Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Ni dhahiri pia kuwa, watekaji ni waoga sana,

Na soon wananchi watatumia chance hivyo vyema,

Watekaji wamekimbia na kuacha pingu,

Ndugu huyu atumie hizo pingu kuwalocate Kwa finger print zao.
Ulishawahi kusikia kisa cha “kesi ya nyani kapelekewa ngedere?” Ndio ulichokiandika hapo mkuu

Yaani unaenda kumshtaku Dula kwa Abdalla
 
Kuna mmoja alipotea watu wakasema alikuwa anafanya ma-deal ya madini akakwaruzana na mtu wa ikulu (inaonekana na yeye yuko kwenye hizi deal). Kama nakumbuka vizuri nadhani ni huyu.
 
Kwa hiyo una taka kusema ni watu wa kulipa kisasi,je pingu wametoa wapi?
Pingu zinapatika kama bunduki zinavyopatikana au sare za polisi. Hakuna kitu kisichopatikana mitaani, ni fedha yako tu. Siku hizi kwa sababu nchi ni kama haina uongozi, baadhi ya polisi wamejipa kazi ya kukodiwa ili kulipa kisasi kwa maadui wa mtu anayewakodi. Ukishakuwa na jeshi linalotumika na watawala kufanya uhalifu hili lazima litokee..
 
Angalia ile clip anayoingizwa kwenye gari. Ile imerekodiwa na mtu. Hii ndiyo CCTV
 
Mjinga kama huyuni kumweka kwenye ignore list ili usione michango yake ya kijinga. Mimi nilishamweka zamani sana. Akikosa attention ataacha kuandika. Huwa anaandika kwa sababu anaona kuwa anaweza kuwa-provoke watu na wanajibizana naye.
 
Mchukua video ukiangalia vizuri alichukua video akiwa ndani ya nyumba na hata ukiangalia vizuri ni ndani ya jengo lenye madirisha ya Aluminium na huenda yakawa na rangi ya one way black tinted hivyo waliopo nje ni vigumu kumuona aliyepo ndani lakini wa ndani anamuona wa nje clearly
 
Ila mchukua video apewe maua yake ile ni zaidi ya sacrifice,hata ule ulikuwa ni msaada mkubwa nashangaa mapimbi yanayomlaumu wao wangeweza ?wqngekuwa na guts za kuchukua hiyo video?bila hiyo video mngejua kama kunautekaji umefanyika?
 
Aliyerekodi ni mfanyakazi wa hiyo bar ,sijui hoteli. Na ni maagizo alopewa arekodi na boss wake kwa ajili ya matumizi ya baadaye maana hilo tukio alikuanzia hapo,, lilianzia ndani ya uzio wa hiyo hoteli. Kwa hiyo bonge akavutana nao hadi kwenye gari ilopakiwa nyuma ya geti la uani.
 
Ni ushujaa haswa maana angeweza pigwa hata risasi mzee.
Ila mchukua video apewe maua yake ile ni zaidi ya sacrifice,hata ule ulikuwa ni msaada mkubwa nashangaa mapimbi yanayomlaumu wao wangeweza ?wqngekuwa na guts za kuchukua hiyo video?bila hiyo video mngejua kama kunautekaji umefanyika?
 
Inasemekana kulikuwa na CCTV karibu.
 
Tusubiri report tutaambiwa ni watu wa asili ya kusini mwa Sahara walisikika wakiongea lugha za afrika magharibi.
 
Reactions: rr4
Wenzako enzi za Mchemia walikuwa. na kiburi na jeuri zaidi yako.

Mkuu be humble yana mwisho haya.
 
Hakuna mazoezi pale,

Kimemsaidia urefu na mapana yake.
Kuwakabiri watu watatu waliokwisha kutisha kwa mabundiki na Gari sio jambo dogo. Deo Uzito wake Mungu alimpa kwa makusudi. Umemuokoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…