DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hii ngumu sana sidhani kama watalishughulikia wakati huu wakati watu wengi wamekamilisha kila kitu na bado wapo bali tete,labda ujaribu wakati wa rufaa.
Hivi wakina nani wamepata mkopo
[emoji23][emoji23][emoji23] tumekula Ndoige mchomoko
Una kauzembe flani hivi mzee,yani ufanye maombi then usifanye follow up mpaka uje kushtuka juzi?labda ukawaone physically vinginevyo itakua imekula kwakoMkuu kesi yangu ni kuwa nilituma form og board bila kuscan form namba 2 na 5 ili niziaploaad mtandaoni .....nimekuja kushtuka Juz naangalia acc nakuta maombi hayajafika so nikascan na kutuma hizo form application imekamilika ila haijawa verifaid hapo inakuwaje ???
Hii kweli kila unapoenda inakufuata[emoji2nyi
Cheki sasa kuna mabadiliko mapya baadhi wameekewa leo mida ya jioni.Hivi kweli kuna alopata
Last year alipewa Boom tu?Yaani bodi ya mkopo siku hizi wanakuwekea hela wameshaipigia mahesabu wanahakikisha hubakiwi hata na 100, kuna aliyeomba mwaka jana akakosa ada akahairisha mwaka ameomba tena mwaka huu amekosa vyote kabisa
Naona kwa ndugu yangu kimyaKuna update wameweka bna
Kivipi?Ashapata 100huyo
Bila Shaka umepata chochote kitu?Japo kinyonge ila inshalaah