Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Mwenyekiti FISIEM KigomaRIP Katibu mkuu wa CHADEMA mstaafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti FISIEM KigomaRIP Katibu mkuu wa CHADEMA mstaafu.
Kwa sasa yuko kule kwa watu wa ugazi na manunuziNi mwanachama wa Chama gani? R.I.P
Chama Cha MauajiNi mwanachama wa Chama gani? R.I.P
imekuwa kama yule msabaha wa cuf, nilimuona zanzibar naona kama akili sio zake, nahisi wapemba walimpiga kipapai aisee, sio bure, manake alipotoka kigoma tu, hali yake ikambadilikiaDah huyu kamanda alijimaliza kabisa alipohamia chama cha maslahi
RIP mwenyekiti wa CCM kigoma mstaafu.RIP Katibu mkuu wa CHADEMA mstaafu.
Wanasiasa hawana vyama bujibuji.Ni mwanachama wa Chama gani? R.I.P
Aliihama chadema na kwenda ccm2004 hiviNi mwanachama wa Chama gani? R.I.P
Dah huyu kamanda alijimaliza kabisa alipohamia chama cha maslahi
Aswa pale ujiji alipovikwaga uchifu na WabembeIngefaa zaidi azikwe Kigoma kwa kuwa kule ana historia kubwa na ndefu!!
RIP
Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".
By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.
Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
hahaaaahahahahhaaa mbav zangu mieAmeamua kujiengua duniani kwenda kuunga mkono jitihada za MUNGU