Aliyetoka kwenye mkesha wa Mwamposa Dar afia ndani

Uchawi mtupu pale hakuna Injili.
 
Mchungaji akiomba gari anachangiwa hela ya kununulia lakini muumini akiomba gari anafanyiwa maombi ili apate gari dah!
Maajabu (Kwa sauti ya mzee Likoma)
 
Huwa napata shida sana utasikia watoto wamekutwa msikitini katika mazingira yasiyo sahihi wakifundishwa elimu ya dini,
Dk Sulle na Pete zake plus pesa za majini,Mara Mzee wa Upako,kiboko ya wachawi ukigeuka kulia unakutana na Mwamposa ukigeuka kushoto unakutana na Nabii Tito na kanisa lake.
Ukiwatathmini maamuma /wafuasi utagundua wamechakwaza na umaskini pamoja na maradhi mbele yao kuna wahubiri wa hizo dini wakizidi kuwa matajiri.
Watanzania tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu dini Kuna mahala viongozi wa dini zetu wanatupeleka chaka.
 
Dar haijawahi kuwa na uhaba vyakula isee waseme mengine..
 
Namna yako ya utoaji taarifa ina inafikirisha
1. Aliyetoka shambani afariki dunia
2. Aliyetoka kwenye sherehe afariki dunia
3. Aliyetoka sokoni afariki dunia

Kutoka sehemu fulani kuna uhusiano gan na kufa, au kuna sehemu ukitoka hutakiwi kufa?πŸ˜†πŸ˜†
 
Wajinga ndio waliwao
Sasa kafia nyumbani kwake Mwamposa anahusikaje? Kuwa mtu akienda kwa Mwamposa ataishi milele au ? Kuwa hata siku yake ya kufa aliyopangiwa na Mungu asife au?

Wewe ndie mjinga.Watu walienda kwa Yesu wakapona lakini leo hatunao duniani ulitaka kuwa sababu Yesu aliwaponya kuwa walitakiwa kuwa hai hadi leo wasife au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…