Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,443
- 8,903
Nilishuka ndani ya gari nikaenda msikitini kusali, kisha nikarudi na kufungua mlango nikavuta maiti hadi chini”
Sent using Jamii Forums mobile app
All humans are criminals in nature.
-Kaveli-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishuka ndani ya gari nikaenda msikitini kusali, kisha nikarudi na kufungua mlango nikavuta maiti hadi chini”
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishuka ndani ya gari nikaenda msikitini kusali, kisha nikarudi na kufungua mlango nikavuta maiti hadi chini”[emoji25][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Daima chizi huwa anachekesha kama hatokei kwenu. Weka akiba ya maneno, linaweza mtokea yeyote hata wewe kumpoteza mtu wako wa karibu kwa kuuliwa na sidhani utakuwa na mtazamo kama huo uliocomment hapo.Watajuana wao, huyo dada badala ya kusoma yeye akawa anadanga, na huyo kijana atajijuu pia.
[emoji23][emoji23] [emoji23]
Hata hukwepeshi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Watajuana wao, huyo dada badala ya kusoma yeye akawa anadanga, na huyo kijana atajijuu pia.
[emoji23][emoji23] [emoji23]
NdyoooHata hukwepeshi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Umesoma kisa cha mauaji?? Au unahemkwa tyuuh?Daima chizi huwa anachekesha kama hatokei kwenu. Weka akiba ya maneno, linaweza mtokea yeyote hata wewe kumpoteza mtu wako wa karibu kwa kuuliwa na sidhani utakuwa na mtazamo kama huo uliocomment hapo.
Matatizo hayafanyiwi dhihaka ndugu maana hayana mmoja.
Ila acha tu wawajibike kwa waliyoyafanya badala wadili na masomo wao wanadili na kuvuana PICHUNdyooo
Ndo amevuna alicho panda. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uvumilivu ulimshinda dada wa watu
Wamepata stahiki zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila acha tu wawajibike kwa waliyoyafanya badala wadili na masomo wao wanadili na kuvuana PICHU
Bas sawaAjali kazini
Kabisa Mafao yao tayariWamepata stahiki zao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahVitoto vya chuo+ udom vmly Sana
Na huyo jamaa naye bonge la mshamba pia haya ngoja akaninginizwe mpk wamtoe knys
Ova
kuhemkwa tena? mbona sijaandika kishari kiasi cha kuambiwa nahemkwa.Umesoma kisa cha mauaji?? Au unahemkwa tyuuh?
Ndo matokeo yake wamepata stahiki zao.Sio kosa kua na mpenzi ukiwa chuo wala sio kosa mdada kuwa na wapenzi wawili akiwapima yupi awe wa Maisha
Kwa kifupi Tusichoshane!.Watajuana wao, huyo dada badala ya kusoma yeye akawa anadanga, na huyo kijana atajijuu pia.
[emoji23][emoji23] [emoji23]
Sio kweli.Huyu mpuuzi hata ikatokea siku akakata rufaa na kutoka uraiani, bado ataishi maisha magumu sana.
wanafunzi wa vyuo ni shida, afu hawa ndio wanakuja kuendesha serikali, mnaowaita wasomi.tatizo la kuwa na mpenzi mmoja ndilo hilo
Huyo pembeni ndio manzi aliyenyongwa?Mapenzi! Mapenzi! Jamaa amehukumiwa kunyongwa hadi kufa hii ni picha ya mwisho aliyoiweka kwenye akaunti yake ya facebookView attachment 2705105