Tanzania haiishi vituko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania haiishi vituko.
Hilo ni li mdoli tu, takataka kabisa kulipeleka bungeni na kufanya promo zote hizo.Umetoa mashtaka yasiyo na facts, wamenunua wapi mdoli huyo? hao watoto wa veta kwa nn hawakutengeneza
Sawa lakini bado hujaandika facts, kwanini imepelekwa bungeni? Unaita takataka sawa una bora kuliko hilo? Au unaweza tengeneza bora zaidi with AI features?Hilo ni li mdoli tu, takataka kabisa kulipeleka bungeni na kufanya promo zote hizo.
Hii roboti Sophia ndio roboti sasa.Umetoa mashtaka yasiyo na facts, wamenunua wapi mdoli huyo? hao watoto wa veta kwa nn hawakutengeneza
Mkuu acha ligi isiyo na tija hata kidogo. Hicho kilichofanywa hapo bungeni ni utoto na mzaha usio na tija. Hilo li mdoli halina impact yoyote zaidi ya kudhihirisha kuwa uwezo wa kufikiria wa viongozi wetu umefikia tamati.Nimekuuliza hapo tena “ una wa kwako bora ambae unaweza mtengeneza”?
usi upload video za wenzetu amabo wako mbali kwa sasa.
Kumbe huna uzoefu basi huna rights, una videos wakati AI au robots zikiwa kwneye early stages before kufika hapo?Mkuu acha ligi isiyo na tija hata kidogo. Hicho kilichofanywa hapo bungeni ni utoto na mzaha usio na tija. Hilo li mdoli halina impact yoyote zaidi ya kudhihirisha kuwa uwezo wa kufikiria wa viongozi wetu umefikia tamati.
Using'ang'anie hoja dhaifu na mufilisi kuwa nikuonyeshe mdoli wangu. Sina uzoefu wala utaalamu wowote wa kutengeneza midoli. Kiufupi hili ni kama yale majoyce wowowowo ya miaka ile, tofauti ni kuwa hili limekewa loudspeaker na mota badala ya kuvutwa na mikamba. Ujinga kabisa kwa viongozi kufanya utoto kama huo, wanaacha mambo ya msingi yanayowakabili wananchi wao.
Mkuu, narudia tena kukwambia kuwa hiyo ni takataka. Watu walishafika level za juu sana na kuwekeza mabilioni kwenye R&D kufikia hapo. Alafu wewe ndio udai kuwa unaanza upya!! ili iweje. Hapo ndipo wachina walipotupiga bao mbali sana, waa wanakula short cut kwa C & P, then wanaendeleza na kuboresha zaidi.Kumbe huna uzoefu basi huna rights, una videos wakati AI au robots zikiwa kwneye early stages before kufika hapo?
Unadhani waliamka tu na product kichwani? Imetake time kwa wenzetu
My point punguza kuponda kitu ambacho hukifahamu.
Kwetu sisi tuko nyuma, hatuwez shindana na walioko nje ambao wako advance kwa sasa, wewe unachotaka wapeleke kitu kama robot sophia bungeni, kaka nchi hatujafika hapo yet
Japo wamejaribu haimaanishi ni taka taka, unless wewe unaweza tengeneza better one
Mkuu, narudia tena kukwambia kuwa hiyo ni takataka. Watu walishafika level za juu sana na kuwekeza mabilioni kwenye R&D kufikia hapo. Alafu wewe ndio udai kuwa unaanza upya!! ili iweje. Hapo ndipo wachina walipotupiga bao mbali sana, waa wanakula short cut kwa C & P, then wanaendeleza na kuboresha zaidi.Kumbe huna uzoefu basi huna rights, una videos wakati AI au robots zikiwa kwneye early stages before kufika hapo?
Unadhani waliamka tu na product kichwani? Imetake time kwa wenzetu
My point punguza kuponda kitu ambacho hukifahamu.
Kwetu sisi tuko nyuma, hatuwez shindana na walioko nje ambao wako advance kwa sasa, wewe unachotaka wapeleke kitu kama robot sophia bungeni, kaka nchi hatujafika hapo yet
Japo wamejaribu haimaanishi ni taka taka, unless wewe unaweza tengeneza better one
Utetezi wa kipuuzi kabisa huu.Tuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.
Dunia yote inakwenda kiteknolojia kuanzia elimu, utafiti, vita, usafirishaji na hadi huduma kwa wateja.
Kama Tanzania ita zembea au itazubaa kwenye kwenda ana kasi ya dunia basi itaachwa vibaya kwenye mbio za kujenga uchumi mkubwa na ulio bora.
Kama unaona ile robot Eunice ni mdoli basi na wewe ni mdoli pia japo unatembea mwenyewe.
Detective wa mchongo 😂😂Hayo maswali mimi nilitegemea Detective J aje na majibu sahihi.
Apeleleze atuletee majibu.Detective wa mchongo 😂😂
Na hapo ndiyo walivua gamba.Sasa wasingevua hilo gamba sijui wangekuwaje!Hii nchi haiishi vituko kila leo tunaona hiki kesho hiki🙌🏻🙌🏻🙌🏻Shenzii kabisa ccm
As i said hatuwez lingana na wenzetu wakati wao wapo 20 steps ahead.Mkuu, narudia tena kukwambia kuwa hiyo ni takataka. Watu walishafika level za juu sana na kuwekeza mabilioni kwenye R&D kufikia hapo. Alafu wewe ndio udai kuwa unaanza upya!! ili iweje. Hapo ndipo wachina walipotupiga bao mbali sana, waa wanakula short cut kwa C & P, then wanaendeleza na kuboresha zaidi.
Mliwahi kulipokea gari la Masoud hapo kwa mbwembwe nyingi sana, yaani dunia ilishapiga hatua kubwa kwenye sekta hiyo, wewe ndio uje kuanza kama walivyofanya wakina Carl Benz miaka ya 1890 huko.
Mkuu, narudia tena kukwambia kuwa hiyo ni takataka. Watu walishafika level za juu sana na kuwekeza mabilioni kwenye R&D kufikia hapo. Alafu wewe ndio udai kuwa unaanza upya!! ili iweje. Hapo ndipo wachina walipotupiga bao mbali sana, waa wanakula short cut kwa C & P, then wanaendeleza na kuboresha zaidi.
Mliwahi kulipokea gari la Masoud hapo kwa mbwembwe nyingi sana, yaani dunia ilishapiga hatua kubwa kwenye sekta hiyo, wewe ndio uje kuanza kama walivyofanya wakina Carl Benz miaka ya 1890 huko.
Askofu Gwajima: Robot alinibebea mizigo hadi chumbani akanionyesha namna ya kutumia kila Kitu na kuniachia namba ya Simu hadi hapo nilikuwa sijamtambua, aliponiaga ndio akajitambulisha Yeye ni RobotTuliza makalio. Akili yako ni ndogo kuelewa kwa nini jana Eunice akitumia alili mnemba (Artificial Intelligence) alikuwa ndiye mkaribisha wageni bungeni na kutoa ile summary ya malengo ya wizara ya mawasiliano.
Dunia yote inakwenda kiteknolojia kuanzia elimu, utafiti, vita, usafirishaji na hadi huduma kwa wateja.
Kama Tanzania ita zembea au itazubaa kwenye kwenda ana kasi ya dunia basi itaachwa vibaya kwenye mbio za kujenga uchumi mkubwa na ulio bora.
Kama unaona ile robot Eunice ni mdoli basi na wewe ni mdoli pia japo unatembea mwenyewe.