Yaan apa matumaini yashaanza kupungua kabisa ,dogo kasoma shule zote za kata,na amepata engineering lkn mpaka sasa hajariport nawaza hyo Ada,MA,
Pole mkuu kufika tar8 inshallah tuombe MunguYaan apa matumaini yashaanza kupungua kabisa ,dogo kasoma shule zote za kata,na amepata engineering lkn mpaka sasa hajariport nawaza hyo Ada,MA,
Let's we pray to the Almighty God nothing impossibleYaan apa matumaini yashaanza kupungua kabisa ,dogo kasoma shule zote za kata,na amepata engineering lkn mpaka sasa hajariport nawaza hyo Ada,MA,
Let's we pray to the Almighty God nothing impossible
Na kama hupo dsm unaweza kuja hapa ....Helsb ofisini kwao
Yes popability ipoHht ukienda pale ofisini Kuna chochote linaweza badilika!?
nilikuwa na muangalizia dogo naona bado hakuna mabadiliko inaonesha aendele kutembelea account yake mpaka 8 November[emoji23][emoji23]Leo si ndio tarehe 8
hii nchi ngumu sanaVyuoni watu washaanza kuchkua maboom,
Huku wanafunzi wengine hata kupangiwa mikopo bado
Kwa nn unajiita hiy IDLeo si ndio tarehe 8
Unamjua cabo snoopKwa nn unajiita hiy ID
So wametoa batch leo?Mtu amesoma shule za serikali o-level na a-level kachagulia Hubert kairuki ada million 6 unampa boom tu,
Hapo reset password...Sijui ndio nini hii sasa, dogo kaandikiwa hivi [emoji26] hii bodi ya mikopo **** nina kabisaView attachment 2410864