Unamuongelea cami huyu pacha wa daihatsu au camry?Vipi Toyota cammi
Nazungumzia cami sio camryUnamuongelea cami huyu pacha wa daihatsu au camry?
Mkuu halafu mm si mtaalam sana wa magari ila kutokana na shughuli za ofisi niliyopo nimejikuta nikipata nafasi ya kutumia brand nyingi.
Ndo Daihatsu Terios, zina nguvu. Ni mini SUV zile hata offroad kwa hizi zenye turbo ila zikileta shida engine bei zake zipo juu. Kwa hizi zisizo na Turbo sizijui mkuu ila sidhani kama zina shida kubwa maana zipo watu wanazo.Nazungumzia cami sio camry
🤣🤣🤣🤣🤣 Hizo gari si azili weseB
Bado zinapatikana sana tu mkuu, tena siku hizi naona Wabishi wengi wanarejea sana kwenye hizi gari old model kama vile corolla 111, A100, starlet nk.
Ni sawa, 13km/lt highwayJe ni sawa carina ti
Kwenda 9-10km/ltr kwa safari za mjini?