Aliyeratibu uanzishwaji wa EGA (E-Government) peponi

huo ni uongo mwingine Serikali mtando ilinzishwa kipindi cha kikwete kweli ...hii sheria yake si ilikuwa 2019 na hii system ndo iliwanyima ulaji watu wengi wakaanza kuona Maisha magumu
Huelewi chochote soma comment number 33 utaelewa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mm mauwa napeleka sekta binafsi ..haya yote tunayoyaona ni matunda ya kuruhusu mawazo binafsi kutoka kampuni binafsi km selcom na kampuni nyingine.

From ndio government inajijengea uwezo zaidi.

Secta binafsi kwenye maendeleo ni muhimu sana.
 
Unataka kuchanganya mambo mawili,
Unachoongelea wewe ni Control NOMBER ambayo magu aliifanya

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu

E-Government kitu walichofanikiwa nacho

Namba ya usajili wa kampuni (Brela) kuwa Sawa na namba ya Mlipa Kodi ( TIN)

Hilo wapewe pongenzi.


Chuma kafanya mambo mengi ambayo Kipindi cha JK yalikuwa kwenye makaratasi tu.

Data CENTER Nyingi za serikali kajenga Chuma na kukamilisha vitendea kazi vyake vya kisasa.

Asante!
 
Rwanda kitu gani? Nawashangaa sana mnaotaka kufananisha kinchi kilicho kama mkoa wa Kagera na Tanzania
Serengeti National Park ni kubwa kuliko hicho Kirwanda.Ebu tuwe serious kidogo.
 
E Government ni matunda ya magufuli 100% alianzisha kuondoa mtu kati kwenye kukusanya mapato ya serikali wajanja kama selcom waliowekwa na jk kama madalali aliwafutilia mbali so magu apewe maua yake
Selcom, maxmlipo Magu alitupilia mbali
 
Naunga mkono mkuu

JPM ndio kila kitu kuhusu E-Government, ilifikia hadi wana ccm wenzake walimchukia maana hadi vitega uchumi vya CCM walikuwa wanalipa kwa control number.
 
Kupata loss report unalipia 500 kwenye control number, halafu askari polisi anataka elfu 5 kuithibitisha, hapo kuna unafuu gani sasa.
 
Nimeshangaa sana kumruka JPM ndipo nilipotlia shaka taarifa hizi.
Mtu hata kama humpendi haki yake mpatie tu
 
Na kwa taarifa yako ishaanzq kuchakachuliwa kwa kiwango cha hali ya juu mno
 
Wacha fix zako za kipumbavu wewe. Matumizi yake yanasaidia nini wakati mafisadi ndiyo wanzidi kupiga fedha! Peleka uchafu wako huko...
 
Acha uongo, nitajie mifumo mitatu tu waliyo outsource.
 
Mambo ya teknolojia wala hakuna sababu ya kumsifia mtu. Kwakuwa baada ya muda ni lazima tu mtafanya hivyo

Haturudi nyuma bali tunaenda mbele, Kuna teknolojia utake usitake lazima utaitumia tu.
Zamani tulikua tunapanga foleni kununua umeme wa luku, lakini sasa hivi tunanunua kupitia simu.

NB; EGA imeanzishwa 2019, lakini sio sababu ya Magufuli. Hata Magufuli agekuwepo bado ega ingeanzishwa tu. Ni sawa na wanaomsifia mkapa kuanzisha mashirika, utafikiri asingekuwepo yasingeanzishwa
 
Mngewataja Kwa majina wale wabunifu wa Hiyo E-government...ili tuwajue
 
Mngewataja Kwa majina wale wabunifu wa Hiyo E-government...ili tuwajue
Haisaidii kitu. Kusifiana kwa mfumo Kama ega ni upumbavu. Haya ni mambo ambayo baada ya muda lazima yawepo tu

Ni sawa na kumsifia raisi kujenga barabara au daraja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…