LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Ukiwa umetobolewaYaan Tz kutomboa unatoboa ila Kwa kucheleweshwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa umetobolewaYaan Tz kutomboa unatoboa ila Kwa kucheleweshwa sana
Ni mjomba hana hamu na kilimo hahahahahaMkuu Kuna sehemu panaitwa mto ruvu vizembe kama sijakosea Ile ardhi Ina rutuba sana. Jamaa mmoja alikuja akununua kama heka 100 heka 50 zote akafyeka na kung'oa visiki akachimba na mabwawa ya ufugaji samaki!
Alikuwa karibu na shamba nililokuwa nafanya kazi Mimi.
Katika Hela hizo alilima nyanya tikti na vitunguu
Vitunguu hakuvuna.
Nyanya alivuna ila chini ya target vibaya mno tikiti kama Mpira wa Watoto...
Samaki ndo kabisa hata sijui ilikuwaje. Alirudi dar Kwa shot ya mamilion na alikuwa amekopa mkopo
Akanunua tractor na akafungu pump kubwa ya kuvutia maji kutoa mtoni. Ni Hivi alikuwa hasara hata robo ya pesa yake aliyowekeza hakupata.
Mwingine huko uko vizembe kandokando ya mto kabisa
Tulivuna vitunguu Ile grade1 tulipata gunia 160. Grade iliyofata sikumbuki ila ndo vilkuwa vingi kulikuwa grade1
Alipofikisha dar ndani ya siku3 mzigo uliza wote! Haya mambo si ya kuzimuliwa nimeona mwenyewe
Panaitwa gwata vizembe huko mtoni ruvu. Huyo wa vitunguu ulikuwa mradi wa mwanamke Mme wake alikuwa anatembea Kila kikwete anakoenda wafanyakazi wake walikuwa wanasema ni muhasibu wa Jk.
Teheeeeeee hatari sana maana vikwazo ni vingiUkiwa umetobolewa
Una mjua huyo jamaa? Ilikuwa mwaka2014-2015 hiyoNi mjomba hana hamu na kilimo hahahahaha
Nduguze tulikoma. Maana alusema amezika pesa chini zinaenda kumlipa. Kuliko biashara ya malori na mabasi. Tutamtaka.Una mjua huyo jamaa? Ilikuwa mwaka2014-2015 hiyo
Aisee alikuwa analeta na wachungaji tuna alikuwa kwenda kuombea shamba. DaaahNduguze tulikoma. Maana alusema amezika pesa chini zinaenda kumlipa. Kuliko biashara ya malori na mabasi. Tutamtaka.