Aliyeuawa na Mumewe 2019 kuagwa leo

Aliyeuawa na Mumewe 2019 kuagwa leo

Bakalalwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
748
Reaction score
1,217
Mwili wa marehemu Naomi Orest Marijani aliyeuawa na mume wake kisha kuchomwa moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa ndani ya banda la kuku na mume wake Hamis Luwongo Mei 15, 2019 Maeneo ya Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es Salaam, unaagwa kwa baba yake mdogo maeneo ya Mtoni Kijichi leo Ijumaa Machi 14, 2025 kwaajili ya kusafirishwa kwenye maziko nyumbani kwao Moshi Kilimanjaro.

Hii ni baada ya hukumu iliyotolewa Februari 26, 2025 na Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam na Jaji wa mahakama hiyo Hamidu Mwanga kunyongwa hadi kufa kwa aliyekuwa mume wake Hamis Luwongo kukutanika na hatia ya kumuua mke wake wa ndoa, Naomi Marijani.
1741949260219.jpg
 
Back
Top Bottom