cc: muhomakilo jrSasa kafia nyumbani kwake Mwamposa anahusikaje? Kuwa mtu akienda kwa Mwamposa ataishi milele au ? Kuwa hata siku yake ya kufa aliyopangiwa na Mungu aside au?
Wewe ndie mjinga.Watu walienda kwa Yesu wakapona lakini leo hatunao duniani ulitaka kuwa sababu Yesu aliwaponya kuwa walitakiwa kuwa hai hadi leo wasife au?
Msukule mwingine huyuSasa kafia nyumbani kwake Mwamposa anahusikaje? Kuwa mtu akienda kwa Mwamposa ataishi milele au ? Kuwa hata siku yake ya kufa aliyopangiwa na Mungu aside au?
Wewe ndie mjinga.Watu walienda kwa Yesu wakapona lakini leo hatunao duniani ulitaka kuwa sababu Yesu aliwaponya kuwa walitakiwa kuwa hai hadi leo wasife au?
Ungejibu hoja yake basiMsukule mwingine huyu
Ni mpumbavu huyo Mzee...yaani unajijua una vidonda vya tumbo ... Baada ya kula unakaza siku tatu bila kula kisa Mwamposa ... fwalaaa sana huyo Mzee.... Tena wakati wa kuzika wachimbe shimo kubwa kama la choo Ili asumbuke kutoka siku ya ufufuo akute tumeshapaa mbinguni....Wajinga ndio waliwao
Sina muda wa kuhangaika na msukuleUngejibu hoja yake basi
Ndo yale ya shakahola watu wanakufa kama mazezeta wakati akili wanazoNi mpumbavu huyo Mzee...yaani unajijua una vidonda vya tumbo ... Baada ya kula unakaza siku tatu bila kula kisa Mwamposa ... fwalaaa sana huyo Mzee.... Tena wakati wa kuzika wachimbe shimo kubwa kama la choo Ili asumbuke kutoka siku ya ufufuo akute tumeshapaa mbinguni....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo marehemu ni mjinga sana. Hela ya nauli toka Arusha hadi Dar alipata ila ya kula akakosa.
Vidonda vya tumbo badala aende hospitali apewe dawa yeye anaenda kwenye maombi.
Watu wapumbavu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahVyakula vilikuwa vya shida au hakuwa na hela? Mule ndani kwenye ibada niliona hadi mtu anauza smart gin na fegi nasema ukweli kabisa kwani nami niihudhuria ibada hiyo.