haha mbona mimi sifanyi hilo limbwata?? una waswas bure hata hivo ukifanyiwa hutajua kama ndio limbwata ila sisi tunaokuzunguka ndio tutajua umekwisha habari yakoπ nsijetiliwa limbwata bure nkachizika
Naliogopa sana limbwata lipite mbali namihaha mbona mimi sifanyi hilo limbwata?? una waswas bure hata hivo ukifanyiwa hutajua kama ndio limbwata ila sisi tunaokuzunguka ndio tutajua umekwisha habari yako
itategemea na mke utakayekua naye, uombe awe na hofu ya Mungu na mwenye akili hasa ya maisha utaliepuka, kama unaoa tu mke kwanza unaweza kugombanishwa na nduguzo hatushindwiNaliogopa sana limbwata lipite mbali nami
Namuomba Mungu kwa hilo nimpate mwenye akili ya maisha asiwe na tamaa iliyokubuhu mpaka ifikie kunifanyia mambo ya kitaalam.itategemea na mke utakayekua naye, uombe awe na hofu ya Mungu na mwenye akili hasa ya maisha utaliepuka, kama unaoa tu mke kwanza unaweza kugombanishwa na nduguzo hatushindwi
haswaa mwanamke akiweza kuishinda tamaa yake hakika utakua unepata mke na ajue kuridhika na kila kitu, ukimpata uoe ndoa ni nzuriNamuomba Mungu kwa hilo nimpate mwenye akili ya maisha asiwe na tamaa iliyokubuhu mpaka ifikie kunifanyia mambo ya kitaalam.
Kweli kabisa Madame ila ninaokutana nao sasa πhaswaa mwanamke akiweza kuishinda tamaa yake hakika utakua unepata mke na ajue kuridhika na kila kitu, ukimpata uoe ndoa ni nzuri
Mungu hukupa wa kufanana na wewe, huwezi kua mcha Mungu ukapewa kahaba hapana lazima upate mwenzio muendane ukiona hivo ujue bado wako yuko njiani au una vigezo vikali kiasi unajikuta hawafit in?? vigezo vyako n vipiKweli kabisa Madame ila ninaokutana nao sasa π
Muanze matusi mkishamaliza tupo ngangari na vyema kabisakikawaida huku kwetu hua tuna desturu ya kuandaa ile siku ya mwandamo wa mwezi sasa mimi sina moja nipo nipo ndio naomba Mungu usiandame leo sina mood ya kuandaa
minal aidynEid Mubarak
Takabalallahu minna wa minkum
sjaelewaMuanze matusi mkishamaliza tupo ngangari na vyema kabisa
Naamini Mwenyezi Mungu atanipa nnaestahili wala hata sina vigezo vingi.Mungu hukupa wa kufanana na wewe, huwezi kua mcha Mungu ukapewa kahaba hapana lazima upate mwenzio muendane ukiona hivo ujue bado wako yuko njiani au una vigezo vikali kiasi unajikuta hawafit in?? vigezo vyako n vipi
Aamyn, amini hivyo na itakuaNaamini Mwenyezi Mungu atanipa nnaestahili wala hata sina vigezo vingi.
Amiin πAamyn, amini hivyo na itakua
Nimesema tuunge na jamaa, yaani sala ya ijumaa. Mkuu hujanielewaItawasaidia nini, mpo kwenye li nchi maskini lakini bado mnatamani mpate muda mwingi wa kulewa, kula hovyo hovyo na kufanya ngono.
Mzigua πumekasirika au ni sura yako?? huku mtu akinuna hua anaambiwa hivyo usiniulize kabila tu
loh hapana umekosaMzigua π
Niambie basi kulee privateloh hapana umekosa