Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Naam. Kila mmoja huwa anakuwa na limit fulani ya uwezo wa kujenga hoja. Wengine limit yao huwa ni kuandika sentensiWajinga ndio waliwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam. Kila mmoja huwa anakuwa na limit fulani ya uwezo wa kujenga hoja. Wengine limit yao huwa ni kuandika sentensiWajinga ndio waliwao
Mwamposa keshapiga Hela ya maji na mafuta ya upakoWajinga ndio waliwao
Uchawi mtupu pale hakuna Injili.kwa kisiri sanawari katika wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, jioni hii ya 11/7/2024 umepatikana mwili wa mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 40 akiwa amefariki ndani.
Kwa mujibu wa taarifa ya mkewe imeeleza kwamba mume wake alikuwa anasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu na juzi alikuwa ameenda kwenye maombi Dar lakini aliporudi akawa hajiskii vizuri mpaka pale mwanamke wake alipokuwa ametoka kwenda kwenye mihangaiko yake, akawa anampigia mume wake simu hapokei na akimtumia meseji hajibu.
Jambo hilo likamtia wasiwasi, akarudi nyumbani na kumkuta mume wake amelala chini huku akiwa ni wa baridi, tayari akiwa ameshafariki dunia.
Mke wake alisema mume alikuwa hajala siku tatu zote alizokuwa Dar mpaka aliporejea Arusha kwasababu vyakula vilikuwa shinda kupatikana kutokana na wingi wa watu, na kutokana na mwanaume kuwa na vidonda vya tumbo hali haikuwa nzuri.
View attachment 3040469
Wajinga ndio waliwaoWakati huyu anakufa kwa ujinga tapeli mwamposa limeingiza mabilioni
Sasa nikuonyeshe uwezo wa kujenga hoja ili unipe GPA au uniingizie hela, nitolee ufala wakoNaam. Kila mmoja huwa anakuwa na limit fulani ya uwezo wa kujenga hoja. Wengine limit yao huwa ni kuandika sentensi
Umemnasa mnafiki huyo.😂... and you call yourself ATHEIST?
😅
Ndiyo ujinga wenyewe huo! Yaani Dar yote hiyo magenge yameenda wapi?Hapana, hii haihusiani na ujinga, sema labda uzembe. Dar haiwezi kuwa na shida ya upatikanaji wa chakula. Kikikosekana Kawe, hapo Mwenge au Jogoo huwezi kukosa
... GREAT! 😅
Ni combination moja hatari sana, na kujinasua huko inahitaji kazi sanaUmaskini, Ujinga na Maradhi.
Hawa jamaa wameua maelfu ya waafrika.
Mkanyaga wese la Mwamposa umechafukwa.Naam. Kila mmoja huwa anakuwa na limit fulani ya uwezo wa kujenga hoja. Wengine limit yao huwa ni kuandika sentensi
Dar haijawahi kuwa na uhaba vyakula isee waseme mengine..Kwa Kisiri Sanawari katika wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, jioni hii ya 11/7/2024 umepatikana mwili wa mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa zaidi ya miaka 40 akiwa amefariki ndani.
Kwa mujibu wa taarifa ya mkewe imeeleza kwamba mume wake alikuwa anasumbuliwa na tumbo kwa muda mrefu na juzi alikuwa ameenda kwenye maombi Dar lakini aliporudi akawa hajiskii vizuri mpaka pale mwanamke wake alipokuwa ametoka kwenda kwenye mihangaiko yake, akawa anampigia mume wake simu hapokei na akimtumia meseji hajibu.
Jambo hilo likamtia wasiwasi, akarudi nyumbani na kumkuta mume wake amelala chini huku akiwa ni wa baridi, tayari akiwa ameshafariki dunia.
Mke wake alisema mume alikuwa hajala siku tatu zote alizokuwa Dar mpaka aliporejea Arusha kwasababu vyakula vilikuwa shida kupatikana kutokana na wingi wa watu, na kutokana na mwanaume kuwa na vidonda vya tumbo hali haikuwa nzuri.
View attachment 3040469
Wasio na hoja akina muhomakilo jr wataishia kukuambia wewe ni mfuasi wa Mwamposa 😂😂😂Dar haijawahi kuwa na uhaba vyakula isee waseme mengine..
Sasa kafia nyumbani kwake Mwamposa anahusikaje? Kuwa mtu akienda kwa Mwamposa ataishi milele au ? Kuwa hata siku yake ya kufa aliyopangiwa na Mungu asife au?Wajinga ndio waliwao