JimmyKB
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 413
- 564
Hiyo ni approximation number, ndiyo maana nikaweka 2000cc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni approximation number, ndiyo maana nikaweka 2000cc
Hongera sana!Sawa mkuu nimelipia tu jana hii ni ile new model yake naona 23 na kuendelea huko
Kwa hiyo hapo sijakosea sana mkuuHiyo ni approximation number, ndiyo maana nikaweka 2000cc
Ahsante mkuuHongera sana!
Nisawa juzi kuna jamaa yangu kaingiza kama hii kwa 27 mkp mkononi.View attachment 2718485
View attachment 2718486
Mzigo huo vipi napigwa au vipi?
Japan to dar 10m tiaraeiii 16m
Hapo Safi mzee, hiyo gari ni nzuri sana rafiki yangu anayo ni gari nzuri sana na ukizingatia siyo bei mbaya kama haya magari mengine tuliyo yakaririKwa hiyo hapo sijakosea sana mkuu
Umenena vema nami hesabu ndio zilifikia hapo na nimefanya utafiti kwa kina mpaka ofisini kwa Zakayo ghrama zinakuja hapo ila wale vishoka waliniambia 32m nikagoma nikaona mchakato nifanye mwenyeweNisawa juzi kuna jamaa yangu kaingiza kama hii kwa 27 mkp mkononi.
Nikweli mkuu 27m imegotea hapo so sio vibaya kuliko harrier niliambiwa 31m mpaka mkononiHapo Safi mzee, hiyo gari ni nzuri sana rafiki yangu anayo ni gari nzuri sana na ukizingatia siyo bei mbaya kama haya magari mengine tuliyo yakariri
Umeona eeh halafu kwenye uimara ndiyo utafurahia zaidi na fuel consumptionNikweli mkuu 27m imegotea hapo so sio vibaya kuliko harrier niliambiwa 31m mpaka mkononi
Kwanza mimi nimelikubali lipo juu so hata kwenda home kwetu maporini napita bila shida kabisaaaUmeona eeh halafu kwenye uimara ndiyo utafurahia zaidi na fuel consumption
Muonekano wa 2004 ni wa kisasa zaidi na perfomance ya premio 2004 ni ya kisasa ila kwa uimara hili ni yale alinunua babu sasa mjukuu anatumia.UTOFAUTI WAKE NA PREMIO YA 2004 NI NINI?
ni vyema zaidi akavuta premio 2004 maana hata running cost sio ghali sana kwa gari zote hizoMuonekano wa 2004 ni wa kisasa zaidi na perfomance ya premio 2004 ni ya kisasa ila kwa uimara hili ni yale alinunua babu sasa mjukuu anatumia.
Ni sawa pia. Ni gari zuri.ni vyema zaidi akavuta premio 2004 maana hata running cost sio ghali sana kwa gari zote hizo
Kwani ni aina gari hiyo wakuu yaani model gani maana moetq Uzi hajataja aina zaidipyqe ya kuipendavmkuipendavmXNzuri ni bora sana, but old school
Hapo nimeipata na nimekubali sheikh.nalitamani Hilo gari,Carina na mwisho kabisa escudo nikabebee mayai huko mkuranga.thanx brotherKama sio mtu wa fashion na kufuata mikumbo ya kitoto hilo ni gari la maana sana kwa matumizi na mazingira yetu.
Fundi hutomuona mara kwa mara na ukimuona % kubwa utakayekutana naye atajua namna ya kurekebisha tatizo.
Kama bado unajijenga kiuchumi, Nunua hilo malizana na ishu ya usafiri endelea na mambo mengine. Mbadala wake carina Ti.
au anunue run x piaNi sawa pia. Ni gari zuri.
Mkuu, Run x, Ist, Spacio, Premio, Allex, na zifananazo na hizi zote ni gari zinazomfaa kijana wa kitanzania. Ila kama ana shughuli za mikoani kwenye mazingira magumu rav 4 1st and 2nd gen, Premio 1st gen ndio sahihi zaidi.au anunue run x pia
Vipi Toyota cammiMkuu, Run x, Ist, Spacio, Premio, Allex, na zifananazo na hizi zote ni gari zinazomfaa kijana wa kitanzania. Ila kama ana shughuli za mikoani kwenye mazingira magumu rav 4 1st and 2nd gen, Premio 1st gen ndio sahihi zaidi.