Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa kadiri ya kumbukumbu zangu huyu ni miongoni mwa waasisi wa Usaliti nchini Tanzania , mwingine aliitwa James Mapalala .
Mungu amuweke anapostahili .
Mungu amuweke anapostahili .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa kuweka picha
Ah, kumbe nawe ni wa pale Buzebazeba!Mazishi yapo kigamboni sehemu gani mkuu?Sipend kuto kumzika huyu Jiran yangu pale ujiji
kama kile kilichompata Baba junior mume wa Mushumbusi balozi mteule wa Sweden, aka. the shoopkeeperSiku anatia Mguu kigoma kwa mara kwanza palikuwa hapatoshi.
Alisaidia sana kuujenga upinzani kigoma ,
Baadae sijui alipatwa na nini Dr Amani.
R.I.P...Dr..
Alihamia CCM toka Chadema.
R.I.P Mzee Amani
Kigoma mna historia ya mageuzi na usaliti katikati ya harakati
Mbunge wa Kigoma mjini ni Mh.Zitto Kabwe na yupo hai akiendelea kutimiza majukumu yake,kusema "aliyekuwa" si sahihi,ilipaswa isomeke"aliyewahi kuwa".
By the way, Kifo cha mwanaCCM yeyote yule hakinihusu, siwezi kuuvika moyo wangu simanzi kwa kuomboleza vifo vya wauwaji,watesaji na watekaji,muda huo sina.
Mungu amlipe sawa sawa na matendo yake, Amen.
Malipo ya nini tena wakati mtu ameshakufa?Mungu amulipe kutokana na matendo aliyofanya duniani.