Na wote tuseme ameenAlaaniwe aliyempeleka bungeni bila ridhaa ya wananchi . .. alaaniwe aliyebaka demokrasia nchini... Alaaniwe aliyepora uchaguzi 2020
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wote tuseme ameenAlaaniwe aliyempeleka bungeni bila ridhaa ya wananchi . .. alaaniwe aliyebaka demokrasia nchini... Alaaniwe aliyepora uchaguzi 2020
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Jamaa ana dharau za kishamba sana !Hafai
Mama GANI huyo unayomsemeaKwani MAMA kasinzia mpaka asione viroja vya mteule wake mama ondoa takataka lile kwenye wizara yetu ya pesa limeshiba linatujambia wapishi
Mpina ni mnafiki lakini kwenye hili namuunga mkonoMawaziri wapatikane kwa kushindanishwa, watume maombi na kufanyiwa usaili - Luaga Mpina (CCM)
Huyo kishalaaniwa, we unamuona mzima?Ni pendekezo la Jakaya Mrisho Kikwete (allegedly) , laana nadhani zitaelekea huko!
Nakubaliana nawe, huyu kibaka hafai hata kuongoza chawa na panyaWaziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungemi HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO , ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba , asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma , hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe , anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza , sifa ambazo Mwigulu hana .
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha ? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO , AMINA .
Namchukia huyu kiumbe kwa dharau mpaka badiView attachment 2509845
[emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089]
Huyo unayemsema hakuna aliyemchaguaMkuu kuwa great thinker. Usimlaumu aliyempendekeza. Mtu sahihi wa kumlaumu unamjua.
Tumaini la weziView attachment 2509845
[emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089]
Nafikiri alikua anajaribu kuwaambia Aliyemteua na anayesadikiwa kuwa Godfather wake, ambao wote wamepewa Udaktari wa heshima kwamba yeye ni Msomi kweli kweli.Tuna viongozi dhaifu sana. Eti phd yangu sio ya kupewa, means waliopewa ni vilaza wenye kufanya kazi kwa kubumbabumba kazi ipo kubwa.
Nadhani imeshakuwa. Sio kiongozi mzuri na nihatari kwa usalama wa uchumi.Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungemi HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO , ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba , asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma , hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe , anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza , sifa ambazo Mwigulu hana .
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha ? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO , AMINA .
Kwahiyo bila gulu uchumi umeyumba? 😅😅😅🤣🤣🤣🤣Nafikiri alikua anajaribu kuwaambia Aliyemteua na anayesadikiwa kuwa Godfather wake, ambao wote wamepewa Udaktari wa heshima kwamba yeye ni Msomi kweli kweli.
Nchemba hana tofauti na wale waajiriwa wanaojionaga wamesoma kuliko Mabosi wao na kuanza kuwadharau hadi kudiriki kusema kampuni nzima Bila yeye isingekuwa imara. Na kujisifu kwamba yeye ndiye anawapa mbinu za mafanikio maboss wake.
Na kwa arrogance ile, sidhani zile sifa anazompatia Boss wake mwenye Udaktari wa kupewa kama ni za kweli, na siwezi shangaa in-private ukamsikia akisema Cabinet members waongelee tuu kuhusu posho zao na maombi ya Latest toy in town V6 ,na masuala ya bajeti za wizara zao na Mipango na uchumi wa Nchi wamwachie yeye.
Sasa kama anawaambia wananchi kila apatapo nafasi kwamba yeye ni nguli wa uchumi nchini na kama hawapendi sera zake wahame...unategemea nini?!..Kwahiyo bila gulu uchumi umeyumba? 😅😅😅🤣🤣🤣🤣