Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tena 🏃🏿CJADEMA haya yanakuhusu nini?
Ni kiherehere changu tu , wala hayanihusu kabisa .CJADEMA haya yanakuhusu nini?
Mkuu yanatuhusu kwenye kuchochea kuni kwa hasimu wetu ili watafutane.Ni kiherehere changu tu , wala hayanihusu kabisa .
So vetting department ya Magu ilikuwa na information tofauti na vetting za Hangaya.Halafu wale Mbwiga wanasema Samia anafuta nyayo🤣🤣
Usalama wa Taifa Uleule [emoji38][emoji38]So vetting department ya Magu ilikuwa na information tofauti na vetting za Hangaya.
Serikali ileile na wabaya walewale
Maumivu kwa cc wachini
Aiseeee !!!Japo mm ni team Magufuli ila huyu dada alionewa , Magufuli hakuwa MUNGU
USSR
Ubarikiwe kwa hili aaamin🙏Japo mm ni team Magufuli ila huyu dada alionewa , Magufuli hakuwa MUNGU
USSR
Nje ya mada , sema kwa vile mnalipwa kwa post siyo mbaya ukichomekea ili uongeze poshoNi Sawa na Laigwanan Lowassa kuchafuliwa na baadhi ya watu ndani ya CCM wakishirikiana na Chadema na kisha Chadema kumsafisha na kumteua urais katika ile "kubadili gia angani kwa mh.Mbowe".View attachment 2009533
Unapata dhambi za mawazo kwa kupiga ramli za "kwa msisi"....Nje ya mada , sema kwa vile mnalipwa kwa post siyo mbaya ukichomekea ili uongeze posho
Masikini hujinasibu kwa maandiko yake na tabia zake , huwezi kutetea uonevu au uzushi halafu ukajinasibu kuwa mzalendo , haijawahi kutokeaUnapata dhambi za mawazo kwa kupiga ramli za "kwa msisi"....
Wewe dada wa Kyela mimi silipwi viposho ili nikomenti humu.....endelea kunihisi upendavyo tu miye si "lofa" dadangu.....[emoji1787][emoji1787]
Kama unavyojinasibu kufanya na kukesha kwa ajili ya uzalendo wako kwa Mh.Mbowe nami uzalendo wangu kwa JMT na CCM chama bora Afrika....
Kwa TAFSIRI rahisi Mama ana yake na Magufuli ana yake hakuna cha Viatu wala niniHii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .
Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .
View attachment 2009519
Kama ulivyo masikini mtetea uzushi wa sera za majimbo kinyume kabisa na misingi ya uhai wa taifa hili.....mnakosa uzalendo kwa kutumiwa huku mkijua ama kutokujua.........Masikini hujinasibu kwa maandiko yake na tabia zake , huwezi kutetea uonevu au uzushi halafu ukajinasibu kuwa mzalendo , haijawahi kutokea