VyaNi haki yake kuuliza, imekuwaje? Au ni hofu kuwa atawaamsha waliolala?
Tunawasubiri waropoke tuwafurushe OUT hao wanaogugumia !Malisa apongezwe kwa uthubutu, wengi wamo humo chamani wanagugumia chini kwa chini!!!
Huyu mwamba alikuwa mbele ya muda SanaWamsikilize Mwl. J. K. Nyerere hapa.
Kwani wao hawatakufa , tusiogopeshane ujinga , kila apumuaye apa duniani siku yake ilisha andikwa tu, asema Bwana , shida ni lini ,wakati gani ,kwa mazingira gani.Kwa ninavyowajua CCM na dola walivyo na nongwa hapo hawajamalizana naye, lazima watampeleka kaburini tu, tukifanya rejea ya kilichomkuta yule dogo Chaula aliyechoma picha ya Samia, mahakama ilimtia hatiani na akahukumiwa kifungo au faini, wasamaria wema wakamchangia faini akawa huru lakini hawakuridhika wakamteka na kumpoteza hadi leo maiti yake haijaonekana.
Bwana mdogo utagombea ubunge tena?Narudia tena, maumivu yako nayaelewa. Sina tatizo na jazba zako, ila kila chenye mwanzo kina mwisho. Mwisho wa Mbowe kuwa mwenyekiti ulifika.
Pole sana unaonekana bado una mentality Za kitoto tena Za kishenziNarudia tena, maumivu yako nayaelewa. Sina tatizo na jazba zako, ila kila chenye mwanzo kina mwisho. Mwisho wa Mbowe kuwa mwenyekiti ulifika.
umehenyentwa na ukweli gentleman 🐒We kima
Siyo tunaogopeshana ujinga, hawa watu ni wauaji kweli sasa tunapoyasema au kuandika tunawa preempt ikiwa ni defensive mechanism.Kwani wao hawatakufa , tusiogopeshane ujinga , kila apumuaye apa duniani siku yake ilisha andikwa tu, asema Bwana , shida ni lini ,wakati gani ,kwa mazingira gani.
Bwana asipo ulinda mji wake ................????? asema Bwana
Hii tu inatosha kuelezea yeye ni mtu wa aina gani. Ndani ya miaka 4 ya uanachama unagombea vyeo vyote hivyo kwa mantiki ipi ?!Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
Kwenye hizi chaguzi za kishenzi? Hata kama ningekuwa na kadi yoyote ya chama nisingeweza kugombea kwenye hizi chaguzi za kipuuzi.Bwana mdogo utagombea ubunge tena?
Bado hujasema.Pole sana unaonekana bado una mentality Za kitoto tena Za kishenzi
Kimaumehenyentwa na ukweli gentleman 🐒
Nakuelewa mkuu wangu, hata binafsi nimeandika kwa kuwalenga wao , kwamba wasitutishe na kifo , leo tz nzima ipo na makaburi mangapi mpaka tishika, na wao watakufa wapende au wasipende.Siyo tunaogopeshana ujinga, hawa watu ni wauaji kweli sasa tunapoyasema au kuandika tunawa preempt ikiwa ni defensive mechanism.
Uhuru wa kutoa maoni vs uhutu baada ya kutoa maoniKabisa yaaani!!!
Katiba ya ccm inanguvu kwa atakaye pinga uhuni wa kujipitisha ila aliye jipitisha kabla hata ya kuchukua fomu na kupata ushindan hapo sheria huwa haitumikiChama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.
Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.
Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.
Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.
Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025