wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,720
- 2,151
Tengua kauli ndugu kabila ya mtu na hayo mahaba yake ya kihayawani kwa Mo yanaingilianaje?We utakuwa mzaramo ukishapata mihogo unaridhika...
Hizi hoja kuntu na huyu ndiye mwana simba wa ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tengua kauli ndugu kabila ya mtu na hayo mahaba yake ya kihayawani kwa Mo yanaingilianaje?We utakuwa mzaramo ukishapata mihogo unaridhika...
Hizi hoja kuntu na huyu ndiye mwana simba wa ukweli
Mkuu, naona unamlalamikia Mo kwamba anapenda kulalamika.
Yaani kwa kifupi wewe na huyo Mo wako mna malalamiko.
Anyways, mambo mengi uliyohoji hapo juu yana majibu yake ni vile tu hujaamua kuyapata.
Ukienda FCC watakupa utaratibu mzima wa structure ya uwekezaji wa Simba.
Ukienda kwenye vikao halali vya Simba utajua matangazo ya bidhaa za Mo yapo hapo kwa misingi ipi, utajua hizo bilioni 24 zilikua ni "additional funds" au ni zinajumuisha hizo gate collection zako n.k
Utajua kwamba hela imeshawekwa benki ama la (hili atakujibu yule mdhamini uliyemwona jana).
Huku ulikokuja, utakutana na watu wengi sana wanao mlalamikia Mo ba wengine wanakulalamikia wewe.
Kuhusu kabila nilitania tu ndgTengua kauli ndugu kabila ya mtu na hayo mahaba yake ya kihayawani kwa Mo yanaingilianaje?
Spirit ya kunyamazisha, kuziba masikio na kupofua watu wasihoji, wasisikie wala kuona mwenendo wa timu na uwekezaji kwa njia ya timu kushinda mechi, kuleta makombe na kulalamikia ngarama kubwa za uwendeshaji sio sawa. Hii Ina attract upangaji wa matokeo kwenye ligi na mashindano. Yaani unaogopa timu ikifungwa wadau wataibua madhambi yako.Nadhani tutumie neno KUPANGA NI KUCHAGUA.
Kinachoweza kuwa sumu kwako, ni chakula kwa mwingine.
Hakuna haja ya kushikana mashati kwa sababu tumeamua kufanya machaguo tofauti.
Kimfaacho mtu, ndicho chake.
Malofa uwa mna wenge,unamuita MO tapeli,wakati mtoto wako anasoma elimu bure ya serikali baada ya kulalimika school fees ya elf ishirini kwa mwaka imekuwa kubwa kwako!!!mjinga sana wewe kiumbeHawa watu usiwaamshe uwaache hivyo hivyo , kwasababu wakiambiwa ukweli wanaanza kurusha mawe, huo utapeli wa mo wenye akili timamu tulishauona kitambo, uwezi ukawa unalia lia kila siku eti Unapata hasara kwenye timu wakati umeing'ang'ani a iyo timu utaki kuanzisha ya kwako ikupe faida ni kichekesho, kwa miaka 4 yeye amefaidika kiasi gani kwenye biashara zake kupitia mgongo wa simba? Mashabiki wao wanasema wanachotaka ni timu Kufanya vizuri je watapoanza kupoteana ndo wataanza kuhoji? Maana yanga namna wanavyojipanga uko mbele ya safari mambo yatakuwa magumu Sana kwa simba katika nyanja zote
Sasa kuna tofauti ya nyumba yako na nyumba ya urithi. Watu wameitunza Simba tangu mwaka 1936 hata babu yako hajazaliwa, hivyo hawawezi kutokea wajanja wachache wakaipiga mnada kwa njia za kiujanjaujanja kwa bei ya kutupa ili watu wachache wanufaike.Nadhani jamaa kasema hivyo akimaanisha kwamba, wanaosema hiyo hela (20B) ni ndogo basi wafahamu kwamba kwanza hiyo ni "concern" yao wanasimba wenyewe, hivyo ingeweze kuwa ndogo zaidi ya hapo (mfano wake ndio hiyo jero).
Pili, kwa shabiki wa mpira, yeye furaha yake kubwa inaletwa na mpira mzuri uwanjani, mataji na utulivu wa timu (wachezaji kulipwa kwa wakati, n.k) hivyo hilo suala la price tag sio jambo la msingi sana (kwa shabiki yeyote yule, sio wa Simba peke yake).
Lakini pia, kama Simba wameenda ALL WAY WRONG, kuna mambo mawili:
1. Wao wenyewe ndio watakaolipa gharama za kukosea huko.
2. Hili litakua ni fundisho kwa vilabu vingine visifanye makosa kama inayodaiwa kuyafanya Simba. (Kwa muktadha huu Yanga wao wameamua kutofanya "hayo makosa yanayodaiwa kufanywa na Simba").
Na kama kutakua na chochote kibaya huko mbeleni, bado naona upo mwanya wa kurekebisha.
Hata kama wataamua "wao wenyewe" waachane na mambo ya uwekezaji na uendeshaji wa kisasa, watabidili mfumo na kujiendesha kama ilivyokua miaka ya 1970 (kama wataona inafaa).
Sioni kama ni jambo la busara kuwasakama katika hili.
Hivi mkuu, wewe hapo ukiamua kuuza nyumba yako, kwa hiyari yako, ukiwa na akili timamu, kwa shilingi elfu 30, kutakua na shida gani ?
Kwani mo si wale waliopewa mashamba ya mkonge na kwenda kuyakopea fedha, au? Kama JPM asingekuwa shabiki wa Simba huenda mo nae angekuwa kama Manji.Malofa uwa mna wenge,unamuita MO tapeli,wakati mtoto wako anasoma elimu bure ya serikali baada ya kulalimika school fees ya elf ishirini kwa mwaka imekuwa kubwa kwako!!!mjinga sana wewe kiumbe
Wakati wanapewa mashamba wewe kwanini ukupewa na wewe ukakope bank uwe bilionea?! Mmegeuza jukwaa la sport kama kijiwe cha kahawa kwa kuandika mambo ya abunuasiKwani mo si wale waliopewa mashamba ya mkonge na kwenda kuyakopea fedha, au? Kama JPM asingekuwa shabiki wa Simba huenda mo nae angekuwa kama Manji.
Mkuu watu woooote labda wewe tulielewa kuwa gharama yooooote ya kuitunza Simba kwa mwaka ni sh. 5.1b, na mo alisema anazitoa yeye mfukoni mwake. Hakusema kwamba 5.1b ni top up.Mkuu, kwanza jana Mo hakwenda kwenye press kusoma ripoti ya mapato na matumizi.
Pili, kulikua na maneno mitandaoni kwamba Mo hataki kuweka ile 20B kwa sababu anaona ameshaihudumia timu na "Duniani hakuna cha bure" hivyo watakatana juu kwa juu.
Lengo la kusema kwamba hizo 24B kwa miaka minne alikua anatoa kwa mapenzi yake kuisaidia klabu lakini hiyo 20B iko palepale na anaitoa.
Tena alisema pale kabisa kwamba anaweka 20B ili kuondoa hayo maneno maneno (maana yake maneno yalikuwepo).
Sasa je, kusema hivyo ni kosa ?
Kusema hivyo kunamaanisha Simba ilikua haina chanzo kingine cha mapato ?
Leo hii tuseme kwamba GSM haisaidii Yanga pale hivi tutakua na akili kweli ?
GSM akisema alikua anatoa hizo pesa kwa sababu ya mapenzi yake Yanga litakua ni kosa ?
Akisema hivyo atakua anamaanisha Yanga ilikua haipati pesa toka Sportpesa, viingilio n.k ?
Ili kuyazungumza hayo tunahitaji kusomewa ripoti ya mapato na matumizi kwanza ?
Haya, mapato ya Simba au Yanga kwa mwaka (miaka minne iliyopita) tuseme ni roughly bilioni 3.
Hivi wewe unaweza kuendesha klabu ya Simba au Yanga msimu mzima kwa 3B ? Mtu akisema aliongezea inakua nongwa ?
3B unawezaje kusajili wachezaji wazuri, ukalipa mishahara mizuri, posho nono, wakasafiri kwa ndege msimu mzima, wakalala kwenye hoteli za maana, wakala vizuri, program za mazoezi zikaenda vizuri, ukaboresha benchi la ufundi kwa kuleta wataalam wa kila namna na mengineyo ?
Labda tusaidie wewe mkuu, huenda tatizo haliko kwa Mo na halitakuwepo kwa GSM, labda tuna shida kwenye budgeting.
Help us, utakua umesaidia soka la nchi hii.
Hawana uwanja,hawana jengo zuri la timu lililopo pale kariakoo ni maduka tu.
Acha kujadili matukio tafuta fact, neda Tume ya ushindani watakupa majibu yote ya maswali yako.Binafsi nilimsikiliza Mohamed Dewji kuhusu utoaji wa 20 billion za hisa 49%. Huyu Bwana anaonekana anatoa hela lakini ananung'unika na kulalama kama vile mtu anaelazimishwa. Anataka aonewe huruma na watu wasihoji chochote kwakuwa anatoa pesa. Yaani asiwepo mtu anayehoji kwakuwa timu inaleta makombe.
Hii ni hatari sana Simba kumpa mtu kama huyu 49% peke yake kabisa kabisa. Ogopa sana mtu anayelalama wakati anakuhudumia, muda wowote atakuacha.
Ambacho sijamuelewa ni:
1. Hiyo tume ya fair competition amemalizana nayo kivipi?
2. Zile 49% hiza ni zake zote mtu mmoja? Kama sio mbona cheque imetoka kwa mo peke yake, hao wawekezaji 2 wengine wanaotakiwa na kanuni wako wapi na ni nani?
3. Alisema ameihudumia Simba 24.3b kwa miaka 4, hizo ni pamoja get collections, mauzo ya jezz, michango ya wanachama, bonuses za kuingia hatua ya makundi na robo finali, bonus za Sportpesa, zawadi za ushindi wa ligi na FA, Sportpesa, haki za matangazo na kodi za majengo ya Simba?
4. Je, matangazo yake ya mo energy kwenye jezz ya Simba thamani yake ni sh ngap, anailipa Simba kiasi gani kutangaza? Je, Iko humo kwenye 24.3b alizodai ameipa Simba?
5. Kwanini huwa analalamika kuhusu kuihudumia timu kila anapopata nafasi ya kuzungumza?
6. Je, hizo 20b ameshazilipa kwenye account ya Simba tayari au ndio anataka kwenda kuzilipa?
Wachezaji wazuri hawawezi kuja Simba na Yanga tuseme ukweli. Tunaowasajili kutoka nje hawana thamani hiyo tunayowapa. Kuna watanzania ambao wanawazidi akina kagere, kahata, shikalo, sarpong, Wawa, Yacouba na wengine lakini hawapewi nafasi TU na makocba. Hata makocha wengine hawana uwezo wa kuwazidi akina Mkwasa lakini hawapewi nafasi.Mkuu, kwanza jana Mo hakwenda kwenye press kusoma ripoti ya mapato na matumizi.
Pili, kulikua na maneno mitandaoni kwamba Mo hataki kuweka ile 20B kwa sababu anaona ameshaihudumia timu na "Duniani hakuna cha bure" hivyo watakatana juu kwa juu.
Lengo la kusema kwamba hizo 24B kwa miaka minne alikua anatoa kwa mapenzi yake kuisaidia klabu lakini hiyo 20B iko palepale na anaitoa.
Tena alisema pale kabisa kwamba anaweka 20B ili kuondoa hayo maneno maneno (maana yake maneno yalikuwepo).
Sasa je, kusema hivyo ni kosa ?
Kusema hivyo kunamaanisha Simba ilikua haina chanzo kingine cha mapato ?
Leo hii tuseme kwamba GSM haisaidii Yanga pale hivi tutakua na akili kweli ?
GSM akisema alikua anatoa hizo pesa kwa sababu ya mapenzi yake Yanga litakua ni kosa ?
Akisema hivyo atakua anamaanisha Yanga ilikua haipati pesa toka Sportpesa, viingilio n.k ?
Ili kuyazungumza hayo tunahitaji kusomewa ripoti ya mapato na matumizi kwanza ?
Haya, mapato ya Simba au Yanga kwa mwaka (miaka minne iliyopita) tuseme ni roughly bilioni 3.
Hivi wewe unaweza kuendesha klabu ya Simba au Yanga msimu mzima kwa 3B ? Mtu akisema aliongezea inakua nongwa ?
3B unawezaje kusajili wachezaji wazuri, ukalipa mishahara mizuri, posho nono, wakasafiri kwa ndege msimu mzima, wakalala kwenye hoteli za maana, wakala vizuri, program za mazoezi zikaenda vizuri, ukaboresha benchi la ufundi kwa kuleta wataalam wa kila namna na mengineyo ?
Labda tusaidie wewe mkuu, huenda tatizo haliko kwa Mo na halitakuwepo kwa GSM, labda tuna shida kwenye budgeting.
Help us, utakua umesaidia soka la nchi hii.
Mimi kuwa fair ni baada ya yeye kuwa fair pia, uwekezaji hakuna anaeupinga na msema kweli ni mpenzi wa Mungu, wafanyabiashara lazima wapate faida ili wapate moyo wa kuwekeza lakini wasiuache ukweli na kukumbatia faida za kificho. Transparency ililipa jana, inalipa leo na itakulipa hata kesho.Kuna mapungufu madogo madogo ambayo kila binadamu anayo, hilo haliwezi kuwa ndio kiini cha mjadala. Kuna wakati hata wewe unaweza kupata hasira juu ya jambo fulani na ukafanya maamuzi ukiwa na hali hiyo na yasiwe mazuri.
Lakini toka Mo awepo Simba, timu hiyo imefungwa mechi nyingi tu, imetolewa kwenye mashindano mbalimbali (ikiwamo raundi ya kwanza kenywe ligi ya mabingwa), na huyo Mo hajatoa kauli kama hizo katika matukio yote.
Je, kiongozi wa timu anapaswa kuwa anakubali defeat kirahisi ?
No, timu yoyote kubwa inapaswa kuwa na winning mentality at first place. Hii inaenda hadi kwa wachezaji kwamba tunatakiwa kupambana, vinginevyo bosi hatatuelewa, mashabiki hawatatuelewa.
Hii inaongeza morali ya mapambano.
Japokua tunaposhindwa ni lazima tukubali, maana mwisho wa siku katika mchezo sio kila siku mshindi utakua ni wewe.
Bottom line:
Mkuu, mimi na weww tunaweza kujadiliana haya mambo hata kwa siku nne mfululizo, lakini naamini sitaweza kubadili mtazamo wako juu ya Mo Dewji.
Huo mtazamo kamwe usiubadili (just be real, its your life anyways), lakini ninachokuomba ni kitu kimoja tu, judge that guy on fair grounds.
Simba ilimkubali mo bila kuhoji wala kushindanishwa kutokana na Yanga kuchukua ubingwa back to back kwa miaka 3 mfululizo wakati wa Manji. Hii ni kama GSM pia ilivyoingia yanga baada ya Simba kushinda misimu mitatu chini ya mo. Tofauti ni kwamba Yanga na GSM wanapita njia nyoofu na wazi labda kutokana na umakini wa msolla na wenzake.Nani amekatazwa kwenda kuwekeza simba? hao unaozani wanaweza kuwekeza simba walikuwa wapi kabla mo hajawekeza? ligi kuu bara haina mdhamini nenda kaizamini wewe basi
Wewe ni miongoni mwa wajinga ambao hata hiyo Yanga yako huna msaada nayo zaidi ya kelele tuWewe ni miongoni mwa watu mliopigwa sindano ya ganzi ya mo na wenzake friends of Simba. Ili kuiondoa hiyo ganzi meza dawa ya kigwangalaquine ili uone Simba inavyomtajirisha mo na kundi lake. Unafahamu gharama halisi ya kuweka tangazo la biashara yako kwenye jezz na magari ya timu kubwa kama Simba yenye mashabiki wengi Africa na duniani? Uliza Rwanda inalipa hela ngapi kuweka katangazo kake ka Visit Rwanda kwenye jezi ya Arsenal? Hata mo ni mchumi, anaijuwa gharama ya kutangaza biashara kwenye jezi ya timu inayofanya vizuri ni ghali, ndiyo maana anasema "sikubali" kutangaza bidhaa ya Sportpesa Africa nzima kwa pesa ile anayotoa Sportpesa msimu uliopita. Lakini yeye ametangaza mo energy lakini bado analalamika amepoteza 24.3b. majuha TU kama wewe ndio wanamuelewa.
Wewe umeweka shilingi ngapi hata hiyo kwenye Yanga yako??Nusu kaputi ya mo imekukolea. Mo hawezi kuweka mchanganuo wa haki ya Lilah kuhusu matumizi hizo 24.3b. Huenda humo zimo pia za kununua mechi, waamuzi, wazee wa Simba, wajumbe wa tume ya Fair competition, nk. Ataziandikaje in public?
Akiwauza hao wewe unaumia nini?? Kuna zile hisa asilimia 51 ukanunue ili tujue unauchungu na team kenge weweHata iweje lazima awauze miquson konde boy na chama avute mkwanja mrefu. Chezea mo wewe.