Pre GE2025 Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM wanaweka kumbukumbu mbaya. Wao wanatakiwa wawe mfano wa vyama vingine. Hii inaleta picha ya kwamba mwanachama haruhusiwi kutoa maoni. Ni wazi katiba ya chama imepindwa, huyu wangemuacha tu, sijui nani katoa wazo la afukuzwe
Ni haki yake kuuliza, imekuwaje? Au ni hofu kuwa atawaamsha waliolala?
Vya
 
Ila hawa sisiem ni wahuni sana,
mtu anafukuzwa uanachama kwa kosa la kukiuka katiba kwa kuwa alihoji kwanin katiba imekiukwa 😅
 
Kwani wao hawatakufa , tusiogopeshane ujinga , kila apumuaye apa duniani siku yake ilisha andikwa tu, asema Bwana , shida ni lini ,wakati gani ,kwa mazingira gani.

Bwana asipo ulinda mji wake ................????? asema Bwana
 
Ccm hakuna demokrasia hata kidogo ! Pale kuna ndioooo hakuna hapanaa!!!
 
Narudia tena, maumivu yako nayaelewa. Sina tatizo na jazba zako, ila kila chenye mwanzo kina mwisho. Mwisho wa Mbowe kuwa mwenyekiti ulifika.
Pole sana unaonekana bado una mentality Za kitoto tena Za kishenzi
 
Kwani wao hawatakufa , tusiogopeshane ujinga , kila apumuaye apa duniani siku yake ilisha andikwa tu, asema Bwana , shida ni lini ,wakati gani ,kwa mazingira gani.

Bwana asipo ulinda mji wake ................????? asema Bwana
Siyo tunaogopeshana ujinga, hawa watu ni wauaji kweli sasa tunapoyasema au kuandika tunawa preempt ikiwa ni defensive mechanism.
 
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
Hii tu inatosha kuelezea yeye ni mtu wa aina gani. Ndani ya miaka 4 ya uanachama unagombea vyeo vyote hivyo kwa mantiki ipi ?!
Anyway, atajiunga chadema.
 
Siyo tunaogopeshana ujinga, hawa watu ni wauaji kweli sasa tunapoyasema au kuandika tunawa preempt ikiwa ni defensive mechanism.
Nakuelewa mkuu wangu, hata binafsi nimeandika kwa kuwalenga wao , kwamba wasitutishe na kifo , leo tz nzima ipo na makaburi mangapi mpaka tishika, na wao watakufa wapende au wasipende.
Sorry mkuu kama hukunielewa vizuri.
 
Katiba ya ccm inanguvu kwa atakaye pinga uhuni wa kujipitisha ila aliye jipitisha kabla hata ya kuchukua fomu na kupata ushindan hapo sheria huwa haitumiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…