Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama uchukuaji wa makombe unamanisha vifo ndugu zangu yachukueni tu ligi isichezwe tuokoe nguvu kazi ya taifaWapi nimeongelea makombe. Kila mnayemdhakilisha ana familia pia nanyi heshimuni wenzenu
Kwakweli. Kama michezo inataka kuwa vita badala ya furaha , tunaelekea pabaya.kama uchukuaji wa makombe unamanisha vifo ndugu zangu yachukueni tu ligi isichezwe tuokoe nguvu kazi ya taifa
Mgosi usinekuta ni ndugu yako huyo aliyeuliwa, huu ushabiki wa kipumbavu sana.Sasa mbona video yenyewe inaonesha tu watu wanao vutana vutana! Yaani kufa kumekuwa ni rahisi kiqsi hicho! Si abiria wengi wangekufa kwa kuvutwa vutwa na wapiga debe maeneo ya stendi!
Halafu huo ujasiri wa hao mashabiki kuua mtu mchana kweupe hivyo kwa sababu tu ya jezi, ulitoka wapi! Hakukuwepo na vyombo vya usalama?
Isije ikawa ni taarifa ya kuzusha, halafu wenzangu na mimi wakaamua sasa kubwabwaja humu na midomo yao mirefu.
Kama ni kweli amefariki huyo mtu, jiulize ungekuwa na fikra hizi hizi endapo ingekuwa ni ndugu yako????Hili ni onyo kwa makolo na wengineo watakaojaribu kuichezea brand ya machampion
kama uchukuaji wa makombe unamanisha vifo ndugu zangu yachukueni tu ligi isichezwe tuokoe nguvu kazi ya taifa
Kama ni kweli Yanga wafungiwe miaka mitano kushiriki mashindano yoyote ndani na nje ya nchi,wamezoea sana kila wakifanya hivyo si TFF wala viongozi wa Yanga wanakemea huu ushenzi. Na pia lugha anayotumia Haji Manara inachochea uhasama.Nafikiri wote mliona ile clip ya shabiki yule aliyevaa jezi nyekundu kitendo kilichowakera mashabiki nguli lialia wa dar young africans wakamshushia kipondo heavy katika harakati za kulinda brand ya team yao
Inasemekana jamaa kafariki dunia
Hili ni onyo kwa makolo na wengineo watakaojaribu kuichezea brand ya machampion wa nchi kwamba huu mwaka siyo wa mchezo, team ni ya moto huku ikichagizwa na semaji lisilotaka mzaha mzaha katika kupigania maslahi ya team linaloipenda kwa dhati
View attachment 2280029
ukikua utaacha utoto na kuheshimu uhai wa binadamu wenzakoDuh haya makombe yamewauma sana mpaka mnasingizia kujiua poleni
... Zeru ni tatizo kwenye soka.Kama ni kweli Yanga wafungiwe miaka mitano kushiriki mashindano yoyote ndani na nje ya nchi,wamezoea sana kila wakifanya hivyo si TFF wala viongozi wa Yanga wanakemea huu ushenzi. Na pia lugha anayotumia Haji Manara inachochea uhasama.
Mimi siungi mkono ushabiki wa aina hii. Na kama ni kweli, basi sheria ichukue mkondo wake.Mgosi usinekuta ni ndugu yako huyo aliyeuliwa, huu ushabiki wa kipumbavu sana.
ukikua utaacha utoto na kuheshimu uhai wa binadamu wenzako
Nafikiri wote mliona ile clip ya shabiki yule aliyevaa jezi nyekundu kitendo kilichowakera mashabiki nguli lialia wa dar young africans wakamshushia kipondo heavy katika harakati za kulinda brand ya team yao
Inasemekana jamaa kafariki dunia
Hili ni onyo kwa makolo na wengineo watakaojaribu kuichezea brand ya machampion wa nchi kwamba huu mwaka siyo wa mchezo, team ni ya moto huku ikichagizwa na semaji lisilotaka mzaha mzaha katika kupigania maslahi ya team linaloipenda kwa dhati
View attachment 2280029
Kiongozi wa juu wa club, kuhamasisha ungonvi ni kiashiria ipo siku mauaji yatakuwa ya halaiki. Na iwapo hili litafumbiwa macho na uongozi wa kiserikali itakuwa Tabia na mauaji yatakuwa sehemu ya ushangiliaji kama video inavyo onesha!
ku*m#e zenu mashabiki yanga. wallah naapa, mtailipia damu ya huyo shabiki wa simba.Nafikiri wote mliona ile clip ya shabiki yule aliyevaa jezi nyekundu kitendo kilichowakera mashabiki nguli lialia wa dar young africans wakamshushia kipondo heavy katika harakati za kulinda brand ya team yao
Inasemekana jamaa kafariki dunia
Hili ni onyo kwa makolo na wengineo watakaojaribu kuichezea brand ya machampion wa nchi kwamba huu mwaka siyo wa mchezo, team ni ya moto huku ikichagizwa na semaji lisilotaka mzaha mzaha katika kupigania maslahi ya team linaloipenda kwa dhati
View attachment 2280029
damu ya marehemu inalilia haki, kombe lishavunjika vunjikaUkikua utaacha kulilia makombe
Hiyo sheria haipo Mkurugenzi. Kama hilo tukio limetokea kweli, vyombo vya dola vitahusika kuwachukulia hatua hao watuhumiwa waliohusika.Kama ni kweli Yanga wafungiwe miaka mitano kushiriki mashindano yoyote ndani na nje ya nchi,wamezoea sana kila wakifanya hivyo si TFF wala viongozi wa Yanga wanakemea huu ushenzi. Na pia lugha anayotumia Haji Manara inachochea uhasama.