Aliyependekeza Mwigulu awe Waziri wa Fedha alaaniwe

Aliyependekeza Mwigulu awe Waziri wa Fedha alaaniwe

Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.

Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.

Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?

NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Ana ukaribu wa kipekee na mamlaka za uteuzi
 
Unamwachaje madelu mtu ambaye udaktari wake haupaswi kutiliwa shaka hata kidogo?
 
Nchemba anatamba ana PhD but he can't prove it in real life.
Mabei yanapanda kila uchao sijui hiyo PhD inamsaidia Nani.
Katika wabunge wa Sasa anayefaa kwa Ile nafasi Ni Dr. Kimei.
 
Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.

Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.

Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?

NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Tatizo la ccm ni kudhani kuwa na elimu kubwa hasa Phd ni kigezo cha mtu kupewa nafasi kubwa, kuwa na hekima au kuwa na uelewa mkubwa wa mambo.

Kuna watu ukiwasikia hata wanavyotoa hoja na kujibu hoja na maoni ya wengine, wanademostrate IQ ya mtoto wa kidato cha pili au nne.

Inasikitisha sana unamuona waziri anajibu hoja ya mbunge mwenzange as if anabishana kuhusu chenji na kondakta wa dala dala.
 
Watu husema pata pesa au cheo tuifahamu tabia yako. Mbali na hapo ni ngumu sanaa kukufahamu unatabia gani?
 
Huyu bwana anachukia Sana Hadi naanza kukuonea huruma kina mahali nae anakozea siyo kila Jambo alifafanue ndio kukoze kwake hyo inakuja otherwise
My mwigulu Kuna kitu kichwani wengi hawoni uwezo wwako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyu bwana anachukia Sana Hadi naanza kukuonea huruma kina mahali nae anakozea siyo kila Jambo alifafanue ndio kukoze kwake hyo inakuja otherwise
My mwigulu Kuna kitu kichwani wengi hawoni uwezo wwako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mwigulu wizara imemzidi kimo , mimi nilipoona tu anaenda kusoma bajeti na Msafara wa Mapikipiki , nikajua hamna kitu yaani
 
Waziri yeyote wa Tanzania ni Mtumishi wa Umma, anatumikia wananchi, HAJITUMIKII BINAFSI , hivyo basi Waziri yeyote anayetukana wengine na kukataa kujibu maswali anayoulizwa bungeni HAPASWI KUENDELEA KUWA KWENYE CHEO HICHO, ANAPASWA KUTIMULIWA.

Mwigulu tangu awali ni mtu mwenye majivuno na Kiburi cha kishamba, asiyepaswa kupewa majukumu yoyote ya umma, hii ni kwa sababu Mtumishi wa umma anawajibika kwa umma wenyewe, anapaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye kuwaheshimu anaowaongoza, sifa ambazo Mwigulu hana.

Ni nani aliyempendekeza huyu mtu duni mwenye mapungufu yote kabisa kuwa Waziri wa wizara nyeti ya fedha? aliyempendekeza alilenga kushirikiana naye kwenye nini?

NATANGAZA LAANA YA MILELE KWA MTU HUYO, AMINA.
Amina! Amina! Amina! Na iwe hivyo kama ulivyosema! Nawapenda vijana wa Kenya! Nyerere anaongoza maiti - Jomo Kenyatta's voice!
 
Back
Top Bottom