Namba A au B iliyonyooka bei gani?hata ukiipata no A nunua tu engine unavua unaweka mpya 5A utakula maisha mkuu
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Nissan usithubutu.Hivi mbadala wake ni upi, kama mtu hapendelei Toyota? Kwa upande wa Nissan vp?
Carina TISafi, zote una maanisha Carina TI na SI au Carina TI na hiyo corona Premio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdada unatukana namna hii, noma sana!!Sure, ngoja nitafute maokoto ...nijikomboe na kushika bomba za eicher/DCM, k**ma,mae
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Tatizo spea zake ndio ishu kwa zama hiziNatamani hii mizigo ya kizamani, nipate Carina Ti, Corolla nk hizi za kizamani...
...sema wakisasa hawazipendi eti
Kwamba spares za Ti zimeanza kuwa adimu mkuu?Tatizo spea zake ndio ishu kwa zama hizi
Sidhani mkuu ila ni gari ya kizamani sidhani kama wauza spea wengi wanazileta hata engine zake.Kwamba spares za Ti zimeanza kuwa adimu mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji1]Sure, ngoja nitafute maokoto ...nijikomboe na kushika bomba za eicher/DCM, k**ma,mae
Sent using Jamii Forums mobile app
Comment ya huyu boya amenifanya nicheke katikati ya msitu loooh mwisho adui aninyemelee[emoji23][emoji23][emoji1]
Bado zipp sana mkuu, watu bado wanaagiza hizi gari mbona!!Sidhani mkuu ila ni gari ya kizamani sidhani kama wauza spea wengi wanazileta hata engine zake.
utakufa vibaya nakuhurumia.Hivi mbadala wake ni upi, kama mtu hapendelei Toyota? Kwa upande wa Nissan vp?
Sasa Nabi we si upo kwa waarabu wenzio huku umefuata nini shekheutakufa vibaya nakuhurumia.
Crown gari nzuri na mafuta kawaida tu[emoji2] hatar, najitafakar hapa,,
Ni;iwahi kuimiliki
gari imara, body ngumu na zina nguvu si haba.
Nilikuwa najaza lita 2.5 daily - natembea kama km 15 hivi location Mbeya (kwenda kazini, misele michache na kurudi home)
Sevisi yake ya kila baada ya miezi minne
kidumu cha lita 5 na kimoja cha lita 1 (TOTAL - Rubia S)kwajili ya Engine - 60,000
vidumu vya lita 1 (TOTAL - Fluid ii D)vinne kwajili ya gearbox - 60,000
Oil Filter - 10,000
Hela ya fundi - elf 15
ukibanwa kuna mda unaipeleka garage baada ya miezi 6 sevisi itakuvumilia.
Nje ya sevisi Mambo ya kwenda garage ilikuwa mara chache sana, niliwahi tu kubadili shockup moja elf 60.
Breki zinakaa sana, nilikuwa nabadili breki baada ya miaka miwili, nadhani ni elf 55
Ila kama vp vuta kabisa Toyota Carina Ti, zinafanana vitu vingi kama na wenzake kina corolla, sprinter, ila carina ina muonekano flani hivi amazing
View attachment 2718481
View attachment 2718482
credit: picha kutoka google