TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Mjini, Dkt. Amani Walid Kabourou, afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Mjini, Dkt. Amani Walid Kabourou, afariki dunia

R.I.P Daktari!

Huyu alisaidia sana kuifanya Kigoma kuwa ndio ngome kuu ya upinzani kupitia CHADEMA!
 
Dah huyu kamanda alijimaliza kabisa alipohamia chama cha maslahi
imekuwa kama yule msabaha wa cuf, nilimuona zanzibar naona kama akili sio zake, nahisi wapemba walimpiga kipapai aisee, sio bure, manake alipotoka kigoma tu, hali yake ikambadilikia
 
Nakumbuka wananchi wake walivyokuwa wana mbeba juuu kwa juuu
Pumzika kwa amani mzee
 
Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".

By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.

Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
 
Back
Top Bottom