Aliyepigwa na mashabiki wa Yanga jana, yadaiwa afariki dunia

Aliyepigwa na mashabiki wa Yanga jana, yadaiwa afariki dunia

Status
Not open for further replies.
Yule alikuwa anapasua nazo sehemu waliyosimama mashabiki wa yanga, kwani hakuona sehemu nyingine ya kufanyia huo uchawi wake..... ??

Hio mesej ya kutunga ni propaganda za makolo, yule dogo ni mzima wa afya, japo jana katiwa vikofi vya kumkumbusha aliwa sehemu waliyop Yanga huwa hatupendi uchawi kama wao walivyozoea kuwanga hadharani
uchawi.jpg
mkuuu unahalilisha mauaji kisa kapasua nazi? hawa jamaa wawili wanapiga hadi picha na viongozi uwanjani??dah aisee mmefikia pabaya sana kwa kweli
 
Tunaomba sheria ichukue mkondo wake kwa wote waliohusika
 
kafariki mkuu lakini hawa jamaa wanshangilia kwa kifupi wana justify mauaji
lete picha dogo yuko mortuary!!

si vizuri kumzushia mtu kifo! roho ya binadamu ni ngumu sana kutoka acheni uzushi Kolo FC!!

mwaka huu makombe yamewauma sijapata kuona!! mnahaha kuchafua taswira ya Yanga mmetoka kwa Haji mmehamia kwa dogo!
 
lete picha dogo yuko mortuary!!

si vizuri kumzushia mtu kifo! roho ya binadamu ni ngumu sana kutoka acheni uzushi Kolo FC!!

mwaka huu makombe yamewauma sijapata kuona!! mnahaha kuchafua taswira ya Yanga mmetoka kwa Haji mmehamia kwa dogo!
TUNAONGELEA UHAI WA MTU UNAONGELEA KUHUSU MAKOMBE, WEWE LETA PICHA AKIWA HAI
 
Kama alikuwa ana loga alichokipata ni stahiki yake kabisa, hata Mwenyezi Mungu anatubia usimuache mlozi au mchawi kuishi..
 
Kitimoto alitaka kumkunja Karia , mashabiki wao nao hawakuwa nyuma kuua mtu,Mama Jeni naye alikuwa ananyonya dudu....uongozi hadi mashabiki ni wavuta bangi unategemea nini
Tulitegenea ubingwa na umepatikana
 
Nafikiri wote mliona ile clip ya shabiki yule aliyevaa jezi nyekundu kitendo kilichowakera mashabiki nguli lialia wa dar young africans wakamshushia kipondo heavy katika harakati za kulinda brand ya team yao

Inasemekana jamaa kafariki dunia

Hili ni onyo kwa makolo na wengineo watakaojaribu kuichezea brand ya machampion wa nchi kwamba huu mwaka siyo wa mchezo, team ni ya moto huku ikichagizwa na semaji lisilotaka mzaha mzaha katika kupigania maslahi ya team linaloipenda kwa dhati

View attachment 2280029
WAHUSIKWA WASAKWE SIO KITENDO CHA UBINADAMU
 
Kama ni kweli mtu huyo kafa na sababu ni kipigo cha mashabiki wa Yanga basi tuna safari ndefu sana kwa aina hii ya ushabiki
Kila siku ninasema hili jambo na asubuhi nimesema , mnaopitapita karibu na mitaa ya wanayanga muwe makini . klabu ya Yanga sasa limekuwa dampo la vichaa. Wao kuchukua ubingwa wamekuwa kama limbukeni utafikiri hawajawahi kuuchukua au timu nyingine hazijawahi kuchukua ubingwa.

Huwezi kusajili vichaa kama Manara +Morisoni halafu hiyo timu ibaki salama. Vichaa wataongezeka siku hadi siku tu huko Yanga.
 
Wapi nimeongelea makombe. Kila mnayemdhakilisha ana familia pia nanyi heshimuni wenzenu
Huyo mtu ana familia ujue, kuweni na heshima na uhai wa mtu maana uhai ukitetewa nyie mnasema ni wivu wa makombe
 
Kiongozi wa juu wa club, kuhamasisha ungonvi ni kiashiria ipo siku mauaji yatakuwa ya halaiki. Na iwapo hili litafumbiwa macho na uongozi wa kiserikali itakuwa Tabia na mauaji yatakuwa sehemu ya ushangiliaji kama video inavyo onesha!
 
Kiongozi wa juu wa club, kuhamasisha ungonvi ni kiashiria ipo siku mauaji yatakuwa ya halaiki. Na iwapo hili litafumbiwa macho na uongozi wa kiserikali itakuwa Tabia na mauaji yatakuwa sehemu ya ushangiliaji kama video inavyo onesha!
video haioneshi mauaji inaonesha kichapo Kolo FC mnahaha sana
 
Sasa mbona video yenyewe inaonesha tu watu wanao vutana vutana! Yaani kufa kumekuwa ni rahisi kiqsi hicho! Si abiria wengi wangekufa kwa kuvutwa vutwa na wapiga debe maeneo ya stendi!

Halafu huo ujasiri wa hao mashabiki kuua mtu mchana kweupe hivyo kwa sababu tu ya jezi, ulitoka wapi! Hakukuwepo na vyombo vya usalama?

Isije ikawa ni taarifa ya kuzusha, halafu wenzangu na mimi wakaamua sasa kubwabwaja humu na midomo yao mirefu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom