Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Sasa anadhalilishwa na watu wakeRoho mbaya ya yule jamaa haikua ya dunia hii aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa anadhalilishwa na watu wakeRoho mbaya ya yule jamaa haikua ya dunia hii aisee.
Sio huyo tu yani kwa sasa kinachofanyika ni unafiki tu watu wote waliotimuliwa kwa uwizi wanachaguliwa tena ili mzee Magu aonekane mbaya kali zaidi mama mmoja ana kampuni ya mawakali na alikuwa anawatete richmond dhidi ya serikali kwa sasa ndio kapelekwa tanesco tena kwenye management sijui kituko gani kinaendelea Tanzania Mungu ibariki Tz tuiombee nchi Yetu shetani anataka kuiangamizA.Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .
Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .
View attachment 2009519
Kama mtt wa dada kawa katibu wa fedha Vetting imetumika wapi hapoSo vetting department ya Magu ilikuwa na information tofauti na vetting za Hangaya.
Serikali ileile na wabaya walewale
Maumivu kwa cc wachini
Alitumia Vetting gan kumuweka doto James hazina??Sio huyo tu yani kwa sasa kinachofanyika ni unafiki tu watu wote waliotimuliwa kwa uwizi wanachaguliwa tena ili mzee Magu aonekane mbaya kali zaidi mama mmoja ana kampuni ya mawakali na alikuwa anawatete richmond dhidi ya serikali kwa sasa ndio kapelekwa tanesco tena kwenye management sijui kituko gani kinaendelea Tanzania Mungu ibariki Tz tuiombee nchi Yetu shetani anataka kuiangamizA.
"...uzalendo wako kwa JMT na..." nini?Unapata dhambi za mawazo kwa kupiga ramli za "kwa msisi"....
Wewe dada wa Kyela mimi silipwi viposho ili nikomenti humu.....endelea kunihisi upendavyo tu miye si "lofa" dadangu.....🤣🤣
Kama unavyojinasibu kufanya na kukesha kwa ajili ya uzalendo wako kwa Mh.Mbowe nami uzalendo wangu kwa JMT na CCM chama bora Afrika....
Wachumia tumbo wengi wako hivyo"...uzalendo wako kwa JMT na..." nini?
Huo ni uzalendo bandia.
Magufuli alikuwa anawatumbua watu kwa chuki tuHii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .
Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .
View attachment 2009519
noma kweliMagufuli alikuwa anawatumbua waty kwa chuki tu
Mimi na Magufuli ni kitu kimojaHii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .
Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .
View attachment 2009519
CJADEMA ni kikundi , ni mtu au Kampuni ?CJADEMA haya yanakuhusu nini?
OhooooHuyu dada najua alie nyuma yake ni EL....baada kutembelewa nyumbani nikajua mchezo umeisha...Mzee atakuwa vimemp vyake 3 hivi ikiwemo la huto dada....basi sawa tunasahau haraka sana huyo aliteuliwa faster Mzee EL alipoachowa urais...wakati watu 2 juu wakiwa wanaranda.....ndipo alipoteuliwa na EL .....JK akiwa ughaibuni tunajua yote.....Mzee alikula vinono hasahau fadhila kamweee ......
HuelewekiHuyu dada najua alie nyuma yake ni EL....baada kutembelewa nyumbani nikajua mchezo umeisha...Mzee atakuwa vimemp vyake 3 hivi ikiwemo la huto dada....basi sawa tunasahau haraka sana huyo aliteuliwa faster Mzee EL alipoachowa urais...wakati watu 2 juu wakiwa wanaranda.....ndipo alipoteuliwa na EL .....JK akiwa ughaibuni tunajua yote.....Mzee alikula vinono hasahau fadhila kamweee ......
Watakuja watakwambia ccm mbere kwa mbereHii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .
Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .
View attachment 2009519
Mama hana hata chembe ya hisia za uadilifu isipokuwa tu zulia analojificha in the eyes of the public.Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .
Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .
View attachment 2009519
Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .
Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .
View attachment 2009519