Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa

Basi jibu PM yangu ili tuyajenge, maana namimi natafuta toto la kibondei lenye malezi ya kumtii mume mwenye tabia kama zangu....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Swahiba naona unahamu ya kubebwa mgongoni kwenda kuogeshwa maji yalotiwa hiriki na karafuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huku hadharani ndio unamuita wifi, lakini huko kwingine unamuita mke mwenzio[emoji39] [emoji39]
Oohoh! Swahiba sasa naona unataka kunizibia riziki kwa mtu ninayemfukuzia hapa jf [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
dada kagua njia zako za ujana... naona Mungu anakuadhibu sasa. 33=36 yrs hujaolewa? kaombe kadi ya uanachama kwa Anna Makinda na Halima Mdee........... ninyi mlizoea kudhihaki vijana wakiwatongoza enzi za ujana wenu,,, mlikua mkichagua wanaume mnaowataka ninyi.... kwa umri wako hata akija KING MAJUTO we olewa tuu usisubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…