Pre GE2025 Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Pre GE2025 Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.


Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.



Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


Safi kabisa kama hakubaliani na mchakato Vyama vilo vingi sana.

Alitakiwa kumuuliza Membe kwanza
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.


Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.



Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


Mtu mwenyewe kajiunga 2021 hata ada yake haijanunua hata kitasa cha mlango!
 
Nilipoona ile video clip yake niliwaza mambo mawili makubwa either

1. Afukuzwe uanachama
2. Au abambikiwe kesi au kuuawa kabisa

Hii ndio Tanzania
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.


Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.



Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


 
Bado unadhihirisha utoto wa Hali ya juu sana hivi mtu kweli atakua na maumivu juu ya chama cha siasa tena cha upinzani?
Narudia tena, maumivu yako nayaelewa. Sina tatizo na jazba zako, ila kila chenye mwanzo kina mwisho. Mwisho wa Mbowe kuwa mwenyekiti ulifika.
 
Nimecheka kwa nguvu vibaya sana. CCM demokrasia kwao ni jambo wanalazimisha, na hakuna kitu kimewauma kama uchaguzi wa kidemokrasia ya kweli ya uchaguzi wa CHADEMA juzi. Na huyo mwanachama ajiandae kuhujumiwa shughuli yake ya kumuingizia kipato.
Natabiri haya yafuatayo kumuandama Mzee Malisa:
1. Kuwa Ben Sananed by anonymous personnels
2. Kufuatwa fuatwa na Noah nyeusi na ikiwezekana kuwa Roma Mkatoliked
3.Kukamatwa na polisi na baadae kuwa Eric Kabendera-ed/kuwa Dr. Willbroad Slaa-ed
4. Kufuatwa na uhamiaji na baadae kuhojiwa uraia wake na ikiwezekana kuwa Jenerali ulimwengued/kuwa Askofu Niwemugized.
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.


Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.



Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


 

Attachments

  • 5959259-245a16d1a646e1c5265c1678e4e73a60.mp4
    1.4 MB
Mkutano mkuu wa CCM Taifa,ulipata wapi Agenda za kumteua Samia kuwa mgombea Urais kupitia CCM??
Katika mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, kuna maswali mengi yanayozungumziwa kuhusu jinsi Samia Suluhu Hassan alivyoteuliwa kuwa mgombea urais kupitia chama hicho.

Moja ya masuala muhimu ni kuhusu wapi agenda za kumteua Samia zilipatikana, hasa ikizingatiwa kwamba Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya CCM havikuwahi kujadili rasmi suala hilo.

Kwanza, ni muhimu kuelewa mchakato wa uteuzi wa wagombea ndani ya vyama vya siasa nchini Tanzania, hasa CCM. Kwa kawaida, mchakato huu unajumuisha hatua mbalimbali, ikiwa ni pamoja na kujadiliwa na vikao vya juu vya chama. Hapa ndipo inapotokea kwamba wanachama wa chama wanapewa fursa ya kutoa maoni yao kuhusu wagombea wanaofaa. Katika kesi ya Samia, hata hivyo, ilionekana kama mchakato huu haukufanyika kwa uwazi.

Samia Suluhu, ambaye alikuwa makamu wa rais kabla ya kuchaguliwa kuwa mgombea, alichukua nafasi hiyo baada ya kifo cha rais John Magufuli. Hali hii ya kipekee ilimfanya kuwa chaguo la kwanza kwa CCM, lakini maswali yanayotokana na mchakato wa uteuzi yanaweza kuathiri uaminifu wa chama.

Katika mkutano mkuu wa CCM, ilipigiwa kelele kuhusu umuhimu wa uwazi na demokrasia ndani ya chama. Wanachama wengi walitaka kujua jinsi gani Samia alichaguliwa bila kujadiliwa katika vikao vya kawaida vya chama. Hali hii inaweza kuashiria kuwa kuna mabadiliko katika utamaduni wa kisiasa ndani ya CCM, ambapo maamuzi makubwa yanachukuliwa na watu wachache badala ya kuwa na mchakato wa pamoja.

Aidha, ni muhimu kuzingatia mazingira ya kisiasa ya wakati huo. Tanzania ilikuwa katika kipindi cha majonzi baada ya kifo cha Magufuli, na hali hii inaweza kuwa na athari kubwa katika maamuzi ya kisiasa. Wakati wa kipindi hicho, CCM inaweza kuwa ilihitaji muungano wa haraka na thabiti ili kudumisha umoja wa chama na kuimarisha uongozi wake. Hapa ndipo mchakato wa uteuzi wa Samia unapoonekana kuwa wa haraka, bila kujali taratibu za awali.

Pia, kuna umuhimu wa kuangalia jinsi media ilivyoshughulikia suala hili. Habari nyingi zilitolewa kuhusu uteuzi wa Samia, lakini mara nyingi zilisheheni maswali kuliko majibu. Hakukuwa na waziwazi kuhusu vigezo vilivyotumika kumchagua Samia, na hili lilizua hisia tofauti miongoni mwa wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla. Katika hali kama hii, ni rahisi kwa watu kuanza kukisia kuhusu uhalali wa uteuzi wake.

Kwanza kabisa, ni muhimu kuelewa kwamba mchakato wa kisiasa unahitaji uwazi na uwajibikaji. Wananchi wanahitaji kuona kwamba viongozi wao wanachaguliwa kwa njia ambayo inaheshimu maoni ya wengi. Hii inajenga imani katika mfumo wa kisiasa na kusaidia kuimarisha demokrasia. Katika muktadha huu, uteuzi wa Samia unaweza kuonekana kama kikwazo kwa maendeleo ya demokrasia ndani ya CCM.

Katika kuangalia mbele, ni muhimu kwa CCM kujifunza kutokana na hali hii. Kama chama kinachojivunia historia ndefu na mafanikio, kinapaswa kuzingatia umuhimu wa kuboresha mchakato wa uteuzi wa wagombea. Hii itasaidia kuimarisha uhusiano kati ya viongozi na wanachama na kuleta ufanisi zaidi katika utawala.

Kwa kumalizia, mkutano mkuu wa CCM ulionyesha wazi kwamba kuna masuala mengi yanayohitaji kushughulikiwa kuhusu mchakato wa uteuzi wa wagombea. Ingawa Samia Suluhu Hassan aliteuliwa kuwa mgombea urais, maswali kuhusu jinsi alivyofikia hapo yanaweza kuathiri uaminifu wa chama katika siku zijazo. Hivyo, ni muhimu kwa CCM kuendelea kujadili na kuboresha taratibu zake ili kuhakikisha kwamba mchakato wa kisiasa unakuwa wa uwazi na wa haki.
 
Hili wala siyo la kushangaza kwa Chama Cha Majizi wao kwao uchawa ni tunu kuliko ukweli
 
This is for real !
Mukiambiwa muwe munaelewa
Locuta causa finita !!
Haya sasa hata Mchungaji Malisa naye hajui Kilatini hata kidogo 😅🤣 !
Ajitokeze na mwingine mwenye ubavu tumuone 😳🙄 !
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, kimemfukuza uanachama kada wa chama hicho Mchungaji Godfrey Malisa kuanzia leo Februari 10, 2025 kwa tuhuma za kukiuka Katiba na maadili ya Chama hicho.

Hatua ya kufukuzwa kwa Malisa imeelezwa kuwa inatokana na kauli alizokuwa akizitoa kupinga uamuzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa wa Januari 19, 2025 akidai kupitisha kwa wagombea hao (Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania Bara) na Dk Hussein Mwinyi- Zanzibar) kumekiuka Katiba ya CCM.


Mchungaji Malisa, ambaye amewahi kugombea urais, uspika na hata ubunge, alijiunga na CCM mwaka 2021 na alikuwa miongoni mwa makada tisa waliochukua fomu kugombea uenyekiti wa Chama hicho mwaka 2022.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari leo Februari 10, 2025 Katibu wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro, Merce Mollel amesema uamuzi huo umefikiwa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya mkoa.



Mwananchi ilipomtafuta Dk Malisa kuhusiana na uamuzi huo, amesema kuwa hakupewa taarifa wala kushirikishwa.

Pia soma: Pre GE2025 - Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025


 
Back
Top Bottom