Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ondoa personalities, jikite kwenye hoja. Utakosaje chipsi yai Dar kwa kigezo cha uhaba? Mbona Kawe hadi Mwenge unapanda bodaboda na unaenda kula msosi wa siku nzima?Uzembe utokea kwenye ujinga au unaelewaje isije kuwa na wewe na waliwao
Huwezi kuombewa maombi eti upone vidonda vya tumbo sio rahisi jamani acheni imani za kijinga. Mimi ninazo dawa za kukutibu vidonda vyako vya tumbo ukapona sina dawa ya kukuombea eti upone vidonda vyako vya tumbo. Kwa Mwenye Vidonda vya Tumbo Kansa za aina zote maradhi yoyote yale yasiyoweza kutibika Hospitali anione mimi kwa wakati wake mgonjwa nitakutibia na utapona maradhi yako. .Huyo marehemu ni mjinga sana. Hela ya nauli toka Arusha hadi Dar alipata ila ya kula akakosa.
Vidonda vya tumbo badala aende hospitali apewe dawa yeye anaenda kwenye maombi.
Watu wapumbavu sana.
🤣🤣🤣labda ndotoniIla wewe siulikuwepo kwenye ule mkesha? 😎
Wajinga ndio waliwaoOndoa personalities, jikite kwenye hoja. Utakosaje chipsi yai Dar kwa kigezo cha uhaba? Mbona Kawe hadi Mwenge unapanda bodaboda na unaenda kula msosi wa siku nzima?
Siku I mefikakwa kisiri sanawari katika wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, jioni hii ya 11/7/2024 umepatikana mwili wa mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 40 akiwa amefariki ndani.
Kwa mujibu wa taarifa ya mkewe imeeleza kwamba mume wake alikuwa anasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu na juzi alikuwa ameenda kwenye maombi Dar lakini aliporudi akawa hajiskii vizuri mpaka pale mwanamke wake alipokuwa ametoka kwenda kwenye mihangaiko yake, akawa anampigia mume wake simu hapokei na akimtumia meseji hajibu.
Jambo hilo likamtia wasiwasi, akarudi nyumbani na kumkuta mume wake amelala chini huku akiwa ni wa baridi, tayari akiwa ameshafariki dunia.
Mke wake alisema mume alikuwa hajala siku tatu zote alizokuwa Dar mpaka aliporejea Arusha kwasababu vyakula vilikuwa shinda kupatikana kutokana na wingi wa watu, na kutokana na mwanaume kuwa na vidonda vya tumbo hali haikuwa nzuri.
View attachment 3040469
... kwetu sisi tusio na bima ya Afya acha tu tukafie kwa Mwamposa!Ilitakiwa aende hospitali afanyiwe thorough checkup atibiwe.
Unazungumzia maelfu ya watu huyo ni mfano tu.Huyo marehemu ni mjinga sana. Hela ya nauli toka Arusha hadi Dar alipata ila ya kula akakosa.
Vidonda vya tumbo badala aende hospitali apewe dawa yeye anaenda kwenye maombi.
Watu wapumbavu sana.
Hatari sana aiseeWatu huwa wanachukulia poa, mtu kama huyo alipaswa kuwa hospitali. Siku zote hizo yupo kwenye maombi maana yake damu ilikuwa inavuja tu tumboni.