Aliyetumbuliwa na Hayati Magufuli ateuliwa tena na Rais Samia Suluhu

Aliyetumbuliwa na Hayati Magufuli ateuliwa tena na Rais Samia Suluhu

Nimeshangaa sana uteuzi wa huyu mama. Ingawa kweli wanadai ni msomi mzuri na ndiyo maana alipata kazi kirahisikule ECASSA na kuwa Mtendaji Mkuu, je huyu mama ni kweli alionewa na JPM? Yaani amrudishwa faster faster tu na Samia wakati wastaafu ndiyo kwanza wanafurahia ile fomula ya kikokotoo kuamriwa kuendelea na JPM. Na usomi wake huyu mama kwenye kikokotoo alikosea.
kwani wewe ulikua tanzania au Afganistani?

Jiwe alionea wengi sana.Huyu Irene alifanya kazi nzuri sana SSRA na kuja na mapendekezo ya kuweza kufanya mifuko iwe na afya kifedha lakini Mchizi akamtema kwa sababu ya ujinga tu
 
yaani haiwezekani mtu kupangiwa majukumu mengine kabisa,kwani kanuni ya uteuzi inasemaje!!
 
Nimeshangaa sana uteuzi wa huyu mama. Ingawa kweli wanadai ni msomi mzuri na ndiyo maana alipata kazi kirahisikule ECASSA na kuwa Mtendaji Mkuu, je huyu mama ni kweli alionewa na JPM? Yaani amrudishwa faster faster tu na Samia wakati wastaafu ndiyo kwanza wanafurahia ile fomula ya kikokotoo kuamriwa kuendelea na JPM. Na usomi wake huyu mama kwenye kikokotoo alikosea.
Wengi tu walionewa kwenye awamu ile
 
Nimeshangaa sana uteuzi wa huyu mama. Ingawa kweli wanadai ni msomi mzuri na ndiyo maana alipata kazi kirahisikule ECASSA na kuwa Mtendaji Mkuu, je huyu mama ni kweli alionewa na JPM? Yaani amrudishwa faster faster tu na Samia wakati wastaafu ndiyo kwanza wanafurahia ile fomula ya kikokotoo kuamriwa kuendelea na JPM. Na usomi wake huyu mama kwenye kikokotoo alikosea.
Samia anasaini tu wala hawajui ata kwa kifogo anaowateua, kumbuka kumteua kada wa chama kuwa Mkurugenzi TPDC badae baada ya masaa 12akamrudisha Mataragio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangaa sana uteuzi wa huyu mama. Ingawa kweli wanadai ni msomi mzuri na ndiyo maana alipata kazi kirahisikule ECASSA na kuwa Mtendaji Mkuu, je huyu mama ni kweli alionewa na JPM? Yaani amrudishwa faster faster tu na Samia wakati wastaafu ndiyo kwanza wanafurahia ile fomula ya kikokotoo kuamriwa kuendelea na JPM. Na usomi wake huyu mama kwenye kikokotoo alikosea.
Aliyeonewa na JPM siyo Dr. Irene peke yake. Alimuonea pia katubu mwenezi wa ccm ndugu Shaka A. Shaka alivyomtumbua ukatibu wa ccm mkoa wa Morogoro.

Mama alipoingia fasta tu akampandisha na kuwa katibu mwenezi Taifa.

Jiwe alikuwa siyo mtu.
 
Nimeshangaa sana uteuzi wa huyu mama. Ingawa kweli wanadai ni msomi mzuri na ndiyo maana alipata kazi kirahisikule ECASSA na kuwa Mtendaji Mkuu, je huyu mama ni kweli alionewa na JPM? Yaani amrudishwa faster faster tu na Samia wakati wastaafu ndiyo kwanza wanafurahia ile fomula ya kikokotoo kuamriwa kuendelea na JPM. Na usomi wake huyu mama kwenye kikokotoo alikosea.
Hivi nyie mazuzu,huyo JPM wenu yeye Nani kwenye hii Nchi Hadi kila ambacho yeye alikikataa Basi Wengine wasifanye??!

Yeye alitumbua watu kwa chuki tu na ukanda na udini, Samia Hawezi kufanya huo ujinga,anasimamia haki na utu
 
Ni kweli alimuonea.

Alipewa mzigo wa kikokotoo utafikiri yeye peke yake ndio alihusika kutengeneza, wakati ile ilikuwa ni move ya Serikali nzima. Kwa hasira mpaka shirika la SSRA likavunjwa.
 
kwani wewe ulikua tanzania au Afganistani?

Jiwe alionea wengi sana.Huyu Irene alifanya kazi nzuri sana SSRA na kuja na mapendekezo ya kuweza kufanya mifuko iwe na afya kifedha lakini Mchizi akamtema kwa sababu ya ujinga tu
Mzee alikuwa na roho mbaya Sana, Cha ajabu wenye roho mbaya huwa wanaishi umri mrefu, roho yake yeye huenda ilizidi mnoo,

Kuna wengi ambao walitumbuliwa kwa chuki tu,tena walidhalilishwa kabisa
 
Ni kweli alimuonea.

Alipewa mzigo wa kikokotoo utafikiri yeye peke yake ndio alihusika kutengeneza, wakati ile ilikuwa ni move ya Serikali nzima. Kwa hasira mpaka shirika la SSRA likavunjwa.
Hii ni kweli tupu!
 
Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .

Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .

View attachment 2009519

PIA, SOMA:

- Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka
Magufuli ali creat hii hali ya kuwa ametumbuliwa lakini kiualisia SSRA ilikuwa imemaliza muda wake baada ya ku form mifuko miwili kutoka minne na kuweka uniformity ya mafao kwa watumishi wa serikali na sekta binafsi.Irene hakutumbuliwa ilibidi wauvunje na shughuli ya kusimamia mifuko miwili ibaki chini ya wizara na Janister .Sasa kwa sababu Marehemu alitaka msikie mnachokipenda badala ya kusema SSRA imemaliza kilichokusudiwa na kuvunjwa rasmi kama ilivyopitishwa na bunge kuwa imemaliza kazi yake akaja na ile ile slogan mnayoipenda ya "nimemtumbua" Tulioko serikalini ikiwemo Rais wetu wa sasa anaelewa kilichofanyika na ndio maana amemrudisha.Sasa msimbebee bango mama wa watu kuwa nanamrudisha yeye sio leo kaanza kuongoza serikali alikuwepo wakati wa JPM
 
Back
Top Bottom