Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

ALierekodi sidhani kama ni raia wa kawaida Kwa ujasiri wake!

Ni rasmi Kuna pande mbili ndani ya system ambazo hazielewani kwenye kutekeleza mission Fulani fulani!!

Labda kama tukio limekua staged kwa lengo maalum!

Kitu ambacho hakuna afya Kwa ustawi wetu kama taifa!!
Sio mtu amerokodi, ni CCTV
 
Ni dhahiri pia kuwa, watekaji ni waoga sana,

Na soon wananchi watatumia chance hivyo vyema,

Watekaji wamekimbia na kuacha pingu,

Ndugu huyu atumie hizo pingu kuwalocate Kwa finger print zao.
Yeah sahihi
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Yaani huyo ni shujaa kabisa.. hongera sana kwake!!
Kitendo hiki ni cha ushujaa sana.
 
Mazoezi na self defense muhimu sana
Imagine bonge angekuwa anajua hata mieleka, hata kama wana vyuma unaichukua kirahisi
Inaonekana hao jamaa hata mafunzo hawana ya kupigana zero kabisa
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Halafu Kuna hii hapa: Anaandika Detective wa kujitegemea, #FortunatusBuyoye katika ukurasa wake wa X (Twitter).
_________
Huyo jamaa tall aliyevaa raba na shati la mistari anafahamika kwa jina la utani kama NYANG'AU. Amepata mafunzo ya kijeshi JKT Orjoro mwaka 2008 (Operation Kilimo kwanza). Alikuwa kombania B (B Coy). Mwaka 2009 akaajiriwa "kitengo" na urefu wake ndio uliombeba.

Mwaka 2021 aliumizwa akiwa ametoka kwenye moja ya kazi kama hizi mkoni Kilimanjaro. Akaenda kutibiwa hospitali ya Midowel iliyoko Mpakani, maili moja, Kibaha. Inadaiwa alikuwa sehemu ya timu iliyoenda kuwakamata walinzi wa "Chairman" mkoani Arusha kipindi kile.

Huyu Nyang'au anaunda timu (task force) ya watu watano wanaofanya kazi hizi. Mmoja wao namfahamu vizuri lakini simtaji hapa kwa sababu hakuwa sehemu ya swala hili la Kiluvya. Lakini Initials za majina yake ni E.K.

Nyang'au hukaa pale uwanja wa ndege JKNIA karibu na shule ya msingi Minazi Mirefu, akijifanya kuwa ni muuza maua (camouflage strategy). Nimeambatanisha picha za Nyang'au akiwa JKT Oljoro na akiwa mtaani. Mwenye Kapelo anaitwa Evarist. Pdf lake la "Know Your Client" lipo njiani.!

Copy & paste

Mafwele Raia walimtaja vizuri tu!
 
hakuna mtekaji miongoni mwao hao, labda ni kundi la kulipwa kwenda kulipa kisasa huko uswahilini, huenda muungwana dhulumati mwenye madharau, jeuri mwenye dhihaka za kibabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani, na ndiyo maana watu wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anavyotafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..

ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai. Ishi na watu vizuri 🐒
Soma hii sababu hata Mafwele alitajwa hadharani, Kuna watu hawawezi kuendelea kukaa na Siri daima, hata yule alomtolea Nape bastola alitajwa vile vile, mjinga mmoja weee:
Anaandika Detective wa kujitegemea, #FortunatusBuyoye katika ukurasa wake wa X (Twitter).
_________
Huyo jamaa tall aliyevaa raba na shati la mistari anafahamika kwa jina la utani kama NYANG'AU. Amepata mafunzo ya kijeshi JKT Orjoro mwaka 2008 (Operation Kilimo kwanza). Alikuwa kombania B (B Coy). Mwaka 2009 akaajiriwa "kitengo" na urefu wake ndio uliombeba.

Mwaka 2021 aliumizwa akiwa ametoka kwenye moja ya kazi kama hizi mkoni Kilimanjaro. Akaenda kutibiwa hospitali ya Midowel iliyoko Mpakani, maili moja, Kibaha. Inadaiwa alikuwa sehemu ya timu iliyoenda kuwakamata walinzi wa "Chairman" mkoani Arusha kipindi kile.

Huyu Nyang'au anaunda timu (task force) ya watu watano wanaofanya kazi hizi. Mmoja wao namfahamu vizuri lakini simtaji hapa kwa sababu hakuwa sehemu ya swala hili la Kiluvya. Lakini Initials za majina yake ni E.K.

Nyang'au hukaa pale uwanja wa ndege JKNIA karibu na shule ya msingi Minazi Mirefu, akijifanya kuwa ni muuza maua (camouflage strategy). Nimeambatanisha picha za Nyang'au akiwa JKT Oljoro na akiwa mtaani. Mwenye Kapelo anaitwa Evarist. Pdf lake la "Know Your Client" lipo njiani.!


Copy & paste
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Mjomba hilo ni geresha tu wasiojuilikana kamwe hawajuulikani na hao soon utawakuta uraian izo zinaitwa chezea akili ,,fisiem inazidi kujizolea point kwa kuwakamara wasiojuilikana feki
 
Soma hii sababu hata Mafwele alitajwa hadharani, Kuna watu hawawezi kuendelea kukaa na Siri daima, hata yule alomtolea Nape bastola alitajwa vile vile, mjinga mmoja weee:
Anaandika Detective wa kujitegemea, #FortunatusBuyoye katika ukurasa wake wa X (Twitter).
_________
Huyo jamaa tall aliyevaa raba na shati la mistari anafahamika kwa jina la utani kama NYANG'AU. Amepata mafunzo ya kijeshi JKT Orjoro mwaka 2008 (Operation Kilimo kwanza). Alikuwa kombania B (B Coy). Mwaka 2009 akaajiriwa "kitengo" na urefu wake ndio uliombeba.

Mwaka 2021 aliumizwa akiwa ametoka kwenye moja ya kazi kama hizi mkoni Kilimanjaro. Akaenda kutibiwa hospitali ya Midowel iliyoko Mpakani, maili moja, Kibaha. Inadaiwa alikuwa sehemu ya timu iliyoenda kuwakamata walinzi wa "Chairman" mkoani Arusha kipindi kile.

Huyu Nyang'au anaunda timu (task force) ya watu watano wanaofanya kazi hizi. Mmoja wao namfahamu vizuri lakini simtaji hapa kwa sababu hakuwa sehemu ya swala hili la Kiluvya. Lakini Initials za majina yake ni E.K.

Nyang'au hukaa pale uwanja wa ndege JKNIA karibu na shule ya msingi Minazi Mirefu, akijifanya kuwa ni muuza maua (camouflage strategy). Nimeambatanisha picha za Nyang'au akiwa JKT Oljoro na akiwa mtaani. Mwenye Kapelo anaitwa Evarist. Pdf lake la "Know Your Client" lipo njiani.!


Copy & paste
umecopy na kupeste vizuri sana gentleman.

Muhimu muungwana aache dhuluma ubabe na madharau kitaa. Ishi na watu vizuri. Mambo ya kujitakia yanadhalilisha sana aise, mwanaume mtu mzima mwenye familia yake kupiga mayowe, huku akihenyeshwa na vijana wadogo tu. Ni aibu sana kwakweli 🐒
 
umecopy na kupeste vizuri sana gentleman.

Muhimu muungwana aache dhuluma ubabe na madharau kitaa. Ishi na watu vizuri. Mambo ya kujitakia yanadhalilisha sana aise, mwanaume mtu mzima mwenye familia yake kupiga mayowe, huku akihenyeshwa na vijana wadogo tu. Ni aibu sana kwakweli 🐒
Nadhani Kuna mahali una tatizo la afya ya akili, na nimekuonya mara nyingi, ukiendelea kwa kinywa na vidole vyako kuendelea kufurahia dhuluma na mateso dhidi ya binadamu, wakati utafika na ukiwa hai utaona matunda yake kwako na familia Yako! Ikiwa hata mtu amedhulumu ambapo (huna hakika) katika nchi inayofuta utawala wa Sheria hastahili kutwezwa utu wake Kwa kiasi hiki. Dhamira Yako itasema na wewe kwa wakati wake sahihi.
 
Nadhani Kuna mahali una tatizo la afya ya akili, na nimekuonya mara nyingi, ukiendelea kwa kinywa na vidole vyako kuendelea kufurahia dhuluma na mateso dhidi ya binadamu, wakati utafika na ukiwa hai utaona matunda yake kwako na familia Yako! Ikiwa hata mtu amedhulumu ambapo (huna hakika) katika nchi inayofuta utawala wa Sheria hastahili kutwezwa utu wake Kwa kiasi hiki. Dhamira Yako itasema na wewe kwa wakati wake sahihi.
Relax bas gentleman,

wewe una uhakika gani na hizo copy na paste zako, na unashupaza shingo kabisa niamini huo ushirikina 🤣

na kama ilikua ni bongo movie wanashuti action movie, wewe una uhakika gani kama ule ndiyo utekaji? na mbona mpiga picha hata hatikisi kamera dah 🤣

Ishi na watu vizuri, full stop 🐒
 
Mjomba hilo ni geresha tu wasiojuilikana kamwe hawajuulikani na hao soon utawakuta uraian izo zinaitwa chezea akili ,,fisiem inazidi kujizolea point kwa kuwakamara wasiojuilikana feki
Usibishe,

Hao ni ndo wenyewe!
 
Back
Top Bottom