Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ndiyo unakuwa unaambatana na vifo ligi simame tu muandikiwe ubingwa hadi 2050 la sivyo hatutaweza kumwagilia moyo tukiwa kaburini kwa vipigo vya walinda brand ya chapa GsmUbingwa wa Yanga utatesa sana majirani kila baada ya dakika 5 inashushwa nyuzi ya kumwagilia moyo
wewe hua uatukana watu humu utashindwa kupigana huko mtaani?Kwakweli. Kama michezo inataka kuwa vita badala ya furaha , tunaelekea pabaya.
weka hapa hio clip ya shabiki akipigwakama ndiyo unakuwa unaambatana na vifo ligi simame tu muandikiwe ubingwa hadi 2050 la sivyo hatutaweza kumwagilia moyo tukiwa kaburini kwa vipigo vya walinda brand ya chapa Gsm
Mfahamishe yule aliyetaka kupigwa na Dr. Haji!Kama ni kweli Yanga wafungiwe miaka mitano kushiriki mashindano yoyote ndani na nje ya nchi,wamezoea sana kila wakifanya hivyo si TFF wala viongozi wa Yanga wanakemea huu ushenzi. Na pia lugha anayotumia Haji Manara inachochea uhasama.
damu ya marehemu inalilia haki, kombe lishavunjika vunjika