Aliyeratibu uanzishwaji wa EGA (E-Government) peponi

Aliyeratibu uanzishwaji wa EGA (E-Government) peponi

E Government ni matunda ya magufuli 100% alianzisha kuondoa mtu kati kwenye kukusanya mapato ya serikali wajanja kama selcom waliowekwa na jk kama madalali aliwafutilia mbali so magu apewe maua yake
Uko sahihi....
 
Kwa mara kwanza Tanzania imekua ranked ya pili Tanzania kwa matumizi sahihi ya teknolojia serikalini.

Nimeona hii taarifa kwenye gazeti la The Citizen la leo, nikaona waziri wa TEHAMA Nape naye amezisoma taarifa hizi kwa Rank ya kidunia Tanzania ipo GROUP A ambalo lina nchi kama GERMANY, FRANCE na wengine wengi.

Uanzishwaji wa malipo ambayo ni centralized (matumizi ya Control number), utumiaji wa mifumo ambayo imetengenezwa na serikali yenyewe kupitia taasisi ya EGA, umechochea mabadiriko makubwa sana ya TEHAMA serikalini.

Kwa sasa taasisi nyingi za serikali zinatumia mifumo ya kidigitali kutekeleza majukumu yake.

EGA imeanza toka awamu ya nne chini ya Rais Mstaafu Kikwete apewe maua yake. Mkurugenzi wa kwanza ambaye kama sikosei alihamishwa Miaka kama mitatu toka sasa alikua anaitwa Dr JABIRI KUWE apewe maua yake.

Serikali ya awamu ya Tano iliendeleza wazo la serikali ya awamu nne , na sasa SERIKALI ya mama Samia imeipa nguvu zaidi taaisi hii ambayo sasa imewezesha nchi yetu kuwa ya pili Afrika kwa matumizi ya TEHAMA si TEHAMA tu bali TEHAMA ambayo iko matured.

WORLD BANK wametupa maua yetu watanzania. KONGOLE EGA (E-GOVERNMENT), Dr JABIRI KUWE, Dr KIKWETE, Dr Samia Suluhu mna nafasi yenu peponi.

Mmeliheshimisha taifa, vijana wazalendo na wapambanaji waliopo taasisi ya EGA pokeeni maua yenu, endeleeni kuilinda nchi yetu kidigitali.

Yalikua maono sahihi kuanzisha taasisi hii inayoratibu matumizi ya TEHAMA Serikalini.

View attachment 2620688
Sasa kama rekodi yetu ni hiyo januari makamba atueleze kisa cha kuleta mfumo wa tehama wa wahindi na wahindi tanesco kama sio kutafuta hela binafsi. Inaelekea yeye na waziri wa tehama lao ni moja. Tulipiga kelele kwamba tz kuna utaalam wa kutosha wa tehema kuunda mfumo wa kusimamia management tanesco baada ya januari na maharage wake kuajiri wahindi na mfumo wao. Hatuna hata hakika kama utaratibu gani walitumia kuleta mfumo wa tehama wa india tanesco.
 
Kwa mara kwanza Tanzania imekua ranked ya pili Tanzania kwa matumizi sahihi ya teknolojia serikalini.

Nimeona hii taarifa kwenye gazeti la The Citizen la leo, nikaona waziri wa TEHAMA Nape naye amezisoma taarifa hizi kwa Rank ya kidunia Tanzania ipo GROUP A ambalo lina nchi kama GERMANY, FRANCE na wengine wengi.

Uanzishwaji wa malipo ambayo ni centralized (matumizi ya Control number), utumiaji wa mifumo ambayo imetengenezwa na serikali yenyewe kupitia taasisi ya EGA, umechochea mabadiriko makubwa sana ya TEHAMA serikalini.

Kwa sasa taasisi nyingi za serikali zinatumia mifumo ya kidigitali kutekeleza majukumu yake.

EGA imeanza toka awamu ya nne chini ya Rais Mstaafu Kikwete apewe maua yake. Mkurugenzi wa kwanza ambaye kama sikosei alihamishwa Miaka kama mitatu toka sasa alikua anaitwa Dr JABIRI KUWE apewe maua yake.

Serikali ya awamu ya Tano iliendeleza wazo la serikali ya awamu nne , na sasa SERIKALI ya mama Samia imeipa nguvu zaidi taaisi hii ambayo sasa imewezesha nchi yetu kuwa ya pili Afrika kwa matumizi ya TEHAMA si TEHAMA tu bali TEHAMA ambayo iko matured.

WORLD BANK wametupa maua yetu watanzania. KONGOLE EGA (E-GOVERNMENT), Dr JABIRI KUWE, Dr KIKWETE, Dr Samia Suluhu mna nafasi yenu peponi.

Mmeliheshimisha taifa, vijana wazalendo na wapambanaji waliopo taasisi ya EGA pokeeni maua yenu, endeleeni kuilinda nchi yetu kidigitali.

Yalikua maono sahihi kuanzisha taasisi hii inayoratibu matumizi ya TEHAMA Serikalini.

View attachment 2620688
Lakini Bado Kuna kichaa akalazimisha Wizara, wafanyakazi na huduma zote za serikali zihamie mtumba city (ili tu mji huo upewe jina lake).
Gharama zote zile tungeweka kwenye E-government huduma zingesogea zaidi kwa wananchi kuliko wao kuzifuata Dodoma
 
EGA nadhani ndio taasisi ya serikali inachukua vipanga haswa, tena sio vipanga wa madesa tu. Ni wale mnakuja na GPA zenu za 4 mnakaa mnatakiwa kutengeneza kitu fulani. Competition ni kubwa sana na marupurupu yao ni makubwa kuzidi taasisi nyingi sana, watakuwa top 3 ya taasisi za serikali kwa mishahara.

Wale jamaa hawabebi kirahisi mambo ya kamlete hawana. Kiukweli aliyejenga hiyo misingi atafutwe apewe tuzo. Kwingine tungekuwa tunafanya hivi mbona tangible achievements zingekuwepo sana
 
Kwa mara kwanza Tanzania imekua ranked ya pili Tanzania kwa matumizi sahihi ya teknolojia serikalini.

Nimeona hii taarifa kwenye gazeti la The Citizen la leo, nikaona waziri wa TEHAMA Nape naye amezisoma taarifa hizi kwa Rank ya kidunia Tanzania ipo GROUP A ambalo lina nchi kama GERMANY, FRANCE na wengine wengi.

Uanzishwaji wa malipo ambayo ni centralized (matumizi ya Control number), utumiaji wa mifumo ambayo imetengenezwa na serikali yenyewe kupitia taasisi ya EGA, umechochea mabadiriko makubwa sana ya TEHAMA serikalini.

Kwa sasa taasisi nyingi za serikali zinatumia mifumo ya kidigitali kutekeleza majukumu yake.

EGA imeanza toka awamu ya nne chini ya Rais Mstaafu Kikwete apewe maua yake. Mkurugenzi wa kwanza ambaye kama sikosei alihamishwa Miaka kama mitatu toka sasa alikua anaitwa Dr JABIRI KUWE apewe maua yake.

Serikali ya awamu ya Tano iliendeleza wazo la serikali ya awamu nne , na sasa SERIKALI ya mama Samia imeipa nguvu zaidi taaisi hii ambayo sasa imewezesha nchi yetu kuwa ya pili Afrika kwa matumizi ya TEHAMA si TEHAMA tu bali TEHAMA ambayo iko matured.

WORLD BANK wametupa maua yetu watanzania. KONGOLE EGA (E-GOVERNMENT), Dr JABIRI KUWE, Dr KIKWETE, Dr Samia Suluhu mna nafasi yenu peponi.

Mmeliheshimisha taifa, vijana wazalendo na wapambanaji waliopo taasisi ya EGA pokeeni maua yenu, endeleeni kuilinda nchi yetu kidigitali.

Yalikua maono sahihi kuanzisha taasisi hii inayoratibu matumizi ya TEHAMA Serikalini.

View attachment 2620688
We hujielewi ,enzi za kikwete kulikuwa na mambo ya control umber ,au hizi POS zilizomwagika Hadi vijijini!!?? Umevurugwa tumbo huko unakuja kudanganya watu hapa. Ni mambo za jpm hizi ,na sio hao uliowataja hapa.
 
E Government ni matunda ya magufuli 100% alianzisha kuondoa mtu kati kwenye kukusanya mapato ya serikali wajanja kama selcom waliowekwa na jk kama madalali aliwafutilia mbali so magu apewe maua yake
Acheni kuchanganya kati ya E Government na control number ,
Kitengo Cha E Government kimeanzishwa kipindi Cha kikwete lakini mfumo wa control number ndio ulianzishwa kipindi Cha Magufuli

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
E Government imeanziashwa kipindi Cha kikwete mkuu ,
Magufuli alianzisha mfumo wa control number mkuu , usipanic sana mkuu kwa sababu mtoa mda hajamtaja magu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hujui lolote kaa kimya, nawafahamu hadi ma programmer wa Magu waliotengeneza huo mfumo na kuwang'oa SELCOM. Unayoyajua yote ni uongo ulioaminishwa. Tungekuwa tunajuana ningekuonyesha ushahidi, ukiendelea kunibishia nitakutukana.
 
Acheni kuchanganya kati ya E Government na control number ,
Kitengo Cha E Government kimeanzishwa kipindi Cha kikwete lakini mfumo wa control number ndio ulianzishwa kipindi Cha Magufuli

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Acha usenge, tuambie hata mtu mmoja aliyehusika kutengeneza huo mfumo!?,mnakuwa machawa hadi mnakera.. huo mfumo kaanzisha Magu,.. Kikwete hana IQ ya kuanzisha kitu cha kubana mapato ya serikali. Kama unabisha utakuwa una upeo mdogo sana wa kufikiri
 
EGA nadhani ndio taasisi ya serikali inachukua vipanga haswa, tena sio vipanga wa madesa tu. Ni wale mnakuja na GPA zenu za 4 mnakaa mnatakiwa kutengeneza kitu fulani. Competition ni kubwa sana na marupurupu yao ni makubwa kuzidi taasisi nyingi sana, watakuwa top 3 ya taasisi za serikali kwa mishahara.

Wale jamaa hawabebi kirahisi mambo ya kamlete hawana. Kiukweli aliyejenga hiyo misingi atafutwe apewe tuzo. Kwingine tungekuwa tunafanya hivi mbona tangible achievements zingekuwepo sana
Wanachukuliwa watu wanaojua mambo mkuu , kuke hawaangalii GPA

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mara kwanza Tanzania imekua ranked ya pili Tanzania kwa matumizi sahihi ya teknolojia serikalini.

Nimeona hii taarifa kwenye gazeti la The Citizen la leo, nikaona waziri wa TEHAMA Nape naye amezisoma taarifa hizi kwa Rank ya kidunia Tanzania ipo GROUP A ambalo lina nchi kama GERMANY, FRANCE na wengine wengi.

Uanzishwaji wa malipo ambayo ni centralized (matumizi ya Control number), utumiaji wa mifumo ambayo imetengenezwa na serikali yenyewe kupitia taasisi ya EGA, umechochea mabadiriko makubwa sana ya TEHAMA serikalini.

Kwa sasa taasisi nyingi za serikali zinatumia mifumo ya kidigitali kutekeleza majukumu yake.

EGA imeanza toka awamu ya nne chini ya Rais Mstaafu Kikwete apewe maua yake. Mkurugenzi wa kwanza ambaye kama sikosei alihamishwa Miaka kama mitatu toka sasa alikua anaitwa Dr JABIRI KUWE apewe maua yake.

Serikali ya awamu ya Tano iliendeleza wazo la serikali ya awamu nne , na sasa SERIKALI ya mama Samia imeipa nguvu zaidi taaisi hii ambayo sasa imewezesha nchi yetu kuwa ya pili Afrika kwa matumizi ya TEHAMA si TEHAMA tu bali TEHAMA ambayo iko matured.

WORLD BANK wametupa maua yetu watanzania. KONGOLE EGA (E-GOVERNMENT), Dr JABIRI KUWE, Dr KIKWETE, Dr Samia Suluhu mna nafasi yenu peponi.

Mmeliheshimisha taifa, vijana wazalendo na wapambanaji waliopo taasisi ya EGA pokeeni maua yenu, endeleeni kuilinda nchi yetu kidigitali.

Yalikua maono sahihi kuanzisha taasisi hii inayoratibu matumizi ya TEHAMA Serikalini.

View attachment 2620688
Zinapatikana nyingi zinapigwa nyingi wanaozipiga wanaundiwa tume
mpaka mwaka unaofuata wanapiga tena
 
E-government in Tanzania started in 2003 with the National ICT Policy. The policy articulated the need for increasing the use of Information and Communication Technology (ICT) within Public institutions with the purpose of enhancing work efficiency and improving service delivery to the public.

In 2010, the government established the e-Government Agency (e-GA) to oversee the implementation of e-government initiatives in the country. The e-GA has since developed a number of e-government services, including:

A website for the government where citizens can access information and services
A portal for businesses to interact with the government
A system for managing government procurement
A system for tracking government spending
A system for providing online education and training
The e-GA is working to expand the availability of e-government services and to improve the quality of these services. The goal is to make it easier for citizens and businesses to interact with the government and to improve the efficiency and transparency of government operations.

Sources
1.
www.ega.go.tz/uploads/publications/sw-1578300630-SP%2012-17.pdf
 
Nasikitika sana WATANZANIA wengi wanaamini hiyo Mifumo imekuw developed na e_GA kitu ambacho si kweli.

Mifumo michache sana waliyodevelop wao from the scratch ila mifumo mingi wame outsource.. na wao wanakuwa kama wasimamizi tu ila sio wao waliodevelop.

Tanzania kwenye ishu za ICT watu walio competent ni wachache mnoo. Ila tunatumia hela nyingi kupata hizo huduma.

NB: pitieni gharama za uendeshaji hiyo mifumo.

Pia mifumo mingi ipo ila sio rafiki kwa watumiaji..
Kama taifa najivunia kusikia hizi taarifa nzuri ila ukwel pia tunausema.
 
E-government in Tanzania started in 2003 with the National ICT Policy. The policy articulated the need for increasing the use of Information and Communication Technology (ICT) within Public institutions with the purpose of enhancing work efficiency and improving service delivery to the public.

In 2010, the government established the e-Government Agency (e-GA) to oversee the implementation of e-government initiatives in the country. The e-GA has since developed a number of e-government services, including:

A website for the government where citizens can access information and services
A portal for businesses to interact with the government
A system for managing government procurement
A system for tracking government spending
A system for providing online education and training
The e-GA is working to expand the availability of e-government services and to improve the quality of these services. The goal is to make it easier for citizens and businesses to interact with the government and to improve the efficiency and transparency of government operations.

Sources
1.
www.ega.go.tz/uploads/publications/sw-1578300630-SP%2012-17.pdf
Du sasa itakuwaje hapa... kwa hakika Magu angeendelea kuwepo nchi ingeingia kwenye machafuko...Watu wake wapo tayari kwa lolote ilimradi sifa ziende kwa mtuwao.. yule Padiri kasema kweli siku ya kifo chake Mungu anawapenda watanzani.
 
Sawa lakini kubali kataa huo mfumo kauleta JPM baada ya kuwang'oa SELCOM, halafu punguza UCHAWA.
Mkuu tatizo lako unachanganya mfumo wa control number na E Government,
E Government ni kitengo ambacho kilianzishwa Kwa ajili ya kudesgn na kuprogram system za serekali , ambao huajiri maprogrammer na designer wa system na website za serekali , sipo kwa ajili ya uchawa hapa kama ulivyo ww , jpm alintroduce hiyo system ya control number ambayo unaioigia upatu iliwatoa selcom , lakini kitengo Cha E Government,kilianzishwa kipindi cha kikwete mkuu acha ubishi ni wanangu kibao nimemaliza nao chuo 2011 waliajiriwa huko , acha kua mbishi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Acha usenge, tuambie hata mtu mmoja aliyehusika kutengeneza huo mfumo!?,mnakuwa machawa hadi mnakera.. huo mfumo kaanzisha Magu,.. Kikwete hana IQ ya kuanzisha kitu cha kubana mapato ya serikali. Kama unabisha utakuwa una upeo mdogo sana wa kufikiri
We jamaa hata huelewi chochote aisee ,
Hata ukiambiwa utofautishe kati ya E-Ga na control number nahisi huwezi aisee , naona unashupaza sharubu tu , tatizo lako upo tu Kwa ajili ya ushindani wa kikwete na magu , wakati Kila kitabu na zama zake

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu tatizo lako unachanganya mfumo wa control number na E Government,
E Government ni kitengo ambacho kilianzishwa Kwa ajili ya kudesgn na kuprogram system za serekali , ambao huajiri maprogrammer na designer wa system na website za serekali , sipo kwa ajili ya uchawa hapa kama ulivyo ww , jpm alintroduce hiyo system ya control number ambayo unaioigia upatu iliwatoa selcom , lakini kitengo Cha E Government,kilianzishwa kipindi cha kikwete mkuu acha ubishi ni wanangu kibao nimemaliza nao chuo 2011 waliajiriwa huko , acha kua mbishi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
huo ni uongo mwingine Serikali mtando ilinzishwa kipindi cha kikwete kweli ...hii sheria yake si ilikuwa 2019 na hii system ndo iliwanyima ulaji watu wengi wakaanza kuona Maisha magumu
 
We jamaa hata huelewi chochote aisee ,
Hata ukiambiwa utofautishe kati ya E-Ga na control number nahisi huwezi aisee , naona unashupaza sharubu tu , tatizo lako upo tu Kwa ajili ya ushindani wa kikwete na magu , wakati Kila kitabu na zama zake

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
ww ndo huelelewi kikweta hana hata gut ya kuanziaha mfumo wowote kwa ushindwa kuwa serous na mambo yake .serikali tandao uliaazishwa kipindi cha jpm ikatungiwa sheria 2019
 
Back
Top Bottom