Aliyetumbuliwa na Hayati Magufuli ateuliwa tena na Rais Samia Suluhu

Aliyetumbuliwa na Hayati Magufuli ateuliwa tena na Rais Samia Suluhu

Samia alisema hafoki ila anatumia kalamu.

Samia ananena kwa kalamu, na bila kupepesa anaonesha anavyozipinga kwa nguvu zote zilizokuwa sera za marehemu kuhusu uhusiano wa kimataifa, sera za uwekezaji na biashara, sifa za wanaostahili kushika ofisi mbalimbali, n.k. Ndani ya miaka 3 ijayo, wateule wa marehemu katika ofisi mbalimbali, itatakiwa kutumia kurunzi kuwaona. Kama wapo wenye uelewa japo mdogo, wajiandae kisaikolojia na kimikakati namna ya kuendesha maisha yao tofauti na nafasi walizo nazo sasa.
Mkuu 'Hamatan', tafadhali tusivunjiane heshima. Hana sifa wala uwezo wa kunitumia mimi!!!! EeeenHeeee!

Lakini ninakuelewa unalonena. Ni katika mlengo huo huo anatumia hicho kifaa (sio mimi) kuendeleza maovu ya aliyempa zawadi ya utawala, kama hii kesi ya akina Mbowe. Lengo ni lile lile kuua upinzani ili akandamize kimya kimya.

Sasa nikuulize swali, binafsi ungependa yupi, yule anayepiga makelele na kutisha waziwazi, au anayenyemelea kimya kimya huku akikuzaba vibao?
 
Mama hana hata chembe ya hisia za uadilifu isipokuwa tu zulia analojificha in the eyes of the public.
Huyu hata wampambe vipi kwa sifa asizostahili, hana mvuto wa kuwa kiongozi mwenye kukoga nyoyo za anaowaongoza. Ujanja ujanja anaotumia kuja kulihujumu taifa hili utamwondolea heshima hata ile ndogo atakayokuwa amejiwekea kwa baadhi ya watu.
 
Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .

Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .

View attachment 2009519
Hao ndio CCM hawaachiani maji mezani
 
Kwanza ujue Samia hawajui ata anaewateua! Kumbuka alivyomteua kada wa CCM pale kuwa Mkurugenzi pale TPDC then akamrudisha Mataragio, kwaiyo ye anapelekewa majina tu bas anasaini hawajui kwa lolote lile.

Naamini ata Maharage Chande hamjui ila aliambiwa tu kuwa huyu namuamini basi akampigia simu katibu mkuu kiongozi then jina likapelekwa kwa Kurugenzi ya Ikulu Mawasiliano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .

Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .

View attachment 2009519

Je Unafiki wa CCM unazidi ule wa Chadema ya kuzurula nchi nzima kusema Lowassa ni fisadi kwa takribani miaka 6 kisha 2015 mkampokea na kumnadi kuwa anafaa urais..!????
 
Huyu dada naweza kusema ni mmoja wa watendaji wabovu waliopewa nyadhifa kuubwa lakini uwezo ni changamoto....huyu dada anaweza kuwa moja ya chanzo cha mikanganyiko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii na hata kutolewa kwa fao la kujitoa inawezekana akawa ni moja ya wahusika....

Mama aambiwe watanzania wenye exposure na kazi na elimu ya kutosha wapo weeeengi sana ndani na nje, ni vyema sasa kusample na kuingiza damu mpya na changa yenye maono tofauti kuliko kuendelea na wapiga ramli..
 
Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .

Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .

View attachment 2009519
Kumbuka Madam President alikuwa ni makamu wa JPM, napata hisia kuwa baadhi ya maamuzi kuhusu utumbuaji yalimhusu JPM kutokana na sababu zake ama chuki binafsi. Pengine Mama alitambua jambo hilo kwa wakati huo lakini hakuweza kwenda kinyume na Boss wake.
 
Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .

Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .

View attachment 2009519
Wote ni vichaa na walevi wa madaraka, Samia ni opportunist na magu alikuwaP kicha
 
Hii ndio ccm bhana , Unafiki Mtupu ! Chama kimoja mipango tofauti .

Wala siyo mara ya kwanza , Hata huyu Shaka Hamdu alisimamishwa na Magufuli kuwa katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro kwa rushwa aliyokula kwenye uchaguzi wa Meya , Lakini Mama akamteua kuwa Katibu Mwenezi wa CCM Taifa .

View attachment 2009519
Kuna wakuu WA MICHONGO wengi sana...
 
Magufuli alikuwa peke yake,huyu alikuwa hajui hata mwenzake anafanya nini.Hivyo hakuna ajabu.
Yeye muhimu 50/50 wazungu wamusifu.
 
Je Unafiki wa CCM unazidi ule wa Chadema ya kuzurula nchi nzima kusema Lowassa ni fisadi kwa takribani miaka 6 kisha 2015 mkampokea na kumnadi kuwa anafaa urais..!????
nje ya mada
 
Mkuu 'Hamatan', tafadhali tusivunjiane heshima. Hana sifa wala uwezo wa kunitumia mimi!!!! EeeenHeeee!

Lakini ninakuelewa unalonena. Ni katika mlengo huo huo anatumia hicho kifaa (sio mimi) kuendeleza maovu ya aliyempa zawadi ya utawala, kama hii kesi ya akina Mbowe. Lengo ni lile lile kuua upinzani ili akandamize kimya kimya.

Sasa nikuulize swali, binafsi ungependa yupi, yule anayepiga makelele na kutisha waziwazi, au anayenyemelea kimya kimya huku akikuzaba
Samia ni mzigo kwa taifa
 
Nisawa "mad man" mwenyewe alifukuza watu kisha walipomsifu vyema akawarudisha!! Mfano mwehugulu m chemba wa mafi siemu....
Tunataka yule mama malecela kwenye mambo ya afya naye arudishwe alikuwa MTU makini sana
 
Japo mm ni team Magufuli ila huyu dada alionewa , Magufuli hakuwa MUNGU

USSR
Ni sawa na sio kwamba waliotumbuliwa kipindi kile ni wakosefu sana, hapana.
Wengi wao waliangushwa na wasaidizi wao, na hatimaye kubeba msalaba peke yao.

Wapo wengi watatumbuliwa hata awamu hii, lakini bado watafaa wakati mwingine.
 
Nimeshangaa sana uteuzi wa huyu mama. Ingawa kweli wanadai ni msomi mzuri na ndiyo maana alipata kazi kirahisikule ECASSA na kuwa Mtendaji Mkuu, je huyu mama ni kweli alionewa na JPM? Yaani amrudishwa faster faster tu na Samia wakati wastaafu ndiyo kwanza wanafurahia ile fomula ya kikokotoo kuamriwa kuendelea na JPM. Na usomi wake huyu mama kwenye kikokotoo alikosea.
 
Back
Top Bottom