Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Sio mtu amerokodi, ni CCTVALierekodi sidhani kama ni raia wa kawaida Kwa ujasiri wake!
Ni rasmi Kuna pande mbili ndani ya system ambazo hazielewani kwenye kutekeleza mission Fulani fulani!!
Labda kama tukio limekua staged kwa lengo maalum!
Kitu ambacho hakuna afya Kwa ustawi wetu kama taifa!!
Mtu asinishauri tena habari za kupunguza mwiliSasa kitambi ndio kilimuokoa deo bonge,
Angekuwa kimbaumbau, angeshasahaulika.
Camera za Siri muhimu.Oyaaa, huyo sio mtu karekodi na simu yake, ni mfumo wa CCTV ulikuwa ukirekodi na hao askari wa mchongo mabangubangu hawakujua kuwa kuna camera ya CCTV hapo! CCTV inaonyesha tukio limetokea tarehe 11/11/2024. Jumatatu, saa nane mchana
View attachment 3151315
Yeah sahihiNi dhahiri pia kuwa, watekaji ni waoga sana,
Na soon wananchi watatumia chance hivyo vyema,
Watekaji wamekimbia na kuacha pingu,
Ndugu huyu atumie hizo pingu kuwalocate Kwa finger print zao.
Watu hawajui tu ukiwa bonge flan na pumzi ikiwepo inasaidia sana kutoonewaonewa... na hao jamaa isingekuwa silaha angeweza kuwazibuaDeo bonge sio unene tu, bali pia inaonekana ni mtu wa mazoezi.
Yaani huyo ni shujaa kabisa.. hongera sana kwake!!Salaam, Shalom!
Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.
Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.
- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.
Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.
Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,
What comes around, goes around.
Mungu Mbariki mpiga picha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Halafu Kuna hii hapa: Anaandika Detective wa kujitegemea, #FortunatusBuyoye katika ukurasa wake wa X (Twitter).Salaam, Shalom!
Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.
Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.
- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.
Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.
Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,
What comes around, goes around.
Mungu Mbariki mpiga picha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Soma hii sababu hata Mafwele alitajwa hadharani, Kuna watu hawawezi kuendelea kukaa na Siri daima, hata yule alomtolea Nape bastola alitajwa vile vile, mjinga mmoja weee:hakuna mtekaji miongoni mwao hao, labda ni kundi la kulipwa kwenda kulipa kisasa huko uswahilini, huenda muungwana dhulumati mwenye madharau, jeuri mwenye dhihaka za kibabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani, na ndiyo maana watu wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anavyotafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..
ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai. Ishi na watu vizuri π
Piga nondo bila kufanya diet, jogging iwe kidoogo.Mimi nataka kitambi ila na mbio ziwepo Kaka ,nyakati hizi Tanzania yetu haiaminiki kabisa
Mjomba hilo ni geresha tu wasiojuilikana kamwe hawajuulikani na hao soon utawakuta uraian izo zinaitwa chezea akili ,,fisiem inazidi kujizolea point kwa kuwakamara wasiojuilikana fekiSalaam, Shalom!
Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.
Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.
- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia
Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.
Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.
Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,
What comes around, goes around.
Mungu Mbariki mpiga picha.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA πΉπΏ
Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
umecopy na kupeste vizuri sana gentleman.Soma hii sababu hata Mafwele alitajwa hadharani, Kuna watu hawawezi kuendelea kukaa na Siri daima, hata yule alomtolea Nape bastola alitajwa vile vile, mjinga mmoja weee:
Anaandika Detective wa kujitegemea, #FortunatusBuyoye katika ukurasa wake wa X (Twitter).
_________
Huyo jamaa tall aliyevaa raba na shati la mistari anafahamika kwa jina la utani kama NYANG'AU. Amepata mafunzo ya kijeshi JKT Orjoro mwaka 2008 (Operation Kilimo kwanza). Alikuwa kombania B (B Coy). Mwaka 2009 akaajiriwa "kitengo" na urefu wake ndio uliombeba.
Mwaka 2021 aliumizwa akiwa ametoka kwenye moja ya kazi kama hizi mkoni Kilimanjaro. Akaenda kutibiwa hospitali ya Midowel iliyoko Mpakani, maili moja, Kibaha. Inadaiwa alikuwa sehemu ya timu iliyoenda kuwakamata walinzi wa "Chairman" mkoani Arusha kipindi kile.
Huyu Nyang'au anaunda timu (task force) ya watu watano wanaofanya kazi hizi. Mmoja wao namfahamu vizuri lakini simtaji hapa kwa sababu hakuwa sehemu ya swala hili la Kiluvya. Lakini Initials za majina yake ni E.K.
Nyang'au hukaa pale uwanja wa ndege JKNIA karibu na shule ya msingi Minazi Mirefu, akijifanya kuwa ni muuza maua (camouflage strategy). Nimeambatanisha picha za Nyang'au akiwa JKT Oljoro na akiwa mtaani. Mwenye Kapelo anaitwa Evarist. Pdf lake la "Know Your Client" lipo njiani.!
Copy & paste
Nadhani Kuna mahali una tatizo la afya ya akili, na nimekuonya mara nyingi, ukiendelea kwa kinywa na vidole vyako kuendelea kufurahia dhuluma na mateso dhidi ya binadamu, wakati utafika na ukiwa hai utaona matunda yake kwako na familia Yako! Ikiwa hata mtu amedhulumu ambapo (huna hakika) katika nchi inayofuta utawala wa Sheria hastahili kutwezwa utu wake Kwa kiasi hiki. Dhamira Yako itasema na wewe kwa wakati wake sahihi.umecopy na kupeste vizuri sana gentleman.
Muhimu muungwana aache dhuluma ubabe na madharau kitaa. Ishi na watu vizuri. Mambo ya kujitakia yanadhalilisha sana aise, mwanaume mtu mzima mwenye familia yake kupiga mayowe, huku akihenyeshwa na vijana wadogo tu. Ni aibu sana kwakweli π
Hakikua na pesa vilikua ni vitu vidogodogo ambavyo vilifanya kibegi kitune ,sijui walifikili ni pesaKwa hiyo pesa uliacha kwenye kibegi!!??
Ama kibegi kilikuwa na mali gani?
Mwenzio nataka niende self defense.Baada ya kuona haya Mambo nimeamkia uwanjani kuendelea kutafuta pumzi ya mbio na kitambi changu
Relax bas gentleman,Nadhani Kuna mahali una tatizo la afya ya akili, na nimekuonya mara nyingi, ukiendelea kwa kinywa na vidole vyako kuendelea kufurahia dhuluma na mateso dhidi ya binadamu, wakati utafika na ukiwa hai utaona matunda yake kwako na familia Yako! Ikiwa hata mtu amedhulumu ambapo (huna hakika) katika nchi inayofuta utawala wa Sheria hastahili kutwezwa utu wake Kwa kiasi hiki. Dhamira Yako itasema na wewe kwa wakati wake sahihi.
Usibishe,Mjomba hilo ni geresha tu wasiojuilikana kamwe hawajuulikani na hao soon utawakuta uraian izo zinaitwa chezea akili ,,fisiem inazidi kujizolea point kwa kuwakamara wasiojuilikana feki
Panua fikra zako vizuri, kama umepitia walaau scout shuleni utanielewa achilia mbalia JKTKwa hiyo unashabikia wasijulikane .bosi Mungu na akajibu hivo kwa uzao wako