea vile kwa kulalamika ila umma ujue nin umuhimu wao na nn wanafanya
Ww iko tumishi ya Muhindi,!!Wewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
Kuna mapungufu madogo madogo ambayo kila binadamu anayo, hilo haliwezi kuwa ndio kiini cha mjadala. Kuna wakati hata wewe unaweza kupata hasira juu ya jambo fulani na ukafanya maamuzi ukiwa na hali hiyo na yasiwe mazuri.Sawa lakini wao hawalalamiki wanazihudumia timu zao. Mo alitishia kujivua uwenyekiti na udhamini wakati timu ilipofungwa. Hatujawahi kusikia mwekezaji wa arsenal, Chelsea, Liverpool, Manchester united anawajambisha wanachama na shabiki wa timu kwa kutishia kujiuzulu pale timu inapofungwa. Mmiliki ambae anataka timu yake ishinde tuuuuuuu mechi zote kwakuwa analipa pesa zake vinginevyo anajiuzulu ni mwekezaji gani? Ni ligi gani hiyo duniani ambayo timu lazima ishinde mechi zote?
Mo atatuharibia mpira wetu kama tusipokuwa makini kwa kufanya "kila kitu" ili Simba ishinde kila mechi.
Mbona pilipili ziko shambani wewe unawashwa ukiwa mezani? Hayakuhusu haya. Kausha.Binafsi nilimsikiliza Mohamed Dewji kuhusu utoaji wa 20 billion za hisa 49%. Huyu Bwana anaonekana anatoa hela lakini ananung'unika na kulalama kama vile mtu anaelazimishwa. Anataka aonewe huruma na watu wasihoji chochote kwakuwa anatoa pesa. Yaani asiwepo mtu anayehoji kwakuwa timu inaleta makombe.
Hii ni hatari sana Simba kumpa mtu kama huyu 49% peke yake kabisa kabisa. Ogopa sana mtu anayelalama wakati anakuhudumia, muda wowote atakuacha.
Ambacho sijamuelewa ni:
1. Hiyo tume ya fair competition amemalizana nayo kivipi?
2. Zile 49% hiza ni zake zote mtu mmoja? Kama sio mbona cheque imetoka kwa mo peke yake, hao wawekezaji 2 wengine wanaotakiwa na kanuni wako wapi na ni nani?
3. Alisema ameihudumia Simba 24.3b kwa miaka 4, hizo ni pamoja get collections, mauzo ya jezz, michango ya wanachama, bonuses za kuingia hatua ya makundi na robo finali, bonus za Sportpesa, zawadi za ushindi wa ligi na FA, Sportpesa, haki za matangazo na kodi za majengo ya Simba?
4. Je, matangazo yake ya mo energy kwenye jezz ya Simba thamani yake ni sh ngap, anailipa Simba kiasi gani kutangaza? Je, Iko humo kwenye 24.3b alizodai ameipa Simba?
5. Kwanini huwa analalamika kuhusu kuihudumia timu kila anapopata nafasi ya kuzungumza?
6. Je, hizo 20b ameshazilipa kwenye account ya Simba tayari au ndio anataka kwenda kuzilipa?
Dua ya kuku hiyo wewe mtopoloMo tapeli Tu na sitashangaa Simba ikimshinda
Alishindwa Singida united akakimbia
Akashindwa Africa Lyon akakimbia..
Ana usanii mwingi
Hayo maswali watu wengi wanauliza..
Kubandika bidhaa zake .. kwenye magari na kesi..je Simba walitangaza bid?
Kampuni yake ndo highest bidder?
Au analazimisha kwa bei anayotaka?
Maswali mengi kuliko majibu
Wanasimba hili watakuja kutueleza siku moja, coz timu haiwezi kuendelea kufanya vizuri siku zoteMo tapeli Tu na sitashangaa Simba ikimshinda
Alishindwa Singida united akakimbia
Akashindwa Africa Lyon akakimbia..
Ana usanii mwingi
Hayo maswali watu wengi wanauliza..
Kubandika bidhaa zake .. kwenye magari na kesi..je Simba walitangaza bid?
Kampuni yake ndo highest bidder?
Au analazimisha kwa bei anayotaka?
Maswali mengi kuliko majibu
HahahahaWanasimba hili watakuja kutueleza siku moja, coz timu haiwezi kuendelea kufanya vizuri siku zote
Kama hujui si ni vema kuuliza upate majibu kuliko kujifanya unajua wakati wewe ni mpumbavu tu!!mijitu kama nyinyi kujifanya hujuaji wakati hata kufanya biashara ya kuuza karanga ujawahi kufanya,wakati kila siku CCM inawapa chumvi na kanga mnashangilia kwa kukata mauno.Mo tapeli Tu na sitashangaa Simba ikimshinda
Alishindwa Singida united akakimbia
Akashindwa Africa Lyon akakimbia..
Ana usanii mwingi
Hayo maswali watu wengi wanauliza..
Kubandika bidhaa zake .. kwenye magari na kesi..je Simba walitangaza bid?
Kampuni yake ndo highest bidder?
Au analazimisha kwa bei anayotaka?
Maswali mengi kuliko majibu
Hawa watu usiwaamshe uwaache hivyo hivyo , kwasababu wakiambiwa ukweli wanaanza kurusha mawe, huo utapeli wa mo wenye akili timamu tulishauona kitambo, uwezi ukawa unalia lia kila siku eti Unapata hasara kwenye timu wakati umeing'ang'ani a iyo timu utaki kuanzisha ya kwako ikupe faida ni kichekesho, kwa miaka 4 yeye amefaidika kiasi gani kwenye biashara zake kupitia mgongo wa simba? Mashabiki wao wanasema wanachotaka ni timu Kufanya vizuri je watapoanza kupoteana ndo wataanza kuhoji? Maana yanga namna wanavyojipanga uko mbele ya safari mambo yatakuwa magumu Sana kwa simba katika nyanja zoteNae keshajua kuwa Simba ni majuha, kushinda mechi, na ubingwa kunawanyamazisha kimyaa na kuwafanya wakenue tu kama maombie. Hivyo atafanya kila ajuacho na awezalo kuhakikisha timu inashinda, maana hiyo ndiyo ganzi ya wanasimba. Ona anaongelea kawakopesha Simba 24.3b lakini hasemi kuhusu mapato ya zile nyomi za Haji Manara viwanjani, mauzo ya jezz, bonus za ubingwa, kutangaza bidhaa zake kwakutumia Simba wala kuuza wachezaji, wala kodi za majengo wala wadhamini.
Wajanja kama Dr. Kingwangala ni wachache sana, na hao wanapigwa vita na mazombie wasihiji. Bila akina kingwangala hizo 20b zisingeletwa hakiya mama.
Nani amekatazwa kwenda kuwekeza simba? hao unaozani wanaweza kuwekeza simba walikuwa wapi kabla mo hajawekeza? ligi kuu bara haina mdhamini nenda kaizamini wewe basiKuwekeza siyo kujitolea. Ni lazma uwekeze na upate faida ya uwekezaji. Mo hajawahi kuweka faida anayoipata kwa uwekezaji wake na kimsingi anapata pesa nyingi kuliko alichowekeza. Its just business si kwamba anaipenda sana Simba No ni source of income kwake. Cha msingi hapa simba wangeweka wazi ili hata wawekezaji wengine wawe huru kuwekeza.
Acha mambo ya ramli mzee, subiri hao yanga wajipange sio kutabiri upuuzi hapaHawa watu usiwaamshe uwaache hivyo hivyo , kwasababu wakiambiwa ukweli wanaanza kurusha mawe, huo utapeli wa mo wenye akili timamu tulishauona kitambo, uwezi ukawa unalia lia kila siku eti Unapata hasara kwenye timu wakati umeing'ang'ani a iyo timu utaki kuanzisha ya kwako ikupe faida ni kichekesho, kwa miaka 4 yeye amefaidika kiasi gani kwenye biashara zake kupitia mgongo wa simba? Mashabiki wao wanasema wanachotaka ni timu Kufanya vizuri je watapoanza kupoteana ndo wataanza kuhoji? Maana yanga namna wanavyojipanga uko mbele ya safari mambo yatakuwa magumu Sana kwa simba katika nyanja zote
Wasio na akili timamu utawasikia wakisema ili mradi timu yao inafanya vizuri viwanjani haya mengine hayawahusu.
Kumbe ni ujinga umewajaa kichwani na baadae huko mbele mambo yakienda mlama watashindwa kutafuta mchawi ni nani.
Ikibadilishwa jina ikiitwa Mo FC hawa washabiki wa Simba hutawaona hapaWewe chura FC ukishajua itakusaidia nn?? Cc wanasimba ata akitoa jero tunaomba apewe timu yote aimiliki na akipenda abadilishe na jina iwe Mo FC muhimu mashabiki tunapata FURAHA timu inafanya maajabu basi tunafurahi ayo mengine ni kukompliketi mambo mwaisa
Mo tapeli Tu na sitashangaa Simba ikimshinda
Alishindwa Singida united akakimbia
Akashindwa Africa Lyon akakimbia..
Ana usanii mwingi
Hayo maswali watu wengi wanauliza..
Kubandika bidhaa zake .. kwenye magari na kesi..je Simba walitangaza bid?
Kampuni yake ndo highest bidder?
Au analazimisha kwa bei anayotaka?
Maswali mengi kuliko majibu