Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
cc: muhomakilo jrSasa kafia nyumbani kwake Mwamposa anahusikaje? Kuwa mtu akienda kwa Mwamposa ataishi milele au ? Kuwa hata siku yake ya kufa aliyopangiwa na Mungu aside au?
Wewe ndie mjinga.Watu walienda kwa Yesu wakapona lakini leo hatunao duniani ulitaka kuwa sababu Yesu aliwaponya kuwa walitakiwa kuwa hai hadi leo wasife au?