Aliyetoka kwenye mkesha wa Mwamposa Dar afia ndani

Aliyetoka kwenye mkesha wa Mwamposa Dar afia ndani

Kuna mama kila siku anakazi ya kunishawishi nitumie mafuta ya upako ili mipango yngu job ikae sawa pamoja na kumfahamisha mafuta ninayo (babycare) kunisistizia tu nafasi niliyonayo sio ninayostahili wakat kazi yenyewe sina kabisa
 
Huyo marehemu ni mjinga sana. Hela ya nauli toka Arusha hadi Dar alipata ila ya kula akakosa.

Vidonda vya tumbo badala aende hospitali apewe dawa yeye anaenda kwenye maombi.

Watu wapumbavu sana.
Huwezi kuombewa maombi eti upone vidonda vya tumbo sio rahisi jamani acheni imani za kijinga. Mimi ninazo dawa za kukutibu vidonda vyako vya tumbo ukapona sina dawa ya kukuombea eti upone vidonda vyako vya tumbo. Kwa Mwenye Vidonda vya Tumbo Kansa za aina zote maradhi yoyote yale yasiyoweza kutibika Hospitali anione mimi kwa wakati wake mgonjwa nitakutibia na utapona maradhi yako. .
 
kwa kisiri sanawari katika wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, jioni hii ya 11/7/2024 umepatikana mwili wa mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 40 akiwa amefariki ndani.

Kwa mujibu wa taarifa ya mkewe imeeleza kwamba mume wake alikuwa anasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu na juzi alikuwa ameenda kwenye maombi Dar lakini aliporudi akawa hajiskii vizuri mpaka pale mwanamke wake alipokuwa ametoka kwenda kwenye mihangaiko yake, akawa anampigia mume wake simu hapokei na akimtumia meseji hajibu.

Jambo hilo likamtia wasiwasi, akarudi nyumbani na kumkuta mume wake amelala chini huku akiwa ni wa baridi, tayari akiwa ameshafariki dunia.

Mke wake alisema mume alikuwa hajala siku tatu zote alizokuwa Dar mpaka aliporejea Arusha kwasababu vyakula vilikuwa shinda kupatikana kutokana na wingi wa watu, na kutokana na mwanaume kuwa na vidonda vya tumbo hali haikuwa nzuri.
View attachment 3040469
Siku I mefika
 
... siku mkesha ndio unaanza, mchana wake, nilipata supu safi sana kwa bei rahisi hapo Kawe, ... nilipojivunga kurudi kesho yake, baada ya mkesha, hata karanga zilikuwa adimu, YAANI WATU KAMA WOTE!
😅
 
Back
Top Bottom