kirumbiu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 640
- 702
Nilianza kumchukia enzi zq uvccm alikuwa anatumia kauli za visazi kwa wajumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilianza kumchukia enzi zq uvccm alikuwa anatumia kauli za visazi kwa wajumbe
Watanzania ambao kila kukicha anawatukana na kuwadharauView attachment 2509845
[emoji41][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089]
Aliyempa Mwigulu uwaziri na kumwapisha kule Chato tayari alishaipata hiyo laana na sasa tumebaki na madhara ya ile dhambi.Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Mwigilu hajaapishwa chato kuwa waziri wa fedha na uchumi, tingisha bichwa lako kumbukumbu zikurudie.Aliyempa Mwigulu uwaziri na kumwapisha kule Chato tayari alishaipata hiyo laana na sasa tumebaki na madhara ya ile dhambi.
Fanya kazi wewe dogo wa BAVICHA,acha majungu. Unadhani huyo mwigulu akiondolewa maisha yako yatakuwa rahisi?Hakuna aliyewahi kuishinda JF , ukisagiwa kunguni hapa huchomoki
Imagine hiki kichwa kibovu ndiyo kilitaka kiwe rais wa Tanzania. Sijui kingetukana wananchi matusi ya kikwao!?Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
n mwizi anatuibia inavyosemekana ana makampun kibao kupitia mke wake. moja wapo ni mabasi ya estaAmen
Mama matozoMama GANI huyo unayomsemea
dua la kukuWaziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Na suruali yake ya msulupwete
Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.[emoji818][emoji817]Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
LAANA iende Kwa CHAMA Cha KIJANI kilichomteua.Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Katika bunge la 2010 - 2015 wabunge wa upinzani walipokuwa wakitoa hoja zenye mashiko mawaziri walikuwa wakiwajibu hovyo hovyo na wabunge wa CCM walishangilia majibu yale kwa kupiga piga meza kishabiki.Sasa kwa vile mtoto umleavyo ndivyo akuavyo na kwa sasa bunge ni kama la chama kimoja hivyo tabia hiyo waliokuwa wanaifurahia kwa wawakilishi wa watanzania kama wao ndio sasa inawatafuna.Kwangu mimi ni burudani tosha.Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.
Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.
Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?
NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Msoga kingdom haiwezi kumshinda Mungu , wakiendelea na huu ujinga Mungu hatowaacha