TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Mjini, Dkt. Amani Walid Kabourou, afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Mjini, Dkt. Amani Walid Kabourou, afariki dunia

Kwanini mazishi yawe Dar kigamboni si Kigoma

Yani nyie wabunge mliokimbia kwenu, mungu anawaona.
 
Maskin majaribu ndani ya CHADEMA, sisiemu hawachelewi kuwasingizia Chadema Kwa kifo hiki
 
Kwaheri Dkt Walid Aman Walid Kabourow

Mbunge wa Kwanza wa Upinzani Tanzania baada ya kurejeshwa Vyama vingi vya Siasa
Mbunge wa kwanza wa kuchaguliwa wa Chadema

Aliwahi kuwa Katibu Mkuu na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Wenyewe kule Kigoma walikuwa wanamwita Mwami Kabuyuki

Huwezi kuzungumza Chadema na Upinzani kwa ujumla Kigoma bila ya kumtaja Gwiji Huyu

Mwishowe alirejea Ccm na kuwa Mwenyekti wa Chama wa Mkoa!

Kabla ya Mrema kuhamia Upinzani 1995, Huyu Bwana ndie alikuwa Mpinzani maarufu zaid

Nakumbuka Siasa zake za heka heka Kigoma Miaka hiyo

Mpinzani wake Mkuu alikuwa Azim Premji!
 
Kwanini mazishi yawe Dar kigamboni si Kigoma

Yani nyie wabunge mliokimbia kwenu, mungu anawaona.

Ka historia kadogo,,,
Huyu Kaburu alikuwa mpinzani toka Enzi za Nyerere akafukuzwa shule form 3 eti kosa alimtoboa Nyerere macho (picha )

Baada ya kuanzishwa vyama vingi alirudi toka USA akajiunga na upinzani, nakumbuka mwaka 1994 nilihudhuria mkutano wake wa hadhara na akanishawishi nikajiunga na chama chake.

Alisababisha vijana wengi wa sekondari kule kigoma kuingia matatani kwa kuiga staili yake ya uvaaji na akawa katibu mkuu wa CDM halafu akasepa akaenda CCM. Toka wakati huo sikuwahi tena kusikiliza wanasiasa na nawapuuza hadi leo. RIP Kaburu
 
R.I.P Mzee Amani
Kigoma mna historia ya mageuzi na usaliti katikati ya harakati
 
Ka historia kadogo,,,
Huyu Kaburu alikuwa mpinzani toka Enzi za Nyerere akafukuzwa shule form 3 eti kosa alimtoboa Nyerere macho (picha )
Baada ya kuanzishwa vyama vingi alirudi toka USA akajiunga na upinzani, nakumbuka mwaka 1994 nilihudhuria mkutano wake wa hadhara na akanishawishi nikajiunga na chama chake. Alisababisha vijana wengi wa sekondari kule kigoma kuingia matatani kwa kuiga staili yake ya uvaaji na akawa katibu mkuu wa CDM halafu akasepa akaenda CCM. Toka wakati huo sikuwahi tena kusikiliza wanasiasa na nawapuuza hadi leo. RIP Kaburu


ni Kweli kabisa Dkt Kabourow na Mtikila walichana na kutoboa Picha ya Julius Nyerere iliyobandikwa ukutani
 
Back
Top Bottom