Aliyerekodi video ya mapenzi na Wema iliyovuja adai bibi yake amefariki kwa presha baada ya kuiona

Kavideo kenyewe hakana utamu mi nilijua boooooonge la video, cha kumuua bibi mtu mbona sikioni mtu unaweza kufa kisa umeona mjukuu anakula denda!!! siku zake za kufa zilikuwa zimefika dogo aache miyeyusho.
 
Haaaaaaa sasa hapo katiwa yeye wewe umeaibikaje teh
 
Mmm apart from sauti je?

Wema ndo the most famous woman in Tanzania...
wanaomfata wanataka kuwa famous na wao
hata Jlo ana miaka zaidi ya 40 na keshazaa but wapo watu wanatamani kuwa nae
hata dakika 15 tu waonekane....

Khadijah Kopa tu kuna vidume vinamtamani havimpati itakuwa Wema?
 
😀😀😀😀😀
scorpio me una swali tena?
 
Kumbe ni fame tu??? Basi hua najiuliza men wanamsema katumika sana,mara sijui papuchi yake itakua haifai mara ana michirizi etc and yet they are the very first people wanao wish kupata at least 15 minutes ya kulala nae....au ndo nyotaaaa[emoji87] [emoji53]
 

Wewe unashangaa wanaume wanaomtaka Wema?
sasa utashangaa wasichana kama wewe watakaomtaka huyo Calisah badaa ya kuwa na Wema
hata wengine wataenda wenyewe kujirekodi na huyo Calisah na kurusha mtandaoni
wanasema kila binadamu ana kichaa cha aina fulani

Kuna watu hawalali wakimuwaza Shilole au Gygymoney ...
na kuna wamama hawalali wanamuwaza Kingwendu
mradu 'dunia uwanja wa fujo' walisema wahenga
 
Mie nasemaga "wanaume ni kama panya, wao ilmradi tu kitobo wanaingia"
 
Alikuwa Corozan Kwamboka...
Bongo orodha inabadilika kila mara
kale ka Meninah Atik kalikuwa kananisisimua nasikia keshaolewa
Yeah nilisikia pia, kwamba aliolewa.
Corazon yupo vizuri sana
Haumtamani Tanzania sweetheart, kile kisauti fulani hivi....
 
Yeah nilisikia pia, kwamba aliolewa.
Corazon yupo vizuri sana
Haumtamani Tanzania sweetheart, kile kisauti fulani hivi....

Wema nilimtamani alipotangazwa Miss Tanzania
siku ile wazazi wake wanasema 'kapotea' eti hajulikani alipo
kumbe yuko hotelini na kigogo wa Voda niliumia kama nimenyang'wanya girlfriend...
hapo alikuwa mbichii sana...sio Wema huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…