permist
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 650
- 408
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitake radhi mzee, mi sio mdada![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Ngoja niendelee kujichanga niachane na shombo, jasho, jua na kero za daladala, wanaotaka tutengeneze mchezo ...kila mwezi laki 5 watu 10 kila mwezi mtu anapata Carina TI.
Hatchback ndio mpango mzima, binafsi saloons sizipendi sana. Well, labda vile sina hela.kwa uchunguzi wangu usio na ushahidi ni kwamba, gari nyingi za saloon huwa zinawahi mapema sana kutoka kwenye peak.
kwa mfano
baloon, mark ii, chaser, mark ii grande, cresta, verosa, mark x, haya crown ndo huyo anaanza kupigwa vita.
ila hizi station wagon naona hazifutiki mapema kwenye kupendwa na watu
kwa mfano
stalet, vitz, rav 4, raum, harrier, ist, vanguard, n.k hizi naona zitatumika hadi ziombe poo.
Uko sahihi kabisakwa uchunguzi wangu usio na ushahidi ni kwamba, gari nyingi za saloon huwa zinawahi mapema sana kutoka kwenye peak.
kwa mfano
baloon, mark ii, chaser, mark ii grande, cresta, verosa, mark x, haya crown ndo huyo anaanza kupigwa vita.
ila hizi station wagon naona hazifutiki mapema kwenye kupendwa na watu
kwa mfano
stalet, vitz, rav 4, raum, harrier, ist, vanguard, n.k hizi naona zitatumika hadi ziombe poo.
[emoji23][emoji23][emoji23] dah!ila carina ina muonekano flani hivi amazing
Bado zinapatikana sana tu mkuu, tena siku hizi naona Wabishi wengi wanarejea sana kwenye hizi gari old model kama vile corolla 111, A100, starlet nk.Tatizo spea zake ndio ishu kwa zama hizi
View attachment 2718485
View attachment 2718486
Mzigo huo vipi napigwa au vipi?
Japan to dar 10m tiaraeiii 16m
Hatchbacks ni multipurpose hasa kwa maisha yetu haya ya kiafrica, unaweza kuifanya ya kubebea mizigo kama ilivyo funcargo pia unaweza kuifanyia matumizi mengine sababu ya nafasi yake kubwa. Kwa vile ukikunja viti unapata hata pa kulala kama chumbani. Nadhani hii imezipa nafasi ya kupendekezwa zaidi kuliko sedans carskwa uchunguzi wangu usio na ushahidi ni kwamba, gari nyingi za saloon huwa zinawahi mapema sana kutoka kwenye peak.
kwa mfano
baloon, mark ii, chaser, mark ii grande, cresta, verosa, mark x, haya crown ndo huyo anaanza kupigwa vita.
ila hizi station wagon naona hazifutiki mapema kwenye kupendwa na watu
kwa mfano
stalet, vitz, rav 4, raum, harrier, ist, vanguard, n.k hizi naona zitatumika hadi ziombe poo.
Hasa ukiibahatisha ile yenye engine ndogo zaidi. Ni gari nzuri sana hiziOutlander kamata hiyo kitu ni gari 1 poa sana
Nadhani hapo baadaye kidogo kulingana na hali ya kimaisha kuendelea kuwa ngumu, wengi wetu tutajikuta tukikimbilia zaidi kwenye hizi hatchbacks na station wagon, tena kuna uwezekano wa kupanda sana bei kwa sababu ya uhitaji mkubwaHatchback ndio mpango mzima, binafsi saloons sizipendi sana. Well, labda vile sina hela.
Yenye cc ngapi mkuuHasa ukiibahatisha ile yenye engine ndogo zaidi. Ni gari nzuri sana hizi
Wakina Masakuu na mzee ojwangi....😄😄😄Nachokijua ni kwamba Wazee wanaovaa hizi kofia View attachment 2719076
huwaambii kitu kuhusu hii gari
2000cc hii ni ya mwaka 2011. Zingine zina 2.4.Yenye cc ngapi mkuu
Sawa mkuu nimelipia tu jana hii ni ile new model yake naona 23 na kuendelea huko2000cc hii ni ya mwaka 2011. Zingine zina 2.4.
2000cc hii ni ya mwaka 2011. Zingine zina 2.4.
UTOFAUTI WAKE NA PREMIO YA 2004 NI NINI?Kama sio mtu wa fashion na kufuata mikumbo ya kitoto hilo ni gari la maana sana kwa matumizi na mazingira yetu.
Fundi hutomuona mara kwa mara na ukimuona % kubwa utakayekutana naye atajua namna ya kurekebisha tatizo.
Kama bado unajijenga kiuchumi, Nunua hilo malizana na ishu ya usafiri endelea na mambo mengine. Mbadala wake carina Ti.