ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Huo ushuzi uishie huko kwenye vtv vyenu kokoKwahiyo Ulitaka watu Kama wakina nani kwamfano ? Masanja Ni maarufu na anaingiza pesa kwaajili ya huo huo mnaoita ujinga. Na hapo kaitwa kwaajili ya kufanya huo huo ujinga maana wafuatiliaji wapo.
Kwani nyie wenzetu ni wageni na comedians ?
Mmmmhhhh Tabia mbayaaaaKatika hafla kubwa ya Kitaifa kama iliyofanyika Le ambayo camera za mataifa Mbalimbali zinaelekezwa Kwetu tumeshindwaje kuleta watu wenye akili wanaoweza kuitangaza nchi tunaleta watu Wanafoka na kuongea vitu visivyoeleweka...
Jinga sana jamaa......Jamaa boya sana alafu majestically linatamka hadharani kwamba tangu miaka 60 ya uhuru nchi yetu haina vita, serikali inanunua vifaru havitumiki kwamba Rais aongee na kagame tutesti mitambo.
yani umeinjoy upumbavu unaofedhehesha taifa mbele ya viongozi wa mataifa mengine.Upumbavu kwako ila kwa wengine ni burudani . Yani ule mzaha mzaha na mautani ndio watu wengine wanaenjoy hatufanani bhana ..... wewe Kama ulienjoy zile ngoma za utamaduni sawaa ni wewe 😁
Ila cha muhimu kilichofurahisha kawapa message yao wale wanokoz wote na ndio wanaotoka mapovuu 🤣🤣
Ata kama ni burudani ile burudani ilikuwa ya kiboya wewe binafsi kipi kilikufanya uburudike ktk burudani ile!Yani ndio mnajikuta eti nyie mko serious kwenye kila issue kwenye inji hii 😂😂😂
Hata hamtaki kuelewa kwamba hapa hawa watu wanaburudisha tu umati...
Zuzu kabisa....sasa kama una undugu na mmoja kati yao hujui utaratibu wa kufuata kuwasilisha mawazo/malalamiko yako? Hapa unatafuta mileage ili iweje....kosoa panapostahili lakini acha uchochezi dhidi ya serikali.Fala sana wewe sasa unajuaje sina undugu na kati yao?
Acha unafki na roho mbaya siasa sio visa,visasi,wala uchochezi hizo ndio siasa za kipumbavu
Katika hafla kubwa ya Kitaifa kama iliyofanyika Le ambayo camera za mataifa Mbalimbali zinaelekezwa Kwetu tumeshindwaje kuleta watu wenye akili wanaoweza kuitangaza nchi tunaleta watu Wanafoka na kuongea vitu visivyoeleweka. Mtu huyu anaongea as if yupo kwenye mkutano wa Kijiji. Bora tungewapa Maliasili hizo dakika watuonyeshe rasilimali zetu za kitalii.
Kama tuliona Masanja ana umuhimu tulishindwa kumuuliza anakwenda kusema nini? Aliyempa tenda Masanja anafanya nini Ofisini?
Bora viuno vya Zuchu kuliko utumbo wa huyo pastor feki!So wangempa zuchu akate viuno
Mnahangaika tu ndio hamjui kuwa hao ni washamba wenye u maarufumkubwa tu, wote hao hawafikishi birthday 10 mjini ndio maana wakipata umaarufu umbwigira mwingi!Katika hafla kubwa ya Kitaifa kama iliyofanyika Le ambayo camera za mataifa Mbalimbali zinaelekezwa Kwetu tumeshindwaje kuleta watu wenye akili wanaoweza kuitangaza nchi tunaleta watu Wanafoka na kuongea vitu visivyoeleweka...
Ni kweli Mkuu, Kenya juzi kati walikumbwa na baa la nzige sasa Masanja juzi karopoka mbele ya Wageni waalikwa akiwemo Rais wa Kenya. Ni vyema akachagua cha kuzungumza asilipukelipuke tu, na awe na mipaka na anayozungumza.Binafsi juzi nilikuwa uwanjani nilikwazika na kauli yake hiyo. Kingine alitamka baadhi ya watu mnasema Mama yaani Mh Rais anasafiri sana mnataka baba yenu ndio asafiri? kauli kama hizo mbele ya maelfu ya Watanzania waliokuwa uwanjani sioni kama zina afya. Masanja ajifunze kuwa na busara.Sema Masanja nae chenga asee yani kujiongeza hajui,anajua kwamba Kenya walipatwa na nzige juzi kati hapa na rais wao alikuepo bado analeta pigo kama zina kejeli flani hivi(sio tafsiri rasmi), anaposema sisi Mungu anatupenda huwezi ona vitu kama nzige(ndio ni ukweli lakini binafsi nimeona kazingua)
Hii ndio Tz. ndugu, ukweli tunajiabisha sana kama nchi,Katika hafla kubwa ya Kitaifa kama iliyofanyika Le ambayo camera za mataifa Mbalimbali zinaelekezwa Kwetu tumeshindwaje kuleta watu wenye akili wanaoweza kuitangaza nchi tunaleta watu Wanafoka na kuongea vitu visivyoeleweka.
Mtu huyu anaongea as if yupo kwenye mkutano wa Kijiji. Bora tungewapa Maliasili hizo dakika watuonyeshe rasilimali zetu za kitalii.
Kama tuliona Masanja ana umuhimu tulishindwa kumuuliza anakwenda kusema nini? Aliyempa tenda Masanja anafanya nini Ofisini?
Na mwishoni ikaonekana picha ya Kagame na Kenyatta wakiwa wamesimama wanaongea,itakua mmoja analalamika khs nzige mwingine khs Vita [emoji1][emoji1][emoji1]Ni kweli Mkuu, Kenya juzi kati walikumbwa na baa la nzige sasa Masanja juzi karopoka mbele ya Wageni waalikwa akiwemo Rais wa Kenya. Ni vyema akachagua cha kuzungumza asilipukelipuke tu, na awe na mipaka na anayozungumza.Binafsi juzi nilikuwa uwanjani nilikwazika na kauli yake hiyo. Kingine alitamka baadhi ya watu mnasema Mama yaani Mh Rais anasafiri sana mnataka baba yenu ndio asafiri? kauli kama hizo mbele ya maelfu ya Watanzania waliokuwa uwanjani sioni kama zina afya. Masanja ajifunze kuwa na busara.