Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Aliyerekodi tukio jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) apewe maua yake

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

- Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Ni vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
 
Ni vile hao askari ni division zero, wangekuww wako makini huyo aliyerekodi aidha wangeondoka na yeye au hiyo simu yake!!
Ni dhahiri pia kuwa, watekaji ni waoga sana,

Na soon wananchi watatumia chance hivyo vyema,

Watekaji wamekimbia na kuacha pingu,

Ndugu huyu atumie hizo pingu kuwalocate Kwa finger print zao.
 
Nilitaka kuanza kwenda gym ila nimeghairisha😂😂😂. Kumbe ndambi langu ni ngao ya uokovu dhidi ya kutekwa😂😂😂😂
Watekaji ni waoga sana,

Wamejua Noah zinashtukiwa,

Sasa wamechanganyikiwa, wanaenda kumteka bonge Kwa Toyota raum,

Apiteje kwenye Ule mlango,

Mungu wetu na aendelee kuwaaibisha.

Na Kwakuwa polisi wamekana kutowatambua watekaji,

Ile pingu asiirudishe.
 
Hakika Mpiga Picha apewe Maua yake. Jamaa hatimaye wamejulikana
 

Attachments

  • IMG-20241113-WA0004.jpg
    IMG-20241113-WA0004.jpg
    40.4 KB · Views: 13
  • IMG-20241113-WA0002.jpg
    IMG-20241113-WA0002.jpg
    72.1 KB · Views: 8
  • IMG-20241113-WA0003.jpg
    IMG-20241113-WA0003.jpg
    24.7 KB · Views: 9
Watekaji ni waoga sana,

Wamejua Noah zinashtukiwa,

Sasa wamechanganyikiwa, wanaenda kumteka bonge Kwa Toyota raum,

Apiteje kwenye Ule mlango,

Mungu wetu na aendelee kuwaaibisha.

Na Kwakuwa polisi wamekana kutowatambua watekaji,

Ile pingu asiirudishe.
Uhalifu hauendani na ujuha hata siku moja.
Hao jamaa ni wahalifu waliokuwa majuha. Na wameishia kuumbuka.

Ni wazi hawakufanya tathmini ya mtu wanaekwenda kumteka dhidi ya vitendea na nguvu kazi vya kumtekea.

Hako kajamaa keupe kamekaa kama msusi wa kikongoman ndio ameenda kuteka mtu heavyweight kama huyo halafu kwenye gari yenye mlango mdogo wa kuslide kama Raum.
 
ALierekodi sidhani kama ni raia wa kawaida Kwa ujasiri wake!

Ni rasmi Kuna pande mbili ndani ya system ambazo hazielewani kwenye kutekeleza mission Fulani fulani!!

Labda kama tukio limekua staged kwa lengo maalum!

Kitu ambacho hakuna afya Kwa ustawi wetu kama taifa!!
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
 
Uhalifu hauendani na ujuha hata siku moja.
Hao jamaa ni wahalifu waliokuwa majuha. Na wameishia kuumbuka.

Ni wazi hawakufanya tathmini ya mtu wanaekwenda kumteka dhidi ya vitendea na nguvu kazi vya kumtekea.

Hako kajamaa keupe kamekaa kama msusi wa kikongoman ndio ameenda kuteka mtu heavyweight kama huyo halafu kwenye gari yenye mlango mdogo wa kuslide kama Raum.
There is no evil plan without a mistake.

Na watakosea sana, sababu wafanyayo Si ulinzi wa HAKI, Bali ni UOVU.
 
ALierekodi sidhani kama ni raia wa kawaida Kwa ujasiri wake!

Ni rasmi Kuna pande mbili ndani ya system ambazo hazielewani kwenye kutekeleza mission Fulani fulani!!

Kitu ambacho hakuna afya Kwa ustawi wetu kama taifa!!
Ili mambo yaharibike.
 
HUYO MPIGA PICHA NI MIMI HAPA THE BIG SHOW...

LAKINI NAENDELEA KUHOJI KUWA NI KWELI ALICHOSEMA GAGACHUA WA FREEMAN MBOWE KUWA MAKANISA NA MAASKOFU YANAPOKEA RUSHWA KUTOKA KWA WANASIASA??
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
hakuna mtekaji miongoni mwao hao, labda ni kundi la kulipwa kwenda kulipa kisasa huko uswahilini, huenda muungwana dhulumati mwenye madharau, jeuri mwenye dhihaka za kibabe kwenye biashara au familia za wengine mtaani, na ndiyo maana watu wengine wakawa nanashangaa tu kama nyumbu anavyotafunwa na simba wenzie wakishangaa tu..

ubabe sio dili nje ya eneo lako la kujidai. Ishi na watu vizuri 🐒
 
Salaam, Shalom!

Wakati umma wa watz ukilaumu watu waliokuwa wakiangalia tukio lile la ndugu bonge akijaribu kutekwa na wasiojulikana,wenye pingu na silaha za moto.

Kwa jicho la Umakini, yupo shujaa aliyetumia vizuri simu yake na kurekodi tukio Zima tena sauti zikisikika kabisa, hii Ina maana kuwa alikuwa karibu sana na tukio hili.

Hii ni hatua kubwa huko tuendako maana ujasiri wa wenye Nchi kujilinda utaenda ukiongezeka.

Shujaa huyu hakuogopa KUPIGWA risasi na dreva aliyekuwa ndani ya gari, Abarikiwe huko aliko shujaa wetu.

Na Hadi hivi sasa wasiojulikana wamejulikana katika tukio lile Kwa picha na sura zao, na soon Majina Yao yatakuwa wazi maana wanatoka ndani ya JAMII zetu, tutajua ni Ushimen wa nani, na ni Jirani wa nani,

What comes around, goes around.

Mungu Mbariki mpiga picha.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Na walaaniwe Hawa waovu, na wote tuseme aamin!
Ni aibu sana maana familia zao yaani mke watoto, baba , mama, kaka , dada ndugu jamaa na marafiki washajua Hawa jamaa wakiombwa vihela vya matumizi wanawapaga hela za laana...... Za utekaji na uuaji zilizojaa damu. Na hata biblia inasema mshahara wa mbwa usitolewe sadaka...... Sasa huu ni mshahara wa mbwa NOTE: kumbukumbu la torati 23:18

Kum 23:18 SUV​

BHNSUVNenoSRUV
Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yo yote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.
 
Back
Top Bottom